Mume anatafutwa

Your so bitter, acha ku judge kwa mtazamo wako pekee, kila mtu ana taste yake, competition is everywhere.
Mpaka hapo tayari competition imeshakutoa sokoni. Unatafuta mme mitandaoni kwani huko Mtaani kwako umewakosa? Maana kama hao wanaokuona physically wamekureject inafikirisha sana.
Wewe ni msomi na una kipato komaa kufanya kazi yako and take care of your child hawa wahuni unawatafuta huku mitandaoni wataishia kulala na wewe na kukuacha because your loose, naive and desperate.
(Baada ya hapa nakuja na I'd nyingine pm kukuthibitishia hilo la kuliwa kimasihara.)
 
Nipo Dodoma_Kisasa,miaka53ukiniona kama Nina miaka 22!Karibu
 
Aisee mtu single maza alafu masharti mia ishirini kidogo...wee chukua anayepumua tuu. Mwenzio mawardat pamoja na tako skonsi bado anacheza mdako nyumbani kwa wazazi

Hayo ni mawazo yako tu finyu, kamchukue wewe anayepumua tu, that is according to me.
 

Wa mtandaoni ndio hawa hawa wa mtaani, matapeli mtandaoni wapo na mtaani wapo, ne smart.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…