Mume kabamba WhatsApp message zangu kwenye simu ya mkewe

Mume kabamba WhatsApp message zangu kwenye simu ya mkewe

1. Wakuu kuna Mother flan Mwalimu wa sekondari ya kata mitaa ya Kibamba huwa nakamua toka Oktoba 2022 sasa ijumaa nilienda kupiga kuanzia saa 8 mpaka sasa 12 nikamrudisha hadi mitaa ya kwao. Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi.

2. Anayedaiwa kuwa Ni Mume akamnyang'anya simu akaanza kupekua WhatsApp chat akakutana na conversation yetu ya siku Ile Ile tukiwa tunaelekezana pa kukutana sasa jamaa kaniforwardia conversation kwenye WhatsApp yangu na simu kama zote. Sijapokea wala Sijajibu.

3. Nawaza, niwahi kwenye Ile guest wafute zile image (wakati tunaingia na kutoka) kwenye CCTV zao wasije wakapewa hela na huyu boya ukapatikana ushahidi.

#Huyu mwanamke simtaki tena. Hajawahi kumuambia kama kaolewa.
We ulijiona mjanja kutembea na mke wa mtu ukajihisi ndiyo mwenye uume peke yako sasa ujiandae kupanda juu ukaangalie muvi.
 
Hamna kesi hapo. Hata angekushika UGONI live si jinai. Akipiga simu pokea halafu hakikisha unamrekodi kisha kafungue kesi ya KUTISHIA KUUA KWA MANENO (JINAI) halafu mkutane mahakamani nakuhakikishia hiyo kesi inampeleka jela huku unaendelea kupiga bibie tena kitandani kwake.

Binafsi, niliwahi kufumaniwa CITY STYLE HOTEL, Sinza Mugabe (kwa ushahidi nenda kawaulize wahudumu wa mapokezi) na anayedaiwa ni mume wa mwanamke niliyekua nae faragha. Jamaa wamevamia na makamera room, tukiwa uchi. Wakachukua video na makelele kibao walipotoka parking wakavunja kioo cha gari langu na kutoa upepo tairi, baada ya hapo wakanitishia kurusha picha za utupu mitandaoni. Baadae jamaa akarusha video aliyoturekodi kupitia whatsapp yangu.

Sasa, akajiloga, akapiga simu (voice call) vitisho vya kuniua mimi hapo NAREKODI vyote. Haikuchukua muda jamaa anapelekewa wito mahakamani kesi inaunguruma mwaka wa pili huu na jamaa bado anasota. Anaomba msamaha kama mtoto Mdogo.
Usijisifie upumbavu...
 

Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi.

2. Anayedaiwa kuwa Ni Mume akamnyang'anya simu akaanza kupekua WhatsApp chat akakutana na conversation yetu ya siku Ile Ile tukiwa tunaelekezana pa kukutana sasa jamaa kaniforwardia conversation kwenye WhatsApp yangu na simu kama zote. Sijapokea wala Sijajibu.

3. Nawaza, niwahi kwenye Ile guest wafute zile image (wakati tunaingia na kutoka) kwenye CCTV zao wasije wakapewa hela na huyu boya ukapatikana ushahidi.

#Huyu mwanamke simtaki tena. Hajawahi kumuambia kama kaolewa.
Mkuu hio mistari ya kwanza minne ufute
 
Sasa tatizo liko wapi hapo, yeye amesalitiwa na mkewe, kwani umembaka huyo kewe si mmekubaliana, msaliti ndio anakesi ya kujibu sio wewe.
 
Hamna kesi hapo. Hata angekushika UGONI live si jinai. Akipiga simu pokea halafu hakikisha unamrekodi kisha kafungue kesi ya KUTISHIA KUUA KWA MANENO (JINAI) halafu mkutane mahakamani nakuhakikishia hiyo kesi inampeleka jela huku unaendelea kupiga bibie tena kitandani kwake.

Binafsi, niliwahi kufumaniwa CITY STYLE HOTEL, Sinza Mugabe (kwa ushahidi nenda kawaulize wahudumu wa mapokezi) na anayedaiwa ni mume wa mwanamke niliyekua nae faragha. Jamaa wamevamia na makamera room, tukiwa uchi. Wakachukua video na makelele kibao walipotoka parking wakavunja kioo cha gari langu na kutoa upepo tairi, baada ya hapo wakanitishia kurusha picha za utupu mitandaoni. Baadae jamaa akarusha video aliyoturekodi kupitia whatsapp yangu.

Sasa, akajiloga, akapiga simu (voice call) vitisho vya kuniua mimi hapo NAREKODI vyote. Haikuchukua muda jamaa anapelekewa wito mahakamani kesi inaunguruma mwaka wa pili huu na jamaa bado anasota. Anaomba msamaha kama mtoto Mdogo.
Karma is a bitch

I just remind you boy
 
1. Wakuu kuna Mother flan Mwalimu wa sekondari ya kata mitaa ya Kibamba huwa nakamua toka Oktoba 2022 sasa ijumaa nilienda kupiga kuanzia saa 8 mpaka sasa 12 nikamrudisha hadi mitaa ya kwao. Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi.

2. Anayedaiwa kuwa Ni Mume akamnyang'anya simu akaanza kupekua WhatsApp chat akakutana na conversation yetu ya siku Ile Ile tukiwa tunaelekezana pa kukutana sasa jamaa kaniforwardia conversation kwenye WhatsApp yangu na simu kama zote. Sijapokea wala Sijajibu.

3. Nawaza, niwahi kwenye Ile guest wafute zile image (wakati tunaingia na kutoka) kwenye CCTV zao wasije wakapewa hela na huyu boya ukapatikana ushahidi.

#Huyu mwanamke simtaki tena. Hajawahi kumuambia kama kaolewa.
Kama ulipiga saa8 mpaka saa 12 mke wa mtu subiri mume wake atakupiga saa 12 mpaka saa8.

Financially yupoje?
Kama weak hawezi kuendelea na kesi atapambana na mkewe Kama strong kesi itaendelea.

Reaction yake ikoje?
Kama anakupigia sana simu na vitisho huyo ni weak emotion hawezi kufanya lolote Kama yupo kimya hapo chunga.

OK bytheway usidumu na mchepuko mda mrefu hivyo kata Kama ni mwalimu wa sekondari anakusaidia kuweka mafuta kwenye subaru.

Futa status yake, location yake, namna tukio lilivyotokea kwenye uzi wako. Hyo kata ya kibamba shule za sekondari zinajulikana hapa jf kuna wanakibamba kibao. Ni rahisi ku disclose.

Kiutumishi kutembea na mke wa mtu au mume wa mtu ni kosa la kudhalilisha taaluma. Unatakiwa kujadilika na mamlaka ya nidhamu ikibidi kuachishwa kazi na utumishi.
 
Hamna kesi hapo. Hata angekushika UGONI live si jinai. Akipiga simu pokea halafu hakikisha unamrekodi kisha kafungue kesi ya KUTISHIA KUUA KWA MANENO (JINAI) halafu mkutane mahakamani nakuhakikishia hiyo kesi inampeleka jela huku unaendelea kupiga bibie tena kitandani kwake.

Binafsi, niliwahi kufumaniwa CITY STYLE HOTEL, Sinza Mugabe (kwa ushahidi nenda kawaulize wahudumu wa mapokezi) na anayedaiwa ni mume wa mwanamke niliyekua nae faragha. Jamaa wamevamia na makamera room, tukiwa uchi. Wakachukua video na makelele kibao walipotoka parking wakavunja kioo cha gari langu na kutoa upepo tairi, baada ya hapo wakanitishia kurusha picha za utupu mitandaoni. Baadae jamaa akarusha video aliyoturekodi kupitia whatsapp yangu.

Sasa, akajiloga, akapiga simu (voice call) vitisho vya kuniua mimi hapo NAREKODI vyote. Haikuchukua muda jamaa anapelekewa wito mahakamani kesi inaunguruma mwaka wa pili huu na jamaa bado anasota. Anaomba msamaha kama mtoto Mdogo.
Jamaa akitoka jiandae kufa
 
Hamna kesi hapo. Hata angekushika UGONI live si jinai. Akipiga simu pokea halafu hakikisha unamrekodi kisha kafungue kesi ya KUTISHIA KUUA KWA MANENO (JINAI) halafu mkutane mahakamani nakuhakikishia hiyo kesi inampeleka jela huku unaendelea kupiga bibie tena kitandani kwake.

Binafsi, niliwahi kufumaniwa CITY STYLE HOTEL, Sinza Mugabe (kwa ushahidi nenda kawaulize wahudumu wa mapokezi) na anayedaiwa ni mume wa mwanamke niliyekua nae faragha. Jamaa wamevamia na makamera room, tukiwa uchi. Wakachukua video na makelele kibao walipotoka parking wakavunja kioo cha gari langu na kutoa upepo tairi, baada ya hapo wakanitishia kurusha picha za utupu mitandaoni. Baadae jamaa akarusha video aliyoturekodi kupitia whatsapp yangu.

Sasa, akajiloga, akapiga simu (voice call) vitisho vya kuniua mimi hapo NAREKODI vyote. Haikuchukua muda jamaa anapelekewa wito mahakamani kesi inaunguruma mwaka wa pili huu na jamaa bado anasota. Anaomba msamaha kama mtoto Mdogo.
Naona unajiona mjanja sana kuaribu familia za watu
 
1. Wakuu kuna Mother flan Mwalimu wa sekondari ya kata mitaa ya Kibamba huwa nakamua toka Oktoba 2022 sasa ijumaa nilienda kupiga kuanzia saa 8 mpaka sasa 12 nikamrudisha hadi mitaa ya kwao. Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi.

2. Anayedaiwa kuwa Ni Mume akamnyang'anya simu akaanza kupekua WhatsApp chat akakutana na conversation yetu ya siku Ile Ile tukiwa tunaelekezana pa kukutana sasa jamaa kaniforwardia conversation kwenye WhatsApp yangu na simu kama zote. Sijapokea wala Sijajibu.

3. Nawaza, niwahi kwenye Ile guest wafute zile image (wakati tunaingia na kutoka) kwenye CCTV zao wasije wakapewa hela na huyu boya ukapatikana ushahidi.

#Huyu mwanamke simtaki tena. Hajawahi kumuambia kama kaolewa.
watu kama nyie mnachotakiwa kufanywa ni kupakwa mafuta tu
 
Hamna kesi hapo. Hata angekushika UGONI live si jinai. Akipiga simu pokea halafu hakikisha unamrekodi kisha kafungue kesi ya KUTISHIA KUUA KWA MANENO (JINAI) halafu mkutane mahakamani nakuhakikishia hiyo kesi inampeleka jela huku unaendelea kupiga bibie tena kitandani kwake.

Binafsi, niliwahi kufumaniwa CITY STYLE HOTEL, Sinza Mugabe (kwa ushahidi nenda kawaulize wahudumu wa mapokezi) na anayedaiwa ni mume wa mwanamke niliyekua nae faragha. Jamaa wamevamia na makamera room, tukiwa uchi. Wakachukua video na makelele kibao walipotoka parking wakavunja kioo cha gari langu na kutoa upepo tairi, baada ya hapo wakanitishia kurusha picha za utupu mitandaoni. Baadae jamaa akarusha video aliyoturekodi kupitia whatsapp yangu.

Sasa, akajiloga, akapiga simu (voice call) vitisho vya kuniua mimi hapo NAREKODI vyote. Haikuchukua muda jamaa anapelekewa wito mahakamani kesi inaunguruma mwaka wa pili huu na jamaa bado anasota. Anaomba msamaha kama mtoto Mdog
Labda ww ni njagu au mutu ya sisteme...haiwezekani ukavimb hivyo na mke wa mtu
 
Hamna kesi hapo. Hata angekushika UGONI live si jinai. Akipiga simu pokea halafu hakikisha unamrekodi kisha kafungue kesi ya KUTISHIA KUUA KWA MANENO (JINAI) halafu mkutane mahakamani nakuhakikishia hiyo kesi inampeleka jela huku unaendelea kupiga bibie tena kitandani kwake.

Binafsi, niliwahi kufumaniwa CITY STYLE HOTEL, Sinza Mugabe (kwa ushahidi nenda kawaulize wahudumu wa mapokezi) na anayedaiwa ni mume wa mwanamke niliyekua nae faragha. Jamaa wamevamia na makamera room, tukiwa uchi. Wakachukua video na makelele kibao walipotoka parking wakavunja kioo cha gari langu na kutoa upepo tairi, baada ya hapo wakanitishia kurusha picha za utupu mitandaoni. Baadae jamaa akarusha video aliyoturekodi kupitia whatsapp yangu.

Sasa, akajiloga, akapiga simu (voice call) vitisho vya kuniua mimi hapo NAREKODI vyote. Haikuchukua muda jamaa anapelekewa wito mahakamani kesi inaunguruma mwaka wa pili huu na jamaa bado anasota. Anaomba msamaha kama mtoto Mdogo.
Ulikutana na fara.
 
Inanguruma mwaka wa pili jamaa akiwa nje Kwa dhamana si ndio? Unachomdanganya mwenzio ni nini sasa, huhofii jamaa anaweza kumdhuru nje ya Sheria??
Hata wewe akili huna ulitakiwa umalizane na mwanaume nje ya mahakama sababu si ni kweli umemdhulumu nafsi yake mwanaume mwenzio. Sio ujanja huo ni upumbavu
Mtu wa namna hii,yeye hata humgusi unahakikisha unadedisha familia yake yote wanae na wazazi wake na mke wake wote yeye akiwa anaangalia kisha unamaliza na yeye kidogo dogo.
 
Leta namba hapa tukusaidie
Ndugu hakuna ujanja katika kutembea na Mke wa mtu hata uwe na akili kama mchwa au na pesa-mtu atakulia timing atakuoata tu.Tumia akili,haya mambo yamisha gharimu maisha ya watu wengi.
Shukuru ulikutana na boys,maana mwanaume halisi mwenye akili yake kwanza siwezi kuja kutaka kukufamia ili iweje??,nikisha kuwa na ushahidi wangu nitafanya mambo yangu kimya kimya.Hayo ya kuja kufumania ni wapumbavu na wajinga ndio wanachukua hatua za namna hiyo.
 
Ndugu hakuna ujanja katika kutembea na Mke wa mtu hata uwe na akili kama mchwa au na pesa-mtu atakulia timing atakuoata tu.Tumia akili,haya mambo yamisha gharimu maisha ya watu wengi.
Shukuru ulikutana na boys,maana mwanaume halisi mwenye akili yake kwanza siwezi kuja kutaka kukufamia ili iweje??,nikisha kuwa na ushahidi wangu nitafanya mambo yangu kimya kimya.Hayo ya kuja kufumania ni wapumbavu na wajinga ndio wanachukua hatua za namna hiyo.
Acha KUTISHIA watu. Kugharimu maisha ndo nn? Leta namba ya mkeo halafu ulete hiyo mikwara yako. Yaan umshindwe mkeo halafu ulete mikwara kwa wanaume?
 
Una vitisho vya kiuoga uoga. Wewe ukitombewa deal na mkeo. Kuna wababe zaidi Yako, na ukileta ubishi na wewe unapigwa.
Eti ukitombewa deal na mke wako! Kwahiyo wewe mtombaji ndo unampangia cha kufanya aliyetombewa?! Akili za ki-BRN hizi. Subiri utombewe wewe ndo u deal na mke wako lakini wengine ama wata-deal na mke au wewe, au wote, na ndo maana huyo jamaa unayejaribu kutetea ujinga wake aliyetombewa ali-deal na yeye halafu anadanganya watu eti mtombewa alikodi wahuni wakampiga picha! Wenye akili timamu wote wanafahamu aliyetombewa akikodi wahuni hao wahuni huwa wanakodiwa kwa kazi ipi; lakini kwa akili za watu aina yenu ndo mtaamini alikodiwa wahuni ili wakampige picha!!
 
Back
Top Bottom