And this is the meaningful of love...Inategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 8 au 9 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
Kama wewe unajua basi tambua na wenzio wanajuaInategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 8 au 9 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
Si rahisi... wapo wanaojua ila watakuwa watu wa karibu sana. Mimi najua kwa sababu ni mtu wao wa karibu sana wote nimesoma nao na wote walikuwa marafiki zangu kila mtu nilimfahamu kwa wakati wake kabla ya wao kufahamiana.Kama wewe unajua basi tambua na wenzio wanajua
Naamini na kukubali kila mmoja anaamini katika njia yake.NDOA ni mpango wa Mungu kwa wanafamu. Mwanamke aliumbwa AMSAIDIE mwanamune. ukiona kuna mke flani hawezi kumsaidia mume wake ujue hiyo ndoa sio mpango wa Mungu. walilazimisha tu. "wawili watakuwa mwili mmoja". NDOA ni jambo la rohoni (ndani sana). ni zaidi ya vitu vya kuonekana kama pesa, mali, ...
NDOA iliyo katika mpango na mapenzi ya Mungu ni raha sana!!!!!
hivi million 3 ni nyingi eh kimshahara?Mke analetwa home na gari la kazini mume anapanda dala dala, ukitela fyoko unaambiwa kaa pembeni.
View attachment 2940731
Pesa inaleta dharau sana smart hasa kwa wanawake haipendezi mke kumzidi mume kipato walau ndio heshima itakuepo
Huyo mke apewe maua yake.Inategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 8 au 9 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
Huyo mwanamke ana nafasivya kipekee huko kwa Muumba.Inategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 8 au 9 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
hapa inategemea alikuwa anaishi vipi na mimi kipindi ana pesa alipokuwa nazoInategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 8 au 9 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
Mwanamke anaweza kuwa na milioni 100 haina kazi lakini elfu kumi yako anaipigia mahesabu na unayo hio hio.😂Mwanamke akikuzidi kipato huyo tayari anakuwa mwanaume mwenzio.
Mwanamke asikuzidi pesa.
Mwanamke asikuzidi umri.
Mwanamke asikuzidi elimu.
Mwanamke hata kimo asikuzidi utajuta.
Mwanamke hata akiwa anatokea kwenye family ina status au familia yao ni maarufu, my frendi utajuta na hakuna rangi utaacha kuona.
Mwanamke anaweza kuwa na milioni 100 haina kazi lakini elfu kumi yako anaipigia mahesabu na unayo hio hio.
Kwenye kila jambo exceptional zipo, wanawake wenye uwezo kiuchumi na wapo loyal wapo japo ni very rare ni kama miujiza flani.
Mwisho niseme kama una mwanamke anakuzidi fedha ni suala la muda tu, tupo hapa na utanikumbuka kwa hii kauli. Japo haijawahi nikuta binafsi lakini familia, marafiki n.k washapigwa na kitu kizito nashuhudia.
Dunia imebadilika... pesa zipo kwa wanawake, ingawa mwanaume ukipambana vilivyo una chance kubwa ya kumzidi mkeo sababu hubebi mimba, hunyonyeshi na pia wewe sio primary care giver wa familia.
Ifike hatua mwanaume ukae ujiulize nje ya kipato what else makes you masculine????
Tuliza akili, MWANAMKE MWENYE AKILI ANAJUA MWANAUME MPAMBANAJI NI SWALA LA MUDA KABLA MILANGO HAIJAFUNGUKA.
Mkiwa hamjatuzidi kipato ishini nasi kwa upendo, msicheat na pale majukumu ya nyumbani yanapohitaji extra hand mjitoe.
Lakini sasa ukiwa huna hela, huna ramani, una gubu, bado unataka ucheat na bado unataka uwe treated kama mfalme utakua huna akili. Sio mama yako huyo.
INFERIORITY COMPLEX NI ANGUKO LA WANAUME WENGI NA HAPO HATAHAJADHARAULIWAT
Alikuwa ana mspoil sana toka wapenzi, uchumba hadi ndoa. Alilkuwa anamspoil kila kizuri kilikuwa kwa ajili yake. So, kinda of anarudisha fadhilahapa inategemea alikuwa anaishi vipi na mimi kipindi ana pesa alipokuwa nazo
Kama utamwambia unapokea kiasi gan utakuwa umechana mkeka maan M1 bado ni nyingi still mwanaume unaeza ukaishi kama vile unapokea tano,unafaa ujue wanawake fedha zao hawafanyii vitu vya msingi ni Kama vile wanaonaga hayawausu kwahiyo we kama mwanaume unaeza mchekecha tu ukazitumia kama vile zako ila wewe usikose chakwako halisiMke analetwa home na gari la kazini mume anapanda dala dala, ukitela fyoko unaambiwa kaa pembeni.
View attachment 2940731
Mwanamke wa hivi ktk wilaya yetu ya kigamboni wanaweza kuwa wanne tu. Hongera yake mwambaInategemea aisee. Nina rafiki yangu alifukuzwa kazi mwaka wa 8 au 9 sasa mke wake anavuta kama 3 hivi. Lakini hata kwao mke wanahisi mme ndiye anaendesha familia. Alinunua gari jina la kadi la mumewe. Wakitoka mume ndiye analipa bills lakini pesa kampa mke.
Yani huwezi jua kama mke ndiye anasimamia show na mke anamkubali mmewe kinoma.
Last born. Wakati anamuoa tulidhani kapotea maana mke mwenyewe pisi kali amekaa kaa kiwizi wizi. Sema kumbe ni mke safi
Kweliwapo nakuhakikishia inategemea tu wew ulipokuwa na ajira yako ulikuwa una mtreat vipi
kama ulikuwa ulikuwa mtu wa viwanja na wanawake wengine nyumban unarudi uchelewa umelewa maneno machafu na kipigo juu hahahah rafiki utajuta
Wanawake unaokutana nao ndo hela zao hawafanyii vitu vya msingi.Kama utamwambia unapokea kiasi gan utakuwa umechana mkeka maan M1 bado ni nyingi still mwanaume unaeza ukaishi kama vile unapokea tano,unafaa ujue wanawake fedha zao hawafanyii vitu vya msingi ni Kama vile wanaonaga hayawausu kwahiyo we kama mwanaume unaeza mchekecha tu ukazitumia kama vile zako ila wewe usikose chakwako halisi