Mume anahitajika awe tayari kubeba majukumu ya kuwa Baba

Mume anahitajika awe tayari kubeba majukumu ya kuwa Baba

Mim ni binti wa miaka 27, Kabila langu ni Mbena,

Mimi ni Mwalimu wa Sekondari dini yangu ni Mkristo. Sina Mtoto natafuta mume awe Mkristo na awe tayari kubeba majukumu kama Baba, awe tayari kupima afya.

Kama uko tayari ni PM.
Pia mm ni mbena tena ni mwalimu wa sec njoo inbox kwa uhakiki zaid
 
Mim ni binti wa miaka 27, Kabila langu ni Mbena,

Mimi ni Mwalimu wa Sekondari dini yangu ni Mkristo. Sina Mtoto natafuta mume awe Mkristo na awe tayari kubeba majukumu kama Baba, awe tayari kupima afya.

Kama uko tayari ni PM.
Hello, mambo
 
Lumumba FC umestaafu
Kule bado.kule sistaafu mpaka wakati usio na kipimo.tatizo lenu nyie hamuamini kama CCM inapendwa na watu Sasa subirini 2020 tarehe 25/October..MUONE Kimbunga Cha ajabu Cha JPM..siku hio usinilalamikie Mimi walalamikie wenye nchi
Ccm 79%
Chadema 13%
Cuf 4%
 
Kule bado.kule sistaafu mpaka wakati usio na kipimo.tatizo lenu nyie hamuamini kama CCM inapendwa na watu Sasa subirini 2020 tarehe 25/October..MUONE Kimbunga Cha ajabu Cha JPM..siku hio usinilalamikie Mimi walalamikie wenye nchi
Ccm 79%
Chadema 13%
Cuf 4%
Sawa
 
Mim ni binti wa miaka 27, Kabila langu ni Mbena,

Mimi ni Mwalimu wa Sekondari dini yangu ni Mkristo. Sina Mtoto natafuta mume awe Mkristo na awe tayari kubeba majukumu kama Baba, awe tayari kupima afya.

Kama uko tayari ni PM.
1. Unaishi mkoa na wilaya gan ?
2. Una elimu gan na unataka wa elim gan ?
3. Ungetaka mwanaume mwenye umri gani ?
4. Ungependa mwanaume anaefanya kazi ya asili gani ?
5. Ombi - Ungeeka japo picha ili wanazengo wakuone
 
Upo mkoa gani.siri kuingia pm unafanyaje mbo mi sijui jamani naomba elimu kuuliza siyo ujinga
 
Niko hapa Mimi ...nahitaji mke kama wewe..(je Una mtoto ?)
 
Nitafute kwa 0718754110
Mim ni binti wa miaka 27, Kabila langu ni Mbena,

Mimi ni Mwalimu wa Sekondari dini yangu ni Mkristo. Sina Mtoto natafuta mume awe Mkristo na awe tayari kubeba majukumu kama Baba, awe tayari kupima afya.

Kama uko tayari ni PM.
 
Mim ni binti wa miaka 27, Kabila langu ni Mbena,

Mimi ni Mwalimu wa Sekondari dini yangu ni Mkristo. Sina Mtoto natafuta mume awe Mkristo na awe tayari kubeba majukumu kama Baba, awe tayari kupima afya.

Kama uko tayari ni PM.
Majukumu kama baba?? Awe kama babaako au mimi sijaelewa hapo " kama baba"
 
Back
Top Bottom