Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Wee fikiria tu unajituma kichizi kutafuta hela ndeefuuuu. Unajituma kupiga mzigo kumfurahisha demu. You massively fund her lifestyle.

Anaanza kukuletea nyodo na madharau. Na anavuka mpaka kuchezea na kumfurahisha mwanaume mwengine na hela yako na kukuambia you are not of my type.

Lazima umuonjeshe ladha ya shaba the taste of lid.

Manati ya mzungu ni mkombozi Kitu ukipres tu kinakohoa pah pah halafu kinatema kitu chenye ncha kali/butu kinaruka hewan kwa kasi ya hatariii kabla ya kumfikia mlengwa na kumpa room tamparature challenge, mzungu hajakariri kasoma na kuelewa.

Halafu zilizosalia unafyatua hewan kwa jazba na hovyohovyo kwasababu kuna wamatumbi mitambo ya umbea inapenda kusogeza pua zao kufuatilia mambo ya wengine yasiowahusu.

Kwa tahadhari unahakisha unabakiza moja ambayo utaitumia kwa mara ya mwisho.

Unageuza mtutu kichwani mwako na kufumua ubongo wako ili kumaliza soo kiroho safi. Unaondoka duniani kishujaa kwa kulipiza kisasi ipasavyo.
[emoji23][emoji23] kazi kweli kweli.
 
1.Mkuu, mimi sihukumu ila nachojua ndoa ni complicated institution, sisi tutabaki ku speculate tu, maybe this/that is what happened...ila we can never be certain kwa yaliyokuwa yanaendelea ndani,.... kuwekeza hatujui hata huyo mwanamke ali sacrifice/ wekeza vingapi kwenye hio ndoa...???!

2. Ukishamchapa chuma, kinachofuata ni nini???

3. ..unakuta mwingine anajifanya gentleman, ana pesa, he will take care of you sio tu kifedha bali na atakuhudumia na your emotional needs, unajikuta umeolewa na abusive man, unakuja kujua hili ndoani, kuwa kwako tayari kuolewa na huyo mwanaume ndio iwe kifungo kwako??ukigundua mambo hayaendi tafuta space u-breathe, it doesnt matter ulikua tayari kuolewa ama haukua tayari...

4. ...hio itapendeza kama wanaume hamtatumia pia hela zenu kuwalaghai wanawake, wakae na nyie just bacause mna pesa/status...Hizo supermarkets wakianza kuuza miguu ya kuku licence wasipewe wanaume tu, wanawake pia wapewe, ili waue wanaume zao ambao ni wasaliti, 😁😁😁😁😁, wabaki sio wanawake wema tu na wanaume wema pia...lol...
Rebeca anayejitolea maisha yake yote kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa katika maisha yako yote ni mwanaume sio mwanamke.

utasemaje anakusaliti ?

imagine kila hitaji lako linakua kwa mwanaume wako hata ukiumwa yeye ndiye anawajibika kifupi maisha yako yote yanakua chini ya uangalizi wa mwanaume wako kwa kila kitu na maisha yake anawekeza kwako kabisa.

wewe unampa nini ?

K tu ?

aise mimi unakula chuma kwa kweli tena ukute hatuna hata watoto wa kuwaacha mayatima ?

mapema tu.

wengine tumeamua kuvumilia kwa sababu ukiangalia watoto wasio na hatia nayie nyio mliwaleta duniani watabakinwakiteseka unaamua tu kupiga moyo konde ila k’fupi nyie viumbe ni hatari sana kwa afya
 
Rebeca anayejitolea maisha yake yote kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa katika maisha yako yote ni mwanaume sio mwanamke.

utasemaje anakusaliti ?

imagine kila hitaji lako linakua kwa mwanaume wako hata ukiumwa yeye ndiye anawajibika kifupi maisha yako yote yanakua chini ya uangalizi wa mwanaume wako kwa kila kitu na maisha yake anawekeza kwako kabisa.

wewe unampa nini ?

K tu ?

aise mimi unakula chuma kwa kweli tena ukute hatuna hata watoto wa kuwaacha mayatima ?

mapema tu.

wengine tumeamua kuvumilia kwa sababu ukiangalia watoto wasio na hatia nayie nyio mliwaleta duniani watabakinwakiteseka unaamua tu kupiga moyo konde ila k’fupi nyie viumbe ni hatari sana kwa afya

Mkuu naona tuna different perceptions, sikuelewi, hunielewi.......eti anakupa K tu?? hujui hii ni kama barter trade, anakupa K, unampa Uangalizi, sasa kwa nini uone K haina thamani equal na Uangalizi wako au uone unaonewa???...kabla hujamuoa si ulipima mwenyewe na kuona how much you are willing to compromise/sacrifice? sasa kwa nini baadae uone tabu???

Halafu,pili kwenye relationship, wanaume, na sisi wanawake hatupeani vikojoleo tu, jifunze ndugu ...tunainvest Time, Emotions, etc... vitu ambavyo haviwezi kuwa replaced easily ambavyo kwa lugha nyingine tunasema ni vitu veeeeeeeeeeeeery expensive, wewe unaweza kurudisha Time?!...au Umeuombe sir God can i have extra time hapa duniani?!....

Mwisho huyo Mkeo hapo,wewe jua tu ameinvest vitu vingi,sio anakupa K tu, tena kama mna watoto ujue mkeo ana make sacrifices kila siku, kama unaona she has nothing to offer, baki na wewe siku moja na watoto uone mtiti wake?!
 
Umenikumbusha Ile movie ya "deep water" aisee ni balaa jamaa yupo kimya akiona mke wake ana shikwa na vinjemba mwishowe ana wauwa kimya kimya akirudi nyumbani ana smile bila shida.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Unakua umetatua tatizo kimya kimya na roho inapata amani[emoji28][emoji28][emoji28], maana bila hivyo moyo utaendelea kukuuma, moyo wenye majeraha unatulia mpaka ufanye malipizi[emoji38]
 
Ndege wawil wafananao huruka pamoja na ujue
Katika maishaa kama hamfanani kamwe msijalibu kuluka pamoja.
Huwezi kuwa umeolewa na mtumishi wa Mungu alafu bado unataka kwenda disco eti kisa tu una privancy zako haiwezekani.
Wengi ndiko ambako wanakwenda kufanya ufuska..anasahau kwamba yeye ni mke wa mtu.
Mke mwema atailinda ndoa yake kwa nguvu zake zote sasa jamaa anapiga cm mcd call 42 hazipokelew hii ni balaa

Siungi mkono kilichotokea mwanza ila wanawake badilikeni hii 50/50..wengi wanajikuta wanaitumia vibaya
Unakuta jamaa kajinyima ili apate hela akupe mtaji wa biashara kesho umetoboa unaanza zarau...kisa tu madili yamekunyokea.
Nazani hata hizi kauli za mwanamke hasomeshwi nyiny ndo mmesababisha wanaume wameanza kushtuka hawasomesh tenaa[emoji28][emoji28] unakuta jamaa anakusomesha then unakuja kumkataa wakat mlikubaliana mtaoana si ungemkata toka mwanzo.
Ndugu hivi mwanaume unawekezaje akili, hisia na pesa za huduma kwa mwanamke asie na shukrani na unajua kabisa hakupendi bali anakupenda kwa kuwa umemlazimisha tu au unajua kabisa anakupendea hela tu je hela zikukuishia? Hapo kosa lipo kwanini? Mwanamke hakupendi muache, kuna wanawake wana adabu na upendo sana na ni rahisi kuwa compromise na issue anayoitaka,

Kuwekeza kwa mwanamke ni kama uwekezeji tu wa kibiashara huwezi kuwekeza kwenye biashara inayokupa hasara tu itakuelete msongo wa mawazo
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji16]Jamaa nimekubali narration yako uko vzr[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]!!
Wadada warembo wa mjini hawa wanasumbua sana
Imagine maumivu ya kumnunulia wife crown halfu ye anapakia wahuni..ni sawa kweli Sis ?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Daah Nina bifu nae kinoma yule mzee!ukipita jukwaa la international wadau wanaelewa bifu langu nae
Najua humpendi, nimekuwa sarcastic tu hapo. Ila bwana Putin anawapa za uso nyie Pro nato na USA dadeq!
 
1.Mkuu, mimi sihukumu ila nachojua ndoa ni complicated institution, sisi tutabaki ku speculate tu, maybe this/that is what happened...ila we can never be certain kwa yaliyokuwa yanaendelea ndani,.... kuwekeza hatujui hata huyo mwanamke ali sacrifice/ wekeza vingapi kwenye hio ndoa...???!

2. Ukishamchapa chuma, kinachofuata ni nini???

3. ..unakuta mwingine anajifanya gentleman, ana pesa, he will take care of you sio tu kifedha bali na atakuhudumia na your emotional needs, unajikuta umeolewa na abusive man, unakuja kujua hili ndoani, kuwa kwako tayari kuolewa na huyo mwanaume ndio iwe kifungo kwako??ukigundua mambo hayaendi tafuta space u-breathe, it doesnt matter ulikua tayari kuolewa ama haukua tayari...

4. ...hio itapendeza kama wanaume hamtatumia pia hela zenu kuwalaghai wanawake, wakae na nyie just bacause mna pesa/status...Hizo supermarkets wakianza kuuza miguu ya kuku licence wasipewe wanaume tu, wanawake pia wapewe, ili waue wanaume zao ambao ni wasaliti, [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16], wabaki sio wanawake wema tu na wanaume wema pia...lol...
Thamani ya pesa maelewano sio kulazimisha mapenzi kisa pesa, kama mtu kataka muachane mwache ona sasa familia zao wamebaki na huzuni, huyo mwanaume anafamilia yake unzani si wanashangaa mtoto wao kufanya hivyo si ajabu wanawake kibao walikuwa wanamtaka waoe wakufanana nao sio kubeba mizigo isiyo wahusu.
 
Mkuu naona tuna different perceptions, sikuelewi, hunielewi.......eti anakupa K tu?? hujui hii ni kama barter trade, anakupa K, unampa Uangalizi, sasa kwa nini uone K haina thamani equal na Uangalizi wako au uone unaonewa???...kabla hujamuoa si ulipima mwenyewe na kuona how much you are willing to compromise/sacrifice? sasa kwa nini baadae uone tabu???

Halafu,pili kwenye relationship, wanaume, na sisi wanawake hatupeani vikojoleo tu, jifunze ndugu ...tunainvest Time, Emotions, etc... vitu ambavyo haviwezi kuwa replaced easily ambavyo kwa lugha nyingine tunasema ni vitu veeeeeeeeeeeeery expensive, wewe unaweza kurudisha Time?!...au Umeuombe sir God can i have extra time hapa duniani?!....

Mwisho huyo Mkeo hapo,wewe jua tu ameinvest vitu vingi,sio anakupa K tu, tena kama mna watoto ujue mkeo ana make sacrifices kila siku, kama unaona she has nothing to offer, baki na wewe siku moja na watoto uone mtiti wake?!
Sasa kama umeamua ku invest maisha yako kwa mumeo si uinvest kweli kweli? Kwa nini baadae ulete ukuda ukae unatembeza hicho kikojoleo kwa masela zako?

Kama ulikuwa hauko tayari si ukae nyumbani utulie udange weeee mpaka uridhike ndio uamue kuinvest kwa moyo wako wote sasa?

nini kinawafanya muolewe hali yakua hamuko tayari ?

ni dhiki au tamaa ????

kwani watoto ni kwa ajili ya mumeo tu au ni kwa ajili yenu wote ?
 
Ndugu hivi mwanaume unawekezaje akili, hisia na pesa za huduma kwa mwanamke asie na shukrani na unajua kabisa hakupendi bali anakupenda kwa kuwa umemlazimisha tu au unajua kabisa anakupendea hela tu je hela zikukuishia? Hapo kosa lipo kwanini? Mwanamke hakupendi muache, kuna wanawake wana adabu na upendo sana na ni rahisi kuwa compromise na issue anayoitaka,

Kuwekeza kwa mwanamke ni kama uwekezeji tu wa kibiashara huwezi kuwekeza kwenye biashara inayokupa hasara tu itakuelete msongo wa mawazo
Huyo alikuwa anazani pesa ni kila kitu akiwa na wenzie anajisifia kuwa na mke mrembo, kumvumilia mtu usiye mpenda ni ngumu sana, akirudi unakunja sura utazani umekutana mbwa koko aliyejichafua[emoji18][emoji18]
 
Huyo alikuwa anazani pesa ni kila kitu akiwa na wenzie anajisifia kuwa na mke mrembo, kumvumilia mtu usiye mpenda ni ngumu sana, akirudi unakunja sura utazani umekutana mbwa koko aliyejichafua[emoji18][emoji18]
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Dah
 
Ukiacha hisia zikuendeshe, kwa ujeuri utaishia kufeli
Sababu neno la ukweli sio zuri na neno zuri halina ukweli
 
Kuna gharama ya kila matendo unayofanya, lazima ndugu zetu wajue pia kuna gharama ya huu udangaji...hasa kwenye kupenda mali za bure kwa kigezo cha mahusiano.... Mhusila akijua kama uko for business na hauko tayari kuwa mtiifu lolote linaweza kutokea..

Wapo wengine anaweza kukutoa hata kafara kwenye biashara zake na watu wasijue umefia wapi kumbe analipa kisasi....jamaa angeweza kumtoa hata chambo huyo dada kwenye mitego yake ya samaki akapiga hela kwenye mitumbwi huko.....
Ameua kifala sana
 
Hili jambo la kuwauwa wanawake naona sasa limeota mizizi, yaani sasa imekuwa kama fasheni kuuwa!!!
wahanga wakubwa wa kuuawa ni wanawake.

Ushauri:
Wanawake amabo mpo kwenye mahusiano ya kimapenzi kuweni makini sana tena sana, hali sio nzuri, mtakwisha.
 
Hili jambo la kuwauwa wanawake naona sasa limeota mizizi, yaani sasa imekuwa kama fasheni kuuwa!!!
wahanga wakubwa wa kuuwawa ni wanawake.
Ushauri:
wanawake amabo mpo kwenye mahusiano ya kimapenzi kuweni makini sana tena sana, hali sio nzuri, mtakwisha.
Haya mambo ni 50/50
Kuna wanawake pia ukiwachezea
Hisia zao wanaku shaya

CC: Yule dem aliyempiga kibiriti na petrol jamaa yk huko Mbezi Makabe

Ova
 
IMG_7286.png
 
Kupata mwanamke anaekusikiliza na kukuheshimu kama baba yake ni baraka kubwa sana ambayo wengi wanaikosa katika kizazi hiki, Asante Mungu.

Muda mwingine sisi wanaume tunashindwa kusimamia uanaume wetu, hivi Mungu kakujalia Pesa na afya ya nini kung'ang'ania mwanamke anaekuumiza akili?? Najua mapenzi yanauma na pengine labda kuna watu wapo humu JF muda huu wanapitia fukuto la mahusiano, nawashauri mfanye maamuzi ya kiume kabla hamjachelewa.

"Every woman in any given reletionship, is taken as the man's project".

Project imekushinda, achia wengine wahangaike nayo kwanini uumie?
Et project...
Ila umenena vyema mzigo umekushinda uwache wengine wapambane nao... usiumize kichwa ukajipa matatizo bureee
 
Back
Top Bottom