Mume anatafutwa

Mume anatafutwa

Habari zenu wana Jf,
Naitwa Bi Mariam, natafuta mume aliye serious, anayetaka kuoa, mwenye sifa zifuatazo;

Umri : 34 - 40
Dini : Mkristo
Elimu : Awe na Digrii na kuendelea
Awe ameajiriwa Serikalini au Private
Kwa anayeishi Dodoma, Morogoro au DSM
ASIWE MCHAGA[emoji2]
Akiwa na watoto sawa ila asiwe ameoa kabla.
Awe na kipato kinachojitosheleza na maisha.

Sifa zangu
Umri : 33
Dini : Mkristo
Elimu: Kuanzia Degree
Kazi : Nimeajiriwa Serikalini
Naishi : Dodoma
Mtoto : Mmoja

Kwa yeyote aliye serious na maisha anakaribishwa sana.
cv yako inabidi ianze na neno singo maza usitaje umri elimu wala ajira yako.......
 
😁😁😁 huyu mbabu simtaki
Wacha MADHEREU hakuna mbabu sisi miaka tu ndio imesogea, ila nguvu akili, mikiki, patashika nguo kuchanika ni bado baro baro kabisa.
We mjaribu asipokunogea, mrudishe tutakupa kidume kingine 😂
Huyu ana warranty ya miaka 10. JERMAN MASHINE hii 😂
 
Mtoto : Mmoja
Mimi ni fundi mchundo, hali ya kipato sio mbaya maana huyo mwenye degree anaweza asinifikie.
Tatizo langu liko hapo kwa mtoto mmoja.
Baba yake yuko wapi?
Mtoto ana umri gani?
Makubaliano yako na mzazi mwenzio yapoje?
Upo tiari kufuata mashariti yangu?
Wastan wa kipaato chako kwa mwezi
 
Dah ubao unasoma 1-0! Hapana kwa kweli. Na hiyo miaka 34 kwa wastani wahuni kama 50 hivi na zaidi pengine watakuwa wameshananii. Acha nitafute kitoto cha 2000.
 
Back
Top Bottom