Dabby Jr
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 324
- 260
Kweli kabsa mkuu,tena kazi tunayowale wanachuo tuendelee kusoma kwa bidii haya mambo si yakwetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabsa mkuu,tena kazi tunayowale wanachuo tuendelee kusoma kwa bidii haya mambo si yakwetu.
Sweetlee mamboBasi sawa watakuja.
hahahahahahahahahahahah aaanina zakeNa mimi sihongi twende kazi.
0621249994 Nicheki if you are seriouslyMimi ni mgeni hapa JF ila nimekuja kwa nia moja mume.
Nahitaji mtu ambaye yupo serious na maisha.
Ila mimi nampenda mwanaume ambaye anajua anachotaka.
Ajiheshimu sijali umri najali kujua yeye anataka nini.
Mwanaume mwenye mvuto ajue kubembeleza ajichukue kiasi fulani.
Asiependa shida asiwe anaringaringa.
Awe na kazi .
Awe mkristo.
Wasifu wangu mimi ni mzuri najitambua.
Ninakazi
Najua kujali
Ila sihongi.
Nipo serious sana.
Tena uweze kuwatayari kuja huku nilipo.
Please not this even if you want a second wife.
I will be the one.(joking)
But people seriouly i need a man in my life jamani mwenye mvuto. Sio muislamu.
Mmhna lile lako pia ujaaliwe
Hivi nyie mpo serious hamtanii?
Mimi nilikutafuta where?when kiki unataka mimi sio starna mie nashangaa,sijui PM hawaijui,au mkishaoana ndani inakua gubu? wewe si ulinitafuta mwenyewe?lol
Nyodo lazima nani nani kasema hatupatiHivi mnajua hata kuringa/Nyodo vina mwisho wake, huwezi pata mme wa kukufaa kwa Style hii,
Kwani mdomo unanguo?Nilichogundua tabia yako ndo inakufanya huteseke ivi.pole sana, hebu jisitili maneno yako then utaona mabadiliko
Na wewe ndo umeandika nini sasa, kwani mtu wa JF sio wa maana..!!!!Una vigezo vigumu, awe na mvuto asipendwe huko mtaani, ofisini, kanisani akusubiri wewe JF?