Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Muulize kama pengine anamdogo wake nijiongeze kivyanguNina miaka 23 uko tayari
Nina sifa ulizotaja tatizo Sina Kaz ila natarajia kupata soon
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize kama pengine anamdogo wake nijiongeze kivyanguNina miaka 23 uko tayari
Nina sifa ulizotaja tatizo Sina Kaz ila natarajia kupata soon
Madam B. Ni mama mkwe wako kuwa makini. Ohoooo[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji3][emoji3]nmekuona umetoa oda kwa madam b
[emoji15][emoji15]mama mkwe tena?[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Madam B. Ni mama mkwe wako kuwa makini. Ohoooo[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Umri ujaweka wakija madogo wa 20 maana jf sikuhizi hadi watoto wa primary wamoMim ni binti Wa miaka 27, kabila langu ni mbena,ni Mwl Wa sekondar,ni Mkristo,Sina mtoto natafuta mume awe mkristo,awe tayari kubeba majukumu km baba,awe tayari kupima afya kama uko tayari ni PM.
Achana na madame B banaaaaa.[emoji15][emoji15]mama mkwe tena?
[emoji3][emoji3][emoji3]Inna eeeeeAchana na madame B banaaaaa.
Kwanza mzeee. Mimi ntampeleka wapi.
Acha apambane na wazee wenzie akina Chief Mkwawa [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Haqqqqqi akiona hii post ataniua @[emoji3][emoji3][emoji3]
Unamtuliza tu kwa mpesaHaqqqqqi akiona hii post ataniua @
Unamtuliza tu kwa mpesa
Uko sahihi mkuuBe clear and concise.
Ukimsikiliza kila mtu mkuu hutafika chamsinga bidada aweke mahitaji yake yote wanaokidhi watamfata full stop.
Jamani nimetafuta mwalimu mda mrefu bila shaka nimempata sasa...!Mim ni binti Wa miaka 27, kabila langu ni mbena,ni Mwl Wa sekondar,ni Mkristo,Sina mtoto natafuta mume awe mkristo,awe tayari kubeba majukumu km baba,awe tayari kupima afya kama uko tayari ni PM.
mmh wewe wa njombe kibena au wapi?Mim ni binti Wa miaka 27, kabila langu ni mbena,ni Mwl Wa sekondar,ni Mkristo,Sina mtoto natafuta mume awe mkristo,awe tayari kubeba majukumu km baba,awe tayari kupima afya kama uko tayari ni PM.
Nitafute hapa 0673033892Mim ni binti Wa miaka 27, kabila langu ni mbena,ni Mwl Wa sekondar,ni Mkristo,Sina mtoto natafuta mume awe mkristo,awe tayari kubeba majukumu km baba,awe tayari kupima afya kama uko tayari ni PM.
Mim ni binti wa miaka 27, Kabila langu ni Mbena,
Mimi ni Mwalimu wa Sekondari dini yangu ni Mkristo. Sina Mtoto natafuta mume awe Mkristo na awe tayari kubeba majukumu kama Baba, awe tayari kupima afya.
Kama uko tayari ni PM.[/QUO
Tutafutane mama.me maasai arusha