Mume anahitajika

Mchumba hatafutwi hivi ndugu na hususani Mume. Wanaume ni walafi sana. Mume bora hujengwa na wewe mwenyewe. Mime bora utampata kwenye mfumo wako wa maisha, kwenye maisha yako ya kila Siku. Ila, unaweza kuwa na bahati. Jiulize, kwenye mazingira yako ya kasi, mtaani, n.k hujaona au hakuna waliojitokeza? Kama ndivyo, jichunguze wewe.
 
Sure i want someone who he will be like stars no in this jf no let me continue to search in my area very sorry people
 
Mbona hamjiiii?
Wamekuja ila siwaelewi
Hivi is it possible to get a man like ronaldo or actors of USA.?
BECAUSE I DID NOT SEE MY MATCH ALREADY
Unajua tatizo lako unadharau kila anayekuja PM Ila nina hakika kuna watu tunavigezo vilivozidi muonekano wako.

Nilichogundua kuna cha ziada unachotafuta tofauti na vigezo vyako
 
All i need is to give jf a chance
 
But no let's end here people nice meeting bbf close and your right a man you will find around u true best.
 
Nipo aseee , naona umri unaruhusu
 
display up your CV. That would help as well as let men in need make up their mind on your request
 
Mbona hamjiiii?
Wamekuja ila siwaelewi
Hivi is it possible to get a man like ronaldo or actors of USA.?
BECAUSE I DID NOT SEE MY MATCH ALREADY
Ronaldo mbona unampata in the blink of an eye!!!
Kuna kibaka mzoefu kitaa wenzie humwita Ronaldo nakupm namba yake!
 
Hapo mitaa ya jirani wote hawana mvuto au nini haswa kimejiri wakakuacha?

Ofisini/Kibaruani kwako nako hawana mvuto?

Najiulizaga sana inawezekanaje ukubali kuishi na mimi for the rest of your happy/miserable life na umenijua tu kwa pen-name, na ushindwaje kupata mwenzi kati ya hao wanaokuzunguka katika mazingira yako iwe kikazi au kijamii?.

Je yule alieuchukua usichana wako au yule mliepenziana kwa miezi 3+ kwaniji wasiwe hao? Kuna mushkeli gani wamegundua kwako au umegundua kwao mpaka uje utafute Ghost-Husband?

Anyways labda mimi ndio sijui vizuri hii mambo.
 
Eh uhandsome naamana yangu nikiwa nimefikia stegi yakuweka nguo zangu hadharani people will want to see me.
So i need a hubby who is a good looking for show up and when you sex with him you will have more emotion.
Hahahaa mnalooo
Je kuandika na kusoma vizuri ni moja ya vigezo anavyotakiwa kuwa navyo huyo mume tarajiwa?

Vipi kuhusu lugha ya malkia, nacho ni kigezo?

YAJAYO YANAFURAHISHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…