Oltung'anyi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 284
- 196
Unajua tatizo lako unadharau kila anayekuja PM Ila nina hakika kuna watu tunavigezo vilivozidi muonekano wako.Mbona hamjiiii?
Wamekuja ila siwaelewi
Hivi is it possible to get a man like ronaldo or actors of USA.?
BECAUSE I DID NOT SEE MY MATCH ALREADY
All i need is to give jf a chanceMchumba hatafutwi hivi ndugu na hususani Mume. Wanaume ni walafi sana. Mume bora hujengwa na wewe mwenyewe. Mime bora utampata kwenye mfumo wako wa maisha, kwenye maisha yako ya kila Siku. Ila, unaweza kuwa na bahati. Jiulize, kwenye mazingira yako ya kasi, mtaani, n.k hujaona au hakuna waliojitokeza? Kama ndivyo, jichunguze wewe.
Mwanaume wakumchezea akili tuUnaitaji mume au unahitaji mwanaume
Umekuja now where here or homeUnajua tatizo lako unadharau kila anayekuja PM Ila nina hakika kuna watu tunavigezo vilivozidi muonekano wako.
Nilichogundua kuna cha ziada unachotafuta tofauti na vigezo vyako
Subir hata mwakan anaweza tokeaMbona hamjiiii?
Wamekuja ila siwaelewi
Hivi is it possible to get a man like ronaldo or actors of USA.?
BECAUSE I DID NOT SEE MY MATCH ALREADY
[emoji23] [emoji23]Haya mama!
Eti mvuto!! [emoji23]Mvuto? Wa biashara au?
Ronaldo mbona unampata in the blink of an eye!!!Mbona hamjiiii?
Wamekuja ila siwaelewi
Hivi is it possible to get a man like ronaldo or actors of USA.?
BECAUSE I DID NOT SEE MY MATCH ALREADY
Je kuandika na kusoma vizuri ni moja ya vigezo anavyotakiwa kuwa navyo huyo mume tarajiwa?Eh uhandsome naamana yangu nikiwa nimefikia stegi yakuweka nguo zangu hadharani people will want to see me.
So i need a hubby who is a good looking for show up and when you sex with him you will have more emotion.
Hahahaa mnalooo