Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntakuwekea pm ingawa niko under40!Natumaini wote ni wazima nakuja tena mara ya pili kwa ajili ya kupata mwenza wa maisha. ni mama wa mtoto mmoja 8yrs nipo single bado kwa yeyote anipm nina 40yrs.
Natumaini wote ni wazima nakuja tena mara ya pili kwa ajili ya kupata mwenza wa maisha. ni mama wa mtoto mmoja 8yrs nipo single bado kwa yeyote anipm nina 40yrs.
Natumaini wote ni wazima nakuja tena mara ya pili kwa ajili ya kupata mwenza wa maisha. ni mama wa mtoto mmoja 8yrs nipo single bado kwa yeyote anipm nina 40yrs.
habari...baba wa mtoto yupo wapi?
Sio wewe kweli?
hahaha...ungejua nisivyopenda watoto
Mi nilihoji kama wewe wakaniambia hili ndo jukwaa lao. Mume wa kwenye? mmmmhh !siku kutafuta mwenza imekuwa sawa na kutafuta nyumba ya kupanga. Mwee
Natumaini wote ni wazima nakuja tena mara ya pili kwa ajili ya kupata mwenza wa maisha. ni mama wa mtoto mmoja 8yrs nipo single bado kwa yeyote anipm nina 40yrs.
Du bora wewe mm nina 67yrs hatanikubali, na naogopa hajaweka vigezo vya umri Elimu, urefu, umriNi pm..
Aiseee yaani 40yrs still unahitaji mume! Mam we lea mwanao tu, zaidi unatala kujitafutia kimeo. Hapo labda umpate mwanaume aliyefiwa na mkewe halafu ana watoto kama wanne hivi ndiyo aje akuoe kisha muanze maisha halafu uone kimeo cha kulea watoto ambao siyo wako na jinsi watavyokusumbua.
Binafsi sikushauri,