Bi mariam5
Member
- Feb 9, 2024
- 83
- 98
- Thread starter
- #81
We km unavigezo nenda utaenda kupimiwa Oil huko huko ukipita kwenye mchujo ndio utajua ni km ngapi imetembea Ila jua ni JIONI
Acha uchonganishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We km unavigezo nenda utaenda kupimiwa Oil huko huko ukipita kwenye mchujo ndio utajua ni km ngapi imetembea Ila jua ni JIONI
Hahha Looh!
Amesema hataki Mchagga Ila yeye haujasema ni Kabila gani? Maisha haya
Mbona hujibu pmMimi Mkinga, karibu
Ni wakongwe wanaona haya kutumia zile ids kongwe ambazo hujimwambafy nazo😂Mara nyingi ni IDs mpya ndo hutafuta wenza humu!
Huwa nawaza sana kama matilaba yao ni ya dhati au la!
Mzinzi anatafuta mzinzi mwenzio..Mkristu mwenye mtoto nje ya ndoa ni mzinzi. Inashangaza Bi. Mariam anatafuta mume mzinzi aliye serious 😂😂.
Mambo yapo kasi sana.
Kwa hizi sifa zako inabidi upate Mwanaume aliyefiwa na mkewe na awe na watoto wanneHabari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;
Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA[emoji2]
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.
Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja
Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
Ubaguzi pole mkuu mangiSamahani kwa usumbufu ila ningependa kujua kwanini....
Tako huwa lina kazi gani [emoji15]Nina Masters, Vp una Tako kubwa laini? Sifa zote nnazo ila sharti uwe mweupe umepanda hewani mrefu mwenye Tako kubwa lainiiiii
Utafute mchumba na id kongwe utaletewa post zako mpaka za 2013Mara nyingi ni IDs mpya ndo hutafuta wenza humu!
Huwa nawaza sana kama matilaba yao ni ya dhati au la!
Ni kweli kila bidhaa ina soko lake pia ina bei yake. Unapopanga bei ya bidhaa inatakiwa iendane na quality ya bidhaa husika.Haya ni maoni yako tu, kila bidhaa ina soko lake.
Ndio una maanisha Ndiyo au kitu gani?Ndio mimi ni mkatoliki safi
Daah wewe ni Mkinga wa Makete?Mimi Mkinga, karibu
Ni vipi sasa bimariam?Sio hivo
Ni vipi sasa bimariamSio hivo
Duuuh kwa hio na uchumi uwepo sio unakuja na mavyeti yako ya masters tu?Kama unajiweza kiuchumi karibu sana
Upi huo mkuu?Acha uchonganishi
Sisi tunaoishi Mororgoro hututaki?