Mume anahitajika awe tayari kubeba majukumu ya kuwa Baba

Mume anahitajika awe tayari kubeba majukumu ya kuwa Baba

Mim ni binti Wa miaka 27, kabila langu ni mbena,ni Mwl Wa sekondar,ni Mkristo,Sina mtoto natafuta mume awe mkristo,awe tayari kubeba majukumu km baba,awe tayari kupima afya kama uko tayari ni PM.
Kamwene..
Makasi...

Kila laheri bibie watakuja watafuta wake. Ila kua makini tu JF mabazazi wengi.
 
unnamed (1).gif
 
Mim ni binti Wa miaka 27, kabila langu ni mbena,ni Mwl Wa sekondar,ni Mkristo,Sina mtoto natafuta mume awe mkristo,awe tayari kubeba majukumu km baba,awe tayari kupima afya kama uko tayari ni PM.
Kamwene mnogage
Mbona hujaweka details zote za unaemtaka?
Inapendeza uwe specific ili usipate shida kusort na kupoteza muda wako kwa unwanted men.
 
Mim ni binti Wa miaka 27, kabila langu ni mbena,ni Mwl Wa sekondar,ni Mkristo,Sina mtoto natafuta mume awe mkristo,awe tayari kubeba majukumu km baba,awe tayari kupima afya kama uko tayari ni PM.
Weka na picha please
 
Kamwene mnogage
Mbona hujaweka details zote za unaemtaka?
Inapendeza uwe specific ili usipate shida kusort na kupoteza muda wako kwa unwanted men.
mtu akiweka vigezo vingi huwa wadau wanasema huyo mume amuumbe mwenyewe, na asipoweka vigezo vingi bado mnataka kuviona.

Jf shida.
Ila nalo ni wazo mkuu.
 
mtu akiweka vigezo vingi huwa wadau wanasema huyo mume amuumbe mwenyewe, na asipoweka vigezo vingi bado mnataka kuviona.

Jf shida.
Ila nalo ni wazo mkuu.
Be clear and concise.
Ukimsikiliza kila mtu mkuu hutafika chamsingi bidada aweke mahitaji yake yote wanaokidhi watamfata full stop.
 
Faida za kutumia formula yangu ya matunda (tibalishe)

Lazima uwe na whats app ndio utumiwe formula kama huna whats app usitume pesa zako hutopata formula
Gharama elfu 21700

1.kukufanya uwe na uume imara

2.kukufanya uwe na uume usiosinyaa ukeni kabla ya kuingiza na baada ya kuingiza

3.kukufanya uume usimame haraka na kudumu ukiwa imara

4.kufanya uchelewe kumwaga shahawa wakat wa tendo la ndoa utachukua dk 15_25

5.kukufanya uwe na shahawa nyingi na bora

6.kukufanya uwe na shahawa zinazookimbia kwa kas wakat wa kusex

7.kukufanya urudie tendo la ndoa zaid ya mara tatu bila kuchoka

8. Hukufanya uwe na hamu ya tendo kama zaman unaweza ukasex kila siku round mbili na hamu isiishe lakin haikufanyi ikusumbue kutaka mwanamke kila mda hapana unakua kawaida kabisa kama ulivyo mpaka utakapoamsha hisia zako mwenyewe ndio hamu inakuja kwa ufupi unakua dereva wa hisia zako.

9.kuimarisha mishipa iliharibiwa na punyeto

10kuimarisha misuli ilihoharibiwa na punyeto

11.kuzibua mishipa iliyoziba kwa mafuta yanayoganda mwilin

12.kupandisha uzalishaj wahomone kurudi katika hali ya kawaida.

13.kuchochea usamabazaji wa damu kwenda sehem mbali mbali za mwili

14.kuipa afya njema mishipa ya moyo (artery na vein)

15.kuondoa hatar ya kupata shinikizo la damu

16 kuondoa hatar ya kupata ugonjwa wa moyo

17 huindoa sumu mwilin na kukufanya ujisikie mwepesi
18. Huondoa kitambi na mafuta mwilin
19. Kukufanya uwe kuona vyema

20. Kukufanya uwe na kinga imara na ya hali ya juu kupambana na magonjwa
0712505049
@pona_nguvu_zakiume_kwa_matunda
Aisee naona unachukua fursa ndugu
 
Mim ni binti Wa miaka 27, kabila langu ni mbena,ni Mwl Wa sekondar,ni Mkristo,Sina mtoto natafuta mume awe mkristo,awe tayari kubeba majukumu km baba,awe tayari kupima afya kama uko tayari ni PM.
Mbena wewe?Nitumie PIC PM kisha tuangalie
 
Ngoja nijaribu kuja huko PM kama utanikubalia.
Maana Wabena huwa hamtupendi sana Wakinga.

Ngja nijaribu bahati yangu lakini.
 
Back
Top Bottom