Mume HIV+ uko wapi mwenza wangu?

Mume HIV+ uko wapi mwenza wangu?

Jamani naelekea kukata tamaa.. Hiivi ni kweli humu ndani hakuna HIV + hata mmoja mwanaume ambaye anahitaji familia???

Uko wapi mwenza tafadhali njoo tutengeneze maisha yetu, nikupikie chakula kizuri... Nipambe nyumba yetu nzuri kwa maua, tuwe na amani na tupendane...
Ongeza maelezo, umri, watoto, una age limit ya unayemtaka nk.
 
Mungu wetu ni mwaminifu atajibu kwa wakati na kila mmoja na kusudi lake atafanya kwa wakati.
 
Jamani naelekea kukata tamaa.. Hiivi ni kweli humu ndani hakuna HIV + hata mmoja mwanaume ambaye anahitaji familia???

Uko wapi mwenza tafadhali njoo tutengeneze maisha yetu, nikupikie chakula kizuri... Nipambe nyumba yetu nzuri kwa maua, tuwe na amani na tupendane...
Pole sana,Mungu akupe haja ya moyp wako.Wenye vigezo watakuja.Amini hivyo....
 
Hii bado sana Tanzania... Tanzania kuwa positive ni death sentence...

Woga na unyanyapaa ulikua zamani, sasa hivi uelewa ni mkubwa katika jamii na ile hali ya watu kutengwa kutokana na status zao ni kama imeisha
 
Back
Top Bottom