Festo Andrews
Member
- Apr 1, 2022
- 23
- 25
Huyo jamaa yako anamfikisha kunako huyo mwanamke ndio maana hiyo ndoa inadumu mpaka leo. Yan ingekua ile jamaa hana maajabu asingeacha ona rangi zote ulimwengu huu.Inategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 10 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
Inategemea na huyo mwanaume ana mchango gani extra nje ya kipato, pili anafanya nini kukabiliana na hali husika na mwisho kabisa inategemea jamaa alikua namtreat vipi mke hapo kabla.Hakuna mwanamke atakaa na mwanaume 10 yrs hana ajira amvumilie, hata apokee 30 Mils per week. Am sure.
watu wanasomesha wanawake na wanakuja kupigwa na vitu vizito, katika maisha kukosana lazima haswa maisha ya mahusiano.wapo nakuhakikishia inategemea tu wew ulipokuwa na ajira yako ulikuwa una mtreat vipi
kama ulikuwa ulikuwa mtu wa viwanja na wanawake wengine nyumban unarudi uchelewa umelewa maneno machafu na kipigo juu hahahah rafiki utajuta
Hiyo dunia leo men have to adopt kuishi na wanawake waliowazidi vipatoHakuna ndoa hapo ni heri akubali kupata maumivu mapema kabla ajateseka sana yeye aachane nae kwasababu hawaendani mwanamke akishakuzidi kipato imeisha io kwa dunia ya leo hawezi kukuheshimu.
Mbona wapo wengi. Shida akukute na mchepuko tuInategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 10 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
Kwenye Ke B 1 yupo mmoja tu wa hivyo, pia ni muda tu utafika Ke hataacha rangi halisi kumuonesha Me kitabia (visanga).Inategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 10 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
Eti?Kama mke anakubali kulala kifudifudi heshima gani nyingine anayoitaka..
HakunaaEti?
Maisha ya mahusiano lazima uishi kwa nywila, muda wowote na saa yeyote chochote kinatokea, kufikiria tofauti inasaidia hata siku nikipigwa na kitu kizito tayari nimekwishajiandaa kiakili, psychologically na kimwili hii inasaidia kupunguza maumivu na kusonga mbele.Jifunze kuona mema basi? Au macho yako yanaona mabaya absh mpk usiku?
wewe umejuaje mume ana miradi yakeInategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 10 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
Watu wamejengea wenza ghorofa, wengine wakahonga na range rover, wengine wameuza hadi viwanja vya familia, mwisho wa siku hawaamini kilichowakuta.Inategemea na huyo mwanaume ana mchango gani extra nje ya kipato, pili anafanya nini kukabiliana na hali husika na mwisho kabisa inategemea jamaa alikua namtreat vipi mke hapo kabla.
Kosa sio shida, shida ni aina ya kosa.watu wanasomesha wanawake na wanakuja kupigwa na vitu vizito, katika maisha kukosana lazima haswa maisha ya mahusiano.
Hata mwanamke anaweza kuwa anamkose mmewe.
Mwanamke huwa akipata high value male kukuzidi hapo ndipo dharau huwa zinaanza lakini mwanaume anaweza kuwa na pisi kali nje na bado akamheshimu mkewe.
Word...Maisha ni zaidi ya salary!!!
Kwanini usijue inamaana waishi bila mipango ya fedha kwenye familia???
kuna wanaume bwege piaInategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 10 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
True LoveInategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 10 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.