Barieda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 1,808
- 2,470
😳😳😳😳😳Majukumu kama baba?? Awe kama babaako au mimi sijaelewa hapo " kama baba"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😳😳😳😳😳Majukumu kama baba?? Awe kama babaako au mimi sijaelewa hapo " kama baba"
Daaaa watu mna maono aseee. No way imebidi tu nicheke. Ila ulichokisema ni kweliUtakufa we kenge. Muda huu ulitakiw uwe shuleni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] . Toa ushuhuda nn kimekukutaDaaaa watu mna maono aseee. No way imebidi tu nicheke. Ila ulichokisema ni kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua huyo dogo umemshauri fresh sana. Just imagine mwanamke anaetafta mume anamiaka 27 ni mwalim means anaajira anakaz. Huyu dogo anamiaka 23 hana kaz[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] . Toa ushuhuda nn kimekukuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Mim ni binti wa miaka 27, Kabila langu ni Mbena,
Mimi ni Mwalimu wa Sekondari dini yangu ni Mkristo. Sina Mtoto natafuta mume awe Mkristo na awe tayari kubeba majukumu kama Baba, awe tayari kupima afya.
Kama uko tayari ni PM.