Mume anapokea 1M salary kwa mwezi na mke anapokea 3M, kutakuwa na heshima kweli hapa?

Mume anapokea 1M salary kwa mwezi na mke anapokea 3M, kutakuwa na heshima kweli hapa?

Kikawaida nature yetu wanaume tumezaliwa kuwa watawala yaani tunajihisi kuwa na nguvu pale tunapokuwa watawala, sasa ikatokea mwanamke amekuzidi automatically tu utajihisi mdhaifu hivyo hata ile amani ya moyo utakosa nguvu ya kuongea kwa sauti ya mamlaka katika familia utakosa pia hence amani kuwepo itakuwa ni ngumu sana
 
Inategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 10 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
Huyo jamaa yako anamfikisha kunako huyo mwanamke ndio maana hiyo ndoa inadumu mpaka leo. Yan ingekua ile jamaa hana maajabu asingeacha ona rangi zote ulimwengu huu.
 
Dunia imebadilika... pesa zipo kwa wanawake, ingawa mwanaume ukipambana vilivyo una chance kubwa ya kumzidi mkeo sababu hubebi mimba, hunyonyeshi na pia wewe sio primary care giver wa familia.

Ifike hatua mwanaume ukae ujiulize nje ya kipato what else makes you masculine????
Tuliza akili, MWANAMKE MWENYE AKILI ANAJUA MWANAUME MPAMBANAJI NI SWALA LA MUDA KABLA MILANGO HAIJAFUNGUKA.

Mkiwa hamjatuzidi kipato ishini nasi kwa upendo, msicheat na pale majukumu ya nyumbani yanapohitaji extra hand mjitoe.

Lakini sasa ukiwa huna hela, huna ramani, una gubu, bado unataka ucheat na bado unataka uwe treated kama mfalme utakua huna akili. Sio mama yako huyo.

INFERIORITY COMPLEX NI ANGUKO LA WANAUME WENGI NA HAPO HATA HAJADHARAULIWA
 
wapo nakuhakikishia inategemea tu wew ulipokuwa na ajira yako ulikuwa una mtreat vipi
kama ulikuwa ulikuwa mtu wa viwanja na wanawake wengine nyumban unarudi uchelewa umelewa maneno machafu na kipigo juu hahahah rafiki utajuta
watu wanasomesha wanawake na wanakuja kupigwa na vitu vizito, katika maisha kukosana lazima haswa maisha ya mahusiano.
Hata mwanamke anaweza kuwa anamkose mmewe.
Mwanamke huwa akipata high value male kukuzidi hapo ndipo dharau huwa zinaanza lakini mwanaume anaweza kuwa na pisi kali nje na bado akamheshimu mkewe.
 
Hakuna ndoa hapo ni heri akubali kupata maumivu mapema kabla ajateseka sana yeye aachane nae kwasababu hawaendani mwanamke akishakuzidi kipato imeisha io kwa dunia ya leo hawezi kukuheshimu.
Hiyo dunia leo men have to adopt kuishi na wanawake waliowazidi vipato
And women have to adopt kuelewa nafasi yao kwenye familia hata kipato kikizidi.

Dunia ya leo what a man can do a woman can do.... fursa zipo nje nje, unaweza oa mwanamke umemzidi kipato ila akapambana ndani ya familia na akakuzidi pakubwa tu
 
Inategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 10 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
Mbona wapo wengi. Shida akukute na mchepuko tu
 
Inategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 10 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
Kwenye Ke B 1 yupo mmoja tu wa hivyo, pia ni muda tu utafika Ke hataacha rangi halisi kumuonesha Me kitabia (visanga).

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
Jifunze kuona mema basi? Au macho yako yanaona mabaya absh mpk usiku?
Maisha ya mahusiano lazima uishi kwa nywila, muda wowote na saa yeyote chochote kinatokea, kufikiria tofauti inasaidia hata siku nikipigwa na kitu kizito tayari nimekwishajiandaa kiakili, psychologically na kimwili hii inasaidia kupunguza maumivu na kusonga mbele.

Unakuta mtu anasomesha mchumba, baadae mchumba anamuacha, anachanganyikiwa na kujiua au kwenda kumuua mchumba.

Vijana wengi kipindi mahusino yapo kwenye peak wanajisahau kabisa hivyo nawakumbusha.
 
Inategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 10 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
wewe umejuaje mume ana miradi yake
 
Inategemea na huyo mwanaume ana mchango gani extra nje ya kipato, pili anafanya nini kukabiliana na hali husika na mwisho kabisa inategemea jamaa alikua namtreat vipi mke hapo kabla.
Watu wamejengea wenza ghorofa, wengine wakahonga na range rover, wengine wameuza hadi viwanja vya familia, mwisho wa siku hawaamini kilichowakuta.
Si muwe mnasoma hata kwenye bible hadithi za Samson na Delilah ndugu zangu ni mifano tosha.

Tuishi na wanawake vizuri, tuwaheshimu, wapate mahitaji yao lakini uwe unatembea na moja kichwani, chochote kinaweza tokea muda na saa yeyote, haijalishi umempa biashara ya bilini 1, tenda wema Mungu atakulipa.
 
watu wanasomesha wanawake na wanakuja kupigwa na vitu vizito, katika maisha kukosana lazima haswa maisha ya mahusiano.
Hata mwanamke anaweza kuwa anamkose mmewe.
Mwanamke huwa akipata high value male kukuzidi hapo ndipo dharau huwa zinaanza lakini mwanaume anaweza kuwa na pisi kali nje na bado akamheshimu mkewe.
Kosa sio shida, shida ni aina ya kosa.
Ogopa sana kuzidiwa kipato na mwanamke uliyemcheat hapo kabla au ulimnyanyasa waziwazi. Bro bora utelekeze familia ukapambane kiume urudi ukijipata, otherwise it's show time.
 
Inategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 10 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
kuna wanaume bwege pia
 
Inategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 10 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
True Love
 
Back
Top Bottom