Mume anatafutwa

Mkristu mwenye mtoto nje ya ndoa ni mzinzi. Inashangaza Bi. Mariam anatafuta mume mzinzi aliye serious 😂😂.

Mambo yapo kasi sana.
 
Kwa hizi sifa zako inabidi upate Mwanaume aliyefiwa na mkewe na awe na watoto wanne
 
Uko tayari kwenda na Mimi Bi Mariam??Kwa upande wangu nimelipokea,,,kulisoma,,na kulitafakari kwa kina mnoo takwa lako,,Nipo tayari kuindeleza safari nawe!!tuwasiliane pm,,labda tunaweza pata wasaha wa kufahamiana zaidi na hatimaye kujuana zaidi kama hutojali lakini Bibiee Mariam.
 
Haya ni maoni yako tu, kila bidhaa ina soko lake.
Ni kweli kila bidhaa ina soko lake pia ina bei yake. Unapopanga bei ya bidhaa inatakiwa iendane na quality ya bidhaa husika.
Vigezo vyako viendane na your Sex Market Value.
Miaka 33 plus mtoto juu your SMV is diminished. kusema nataka mwenye hiki na kile iyo nafasi hauna tena competition ni kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…