Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumpiga risasi 7 kichwani, chanzo ni simu. Mume naye akutwa AMEFARIKI

Kwanza marehemu Said alikuwa kolo Sana,Hana exposure,yaani akajua hapa duniani huyo swala ndio mwisho hakuna wanawake wengine!..na Nyie wanaume wa humu wote mnajifanya kumsupport Said hamna exposure Kama marehemu...Maisha Ni zawadi nzuri tuliyopewa huwezi poteza uhai wako kisa mtu wakati Kuna mamilioni ya watu ulimwenguni,,eti alikuwa anampa hela kwa hela gani Bwana za kumtoa mtu uhai?kwa hiyo mitumbwi ya mbao?Sasa Kama issue Ni uchungu wa pesa Bill gate itabidi atumie Nukes
Kwani kuvunjika kwa ndoa ya Bill Gates chanzo ni Melinda? Halafu wale ni partners in business hata kama founder ni Bill.
 
Huyu marehemu mke anaonekana alikuwa mswahili sana...kufuga mke mswahili kazi sana...
Inaonekana pia jamaa ndo aliyemfanya ang'are na kuonekana mtu mbele ya watu ndo maana alipata sana hasira pale anapoletewa kibri. Siku zote penye ubaya wema ulitangulia.
ukiangalia vizuri picha za sebleni kwake ambapo kuna damu damu zimetapakaa inaonekana wazi huyu dada hakuwa mtu anayejali nyumba yake badala yake alijali uso wake zaidi na mavazi ya nje. Kweli kwa familia yenye hela za kutosha ile ni sofa ya kuweka sebleni? Hadi imetoboka?? Na pia seble haina mpangilio wa kueleweka ...Kwa mwanamke anayejua wajibu wake kwakuwa hela sio tatizo angeitendea haki ile sitting room..
Mapambo ni hela na kama hela ipo why usiitendee haki nyumba yako kama mke.
Marehemu hasemwi ila huyu dada anaonekana alimsumbua sana huyu kaka...na hakuwa material ya kuolewa.
Seble nzuri kubwaaaa ila ipo ipo tu
Ndoa yao ndio kwanza ina miezi mitano, hiyo inatosha kusema jamaa kamkuta mkewe kama alivyo
 
Nyinyi kuzitafuta hamuwezi ila za kupewa na watu wanaovuja jasho lao mnapokea meno yote nje afu unaziita "hela gani".?

Wanawake wengi humu Jf hawana hata uhakika wa kuingiza 10k tu kwa siku, na hata wanaoweza wengi wao unakuta ni kwa shughuli za kijinga au unakuta wanategemea wanaume wao , ila ndo hawahawa eti hawataki watawaliwe na wanaume.

Mtakaangwa sana.
Hao wanawake wakitaka kuzitafuta baadhi yenu mnawawekea kauzibe. Halafu sasa hivi mnawananga. Hamuwatendei haki dada zetu. Jaribuni kuwa fair.
 
Hapo sawa
What is sustainability of that practice if the wife is not going to invest that money? Hatuombei lakini what will happen or what is the future of her and the family just in case Muumba anachukua kiumbe chake? (the husband). Narudia tena hatuombei hilo litokee.
 
Mkuu kuna wanawake ni wa kawaida sana, il nyumba inakuwa kama mko Ukraine, yaani ni moto kila siku. Wengine tuko nao kwenye ndoa zaidi ya miaka 15 ila unatamani sijui uhame tu umuachie hayo makazi.
Pole sana. Kwa experience yangu miaka 10 hadi 18 ina challenges nyingi. Mkivuka hapo mnatoboa. Mnakuwa siyo mke na mume but best friends na mapenzi yanaongezeka na imani to each other inakuwa kubwa.
 
Wewe ndoa ni taasis na kila taasis ina kanuni zake. Kanuni ya kwanza ni mume na mke wakutane wakiwa bikra. Sasa wanawake tunaoa wakiwa breki pumbuz alafu unategemea kuwa ndoa itadumu...huko ni kujidanganya tuu.

Mie nitakuwowa weye nienjoy tako skonsi na ninakupa uhuru wako wakumpa mbususu yako mwanaume mwengine na wala sitakuacha
Wewe wakati unaoa ulikuwa bikra?
 
Huyu marehemu mke anaonekana alikuwa mswahili sana...kufuga mke mswahili kazi sana...
Inaonekana pia jamaa ndo aliyemfanya ang'are na kuonekana mtu mbele ya watu ndo maana alipata sana hasira pale anapoletewa kibri. Siku zote penye ubaya wema ulitangulia.
ukiangalia vizuri picha za sebleni kwake ambapo kuna damu damu zimetapakaa inaonekana wazi huyu dada hakuwa mtu anayejali nyumba yake badala yake alijali uso wake zaidi na mavazi ya nje. Kweli kwa familia yenye hela za kutosha ile ni sofa ya kuweka sebleni? Hadi imetoboka?? Na pia seble haina mpangilio wa kueleweka ...Kwa mwanamke anayejua wajibu wake kwakuwa hela sio tatizo angeitendea haki ile sitting room..
Mapambo ni hela na kama hela ipo why usiitendee haki nyumba yako kama mke.
Marehemu hasemwi ila huyu dada anaonekana alimsumbua sana huyu kaka...na hakuwa material ya kuolewa.
Seble nzuri kubwaaaa ila ipo ipo tu
Samahani naomba hizo picha unazoongelea tuwekee hapa na wengine tuzione.
 
Inategema mnaishije nani amekuambia ndoa ni uwanja wa vita mnafeli sana vijana na mnadanganyana eti kuua ndiyo uanaume, kama amekushinda nakushauri tafuta unaemmudu, usiwe kama gari bovu kijana wangu
Nashukuru sana brother. Nimesoma comments nyingi humu 99% zinaonyesha ubabe lakini nadhani wengi wao hata ndoa hawana. Lakini tuendelee kuwashauri
 
Hata kama ni mke ndiyo unapiga simu mara 42!!! This is insane!!!
angepokea mara ya kwanza , ya pili ya tatu , ya nne, ya tano, wala isingefika jumla ya 42 missed calls, hapa kuna la kujifunza , io ilkua ndoa sio urafiki wala uchumba.
 
Una uhakika gani alienda concert? Mwanamke anayekuheshimu lazima arespond kwa wakati hata ukimpigia simu. Mume anatoa ultimatum kuwa mke asitoke mke akishindwa kutekeleza ni sawa na mwanajeshi anaesaliti kambi. Mume alikuwa na wasiwasi kwanini simu hazipokelewi af lately mama mkwe anapokea na kusema eti binti yake alikuwa amelala. Kimsingi jamaa alishaona mama mkwe na mwanae wanamchezea shere!

Mwanamke wako anaekupenda hawezi kufanya bullshit hata siku moja na anakuwa na hofu kwenye hilo eneo. Mke anaonekana alikuwa na backup ya mama yake kuwa akifanya utumbo mama yake anamkingia kifua tu as if mwanae ni malaika. Mwanamke akikubali kuolewa automatically baada ya mkataba ni mali ya mumewe kwa shida au kwa raha na hata baba yake akimtaka mtoto anafanya kumuomba wala hana mamlaka nae mume wa binti akikataa. Hata kuzika nazika napotaka mimi kwa maana tayari ni mke wangu na mali yangu until further notice.
Hivi kuna clip 2 tofauti za Mama au ni ileile ya Ayo? Maana unayoongea wewe na aliyoongea huyo Mama ni 2 different things.
 
Ishu sii kuacha wangapi, ishu ipo kwenye kuchagua wa kuoa. Tatizo kubwa la vijana wa siku hizi ni UDOMO ZEGE! Kijana hujui kutongoza, umejawa uoga, matokeo yake unaokoteza okoteza wanawake njiani, bar au mitandaoni. Yeyote anaekukubali wewe unakomaa nae huyohuyo na kung'ang'ania kumuoa!

Kijana kabla ya kuoa unatakiwa uwe umechakata mbususu zisizopungua 50 za watoto wakali! Katika hao lazima utakutana na vichaa, magumegume, ma gold digger na pia utakutana na wife material.. Huu uzoefu utakusaidia sana kujua wewe unahitaji mke wa aina gani?

Sasa unachuja kwenye hao 50 unachagua hapo watatu. Katika hao watatu mmoja ANAEKUPENDA (sio unaempenda) unaoa, wengine unawabakisha kama michepuko! Wife akizingua HUMUACHI, wala hugombani nae, unampuuza ila hasira unaenda kumalizia kwa mchepuko kwa kutembeza gegedo kali.

Utaishi kwa raha mustarehe maisha yako yote.
Unachakata mbususu 50 tena za watoto wakali, hapo bado za wenye sura za Baba zao, bado wenye sura personal, halafu mnataka kuoa mabikra!!!

mrangi mzabzab
 
Ishu sii kuacha wangapi, ishu ipo kwenye kuchagua wa kuoa. Tatizo kubwa la vijana wa siku hizi ni UDOMO ZEGE! Kijana hujui kutongoza, umejawa uoga, matokeo yake unaokoteza okoteza wanawake njiani, bar au mitandaoni. Yeyote anaekukubali wewe unakomaa nae huyohuyo na kung'ang'ania kumuoa!

Kijana kabla ya kuoa unatakiwa uwe umechakata mbususu zisizopungua 50 za watoto wakali! Katika hao lazima utakutana na vichaa, magumegume, ma gold digger na pia utakutana na wife material.. Huu uzoefu utakusaidia sana kujua wewe unahitaji mke wa aina gani?

Sasa unachuja kwenye hao 50 unachagua hapo watatu. Katika hao watatu mmoja ANAEKUPENDA (sio unaempenda) unaoa, wengine unawabakisha kama michepuko! Wife akizingua HUMUACHI, wala hugombani nae, unampuuza ila hasira unaenda kumalizia kwa mchepuko kwa kutembeza gegedo kali.

Utaishi kwa raha mustarehe maisha yako yote.
Kwa madini haya nakupa zawadi ya mchepuko wangu mmoja umgegede 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Anakufuru huyu jamani.
Hapa mtaani kuna Guruguja hata ijilembe vipi hainogi na haitustui kabisa na inafanya kazi taasisi fulani kubwa.
Make up zimemsaidia kupunguza ubaya ila mbaya tu ht iweje.
Unakufuru uumbaji wa Mungu eeh?? Hujafa hujaumbika.
 
Back
Top Bottom