Mume HIV+ uko wapi mwenza wangu?

Woga na unyanyapaa ulikua zamani, sasa hivi uelewa ni mkubwa katika jamii na ile hali ya watu kutengwa kutokana na status zao ni kama imeisha
Watanzania ni waoga sana full stop by
 
Dada utaishia utani ntakupa inbox wana kundi ila wanakupima
 
ukishauza mechi tu hizi ndio nyuzi unazikuta juu kabisaa humu jf
 
Samahani kama nitakukwaza, je ni lazima awe +?
 
Sijui kwanini nahisi naweza mtibu mtu mwenye HIV..... Dah au basi nisijezua balaah lingine nchini🚶🚶

Watu bado wanamajanga ya sukari..
 
Kiongoz sore, kwan huwez kupata mwenza unavyoenda ctc?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…