Maisha yamewawia magumu wanatafuta msaada wa kimaisha[emoji16]Hivi mbona nyuzi za kutafuta wanaume zimekua nyingi sana nowadays
Wadau poleni na shughuli za ujenzi wa taifa.
Niende kwenye mada, nahitaji mume mwenye sifa zifuatazo.
Miaka kati ya 28 mpaka 38, mrefu, rangi yyte, dini yyte, kabila lolote, elimu yyote, kazi yyte. Awe anaishi popote Tanzania mwenye mapenzi ya dhati atafikiliwa zaid.
Sifa zangu utazipata ukija pm.
Kwa walio serious tu.
Nb: Mimi bado bikra kwa hiyo hakuna kudo mpaka ndoa.
Haya njooni sasa.
Thubutuuu shake well before useWadau poleni na shughuli za ujenzi wa taifa.
Niende kwenye mada, nahitaji mume mwenye sifa zifuatazo.
Miaka kati ya 28 mpaka 38, mrefu, rangi yyte, dini yyte, kabila lolote, elimu yyote, kazi yyte. Awe anaishi popote Tanzania mwenye mapenzi ya dhati atafikiliwa zaid.
Sifa zangu utazipata ukija pm.
Kwa walio serious tu.
Nb: Mimi bado bikra kwa hiyo hakuna kudo mpaka ndoa.
Haya njooni sasa.
trueHawa wanaojifanya wanatafuta waume ni waongo wananogesha kijiwe tu, nimeshawahi kufanya trial nione huwa wako serious au wanazingua tu nika wa PM kana watatu nione. Wa kwanza akaniambia nitumie no nitakutafuta ila hakunitafuta hadi leo, wa pili hakujibu pm na watatu hakuwa anataka kuolewa ila inaonekana alikuwa anatafuta wa kumuweka mjini maana alitanguliza hela mbele. Then nikaconclude wengi wa wanaojifanya wanatafuta waume ili waolewe wana malengo ya kutafuta mabuki( wanaume wa kuwachuna) na wengi wao target zao ni kusaka waume za watu ambao tayar wana pesa
unaonekana mchafu wa tabia ndo maana imebidi utafutie huku,mtaani,kazini na kanisani wanakujua.Tabia ya mtu unaijua kwa maandishi yake tuKwani ukimpeleka mtu mahakamani bikra inatoka?
Kamatia fursaNgoja waje
Mkuu unaniruhusu nije kama hujampata??Wadau poleni na shughuli za ujenzi wa taifa.
Niende kwenye mada, nahitaji mume mwenye sifa zifuatazo.
Miaka kati ya 28 mpaka 38, mrefu, rangi yyte, dini yyte, kabila lolote, elimu yyote, kazi yyte. Awe anaishi popote Tanzania mwenye mapenzi ya dhati atafikiliwa zaid.
Sifa zangu utazipata ukija pm.
Kwa walio serious tu.
Nb: Mimi bado bikra kwa hiyo hakuna kudo mpaka ndoa.
Haya njooni sasa.
Nn,.. Ngoja iote buibuiUkimpata huyo yoyote nishtue na mm ila mm sio bikra....Ku do mpaka atoe mahali
We unayo ayo ya dhati,,!?Wadau poleni na shughuli za ujenzi wa taifa.
Niende kwenye mada, nahitaji mume mwenye sifa zifuatazo.
Miaka kati ya 28 mpaka 38, mrefu, rangi yyte, dini yyte, kabila lolote, elimu yyote, kazi yyte. Awe anaishi popote Tanzania mwenye mapenzi ya dhati atafikiliwa zaid.
Sifa zangu utazipata ukija pm.
Kwa walio serious tu.
Nb: Mimi bado bikra kwa hiyo hakuna kudo mpaka ndoa.
Haya njooni sasa.
Mbuzi kwenye guniaWadau poleni na shughuli za ujenzi wa taifa.
Niende kwenye mada, nahitaji mume mwenye sifa zifuatazo.
Miaka kati ya 28 mpaka 38, mrefu, rangi yyte, dini yyte, kabila lolote, elimu yyote, kazi yyte. Awe anaishi popote Tanzania mwenye mapenzi ya dhati atafikiliwa zaid.
Sifa zangu utazipata ukija pm.
Kwa walio serious tu.
Nb: Mimi bado bikra kwa hiyo hakuna kudo mpaka ndoa.
Haya njooni sasa.
Mbuzi kwenye gunia