Mume kumgeuza rafiki ndio kila kitu kwake

Mume kumgeuza rafiki ndio kila kitu kwake

Huu ni ushauri mbovu kuuona tangu mwaka huu uanze ukiachana na nyuzi za kisiasa za wana-CCM.Umeambiwa uishi na mke kwa akili na siyo umpe jirani au rafiki akili akushikie.Simama kama mwanaume.Kwani lazima utumie akili za rafiki uliyekutana naye tu mjini kuiendesha familia yako?Huo ni udhaifu daraja la juu sana.Badilika!
Sio ushauri ni maoni 🤺
 
Na wewe umetoa bonge la ushauri!🤣🤣 "utafute rafiki wa kiume mshauriane kiume zaidi"...hata mambo ya faragha we umshirikishe rafiki, hata ya kiuchumi we mwambie tu kila kitu.

We jamaa bwana!!
Eroni kunywa maziwa. Fresh kwa mangi Sina siji kulipa
 
Umemshauri vizuri kaka mkubwa,
Story ya huyo dada inafafa na ya Aunt yangu, ndoa yake ilavamiwa na kidudumtu akamshika Anko kichwa akawa anamtafutia wanawake, kila kitu anamshirikisha, nyumba ikawa haina amani, hajali tena familia yeye ni wa kupelekeshwa na huyo rafiki akiyemuamini kuliko nafsi yake, Aunt alikonda sana, alihangaika sana kuwatenganisha vikao na vikao viliwekwa lakini wapiiii,

Siku moja huyo kidudumtu akamtambulisha Anko kwa mwanamke akadai alikua anaishi Uingereza ameachana na mume wake amerudi Tz, basi wakaanza mahusiano penzi lililonoga akawa harudi nyumbani hata wiki, nguo akahamishia kwa huyo Muingereza, si akaanza kumjengea nyumba bhana, unaambiwa Anko alitumia pesa zake zote na mikopo juu kujenga nyumba ya kifahari, nyumba ilijengwa kwa shinikizo la huyo huyo rafiki mtu akamshawishi ajenge nyumba ya kifahari amuoe huyo mwanamke waishi wote,

Kufupisha story, siku moja anko, kidudumtu na yule mwanamke walikua hoteli moja maarufu kwenye live band, mmoja wa waimbaji wa ile Band anawafahamu wote watatu si ndio akaenda kuwasalimia bhana akawa anamuita yule mwanamke shemeji, kwa kuzuga ikawa hana namna ilibidi aitikie na kulazimisha uchangamfu, baada ya yule muimbaji kuondoka kidudumtu na Mwanamke wa UK hawakua na furaha baada ya muda wakaondoka, lakini Anko akabaki na alama nyekundu vipi yule muimbaji amuite yule Mwanamke Shemeji? Alijua ni Mwanamke wa nani wakati yeye mke wake anajulikana na yule hawara anamficha kama bangi sura yake haitambuliki isipokua kwa rafiki yake? na Rafiki yake hana Mke? Hakutaka kupuuzia hilo,

Weekend iliyofata akaenda peke yake akamuomba muimbaji wazungumze pembeni, alipomuuliza kama yule mwanamke anamjua muimbaji akashangaa sana akamjibu mbona yule ni mke wa rafiki yako? Ina maana pale kwenye meza nyie mlikaa bila kujuana au ina maana hujui kama rafiki yako ana mke na watoto na yule mwanamke!,
Anko alipoteza fahamu hapo hapo,

Anko aliwajengea Mume na Mke nyumba nzuri huku yeye akibakiwa na madeni na msongo wa mawazo alirudi kwa mke wake suruali imetepeta, zombie si zombie ilichukua miezi 6 kurecover,nyumba hakuipata na huo ndio ukawa mwanzo na mwisho wa urafiki wao

Kuna tetesi zilisema alikua anaenda kuitizama nyumba yake kwa mbaaali huku analia ndio familia ikaazimia imuhamishe Mkoa.
Duh, ndugu hiki kisa hakipaswi kuwa comment. Hii ilitakiwa iwe katika uzi unaojitegemea. Kuna somo kubwa mno hapa.
 
Huu ni uandishi wa kijana ambaye bado yupo chuo au amemaliza hivi karibuni bado hajaanza kusota na vibahasha,
Kuna mada zingine zinakua kubwa unaachana nazo tu.
Kuna mada kama uwezo wa kuchangia huna bora utulie usome comments utajifunza kitu.
Umemshauri vizuri kaka mkubwa,
Story ya huyo dada inafafa na ya Aunt yangu, ndoa yake ilavamiwa na kidudumtu akamshika Anko kichwa akawa anamtafutia wanawake, kila kitu anamshirikisha, nyumba ikawa haina amani, hajali tena familia yeye ni wa kupelekeshwa na huyo rafiki akiyemuamini kuliko nafsi yake, Aunt alikonda sana, alihangaika sana kuwatenganisha vikao na vikao viliwekwa lakini wapiiii,

Siku moja huyo kidudumtu akamtambulisha Anko kwa mwanamke akadai alikua anaishi Uingereza ameachana na mume wake amerudi Tz, basi wakaanza mahusiano penzi lililonoga akawa harudi nyumbani hata wiki, nguo akahamishia kwa huyo Muingereza, si akaanza kumjengea nyumba bhana, unaambiwa Anko alitumia pesa zake zote na mikopo juu kujenga nyumba ya kifahari, nyumba ilijengwa kwa shinikizo la huyo huyo rafiki mtu akamshawishi ajenge nyumba ya kifahari amuoe huyo mwanamke waishi wote,

Kufupisha story, siku moja anko, kidudumtu na yule mwanamke walikua hoteli moja maarufu kwenye live band, mmoja wa waimbaji wa ile Band anawafahamu wote watatu si ndio akaenda kuwasalimia bhana akawa anamuita yule mwanamke shemeji, kwa kuzuga ikawa hana namna ilibidi aitikie na kulazimisha uchangamfu, baada ya yule muimbaji kuondoka kidudumtu na Mwanamke wa UK hawakua na furaha baada ya muda wakaondoka, lakini Anko akabaki na alama nyekundu vipi yule muimbaji amuite yule Mwanamke Shemeji? Alijua ni Mwanamke wa nani wakati yeye mke wake anajulikana na yule hawara anamficha kama bangi sura yake haitambuliki isipokua kwa rafiki yake? na Rafiki yake hana Mke? Hakutaka kupuuzia hilo,

Weekend iliyofata akaenda peke yake akamuomba muimbaji wazungumze pembeni, alipomuuliza kama yule mwanamke anamjua muimbaji akashangaa sana akamjibu mbona yule ni mke wa rafiki yako? Ina maana pale kwenye meza nyie mlikaa bila kujuana au ina maana hujui kama rafiki yako ana mke na watoto na yule mwanamke!,
Anko alipoteza fahamu hapo hapo,

Anko aliwajengea Mume na Mke nyumba nzuri huku yeye akibakiwa na madeni na msongo wa mawazo alirudi kwa mke wake suruali imetepeta, zombie si zombie ilichukua miezi 6 kurecover,nyumba hakuipata na huo ndio ukawa mwanzo na mwisho wa urafiki wao

Kuna tetesi zilisema alikua anaenda kuitizama nyumba yake kwa mbaaali huku analia ndio familia ikaazimia imuhamishe Mkoa.
hivi hii ni hali ya kawaida au kuna kurogwa?
 
Umemshauri vizuri kaka mkubwa,
Story ya huyo dada inafafa na ya Aunt yangu, ndoa yake ilavamiwa na kidudumtu akamshika Anko kichwa akawa anamtafutia wanawake, kila kitu anamshirikisha, nyumba ikawa haina amani, hajali tena familia yeye ni wa kupelekeshwa na huyo rafiki akiyemuamini kuliko nafsi yake, Aunt alikonda sana, alihangaika sana kuwatenganisha vikao na vikao viliwekwa lakini wapiiii,

Siku moja huyo kidudumtu akamtambulisha Anko kwa mwanamke akadai alikua anaishi Uingereza ameachana na mume wake amerudi Tz, basi wakaanza mahusiano penzi lililonoga akawa harudi nyumbani hata wiki, nguo akahamishia kwa huyo Muingereza, si akaanza kumjengea nyumba bhana, unaambiwa Anko alitumia pesa zake zote na mikopo juu kujenga nyumba ya kifahari, nyumba ilijengwa kwa shinikizo la huyo huyo rafiki mtu akamshawishi ajenge nyumba ya kifahari amuoe huyo mwanamke waishi wote,

Kufupisha story, siku moja anko, kidudumtu na yule mwanamke walikua hoteli moja maarufu kwenye live band, mmoja wa waimbaji wa ile Band anawafahamu wote watatu si ndio akaenda kuwasalimia bhana akawa anamuita yule mwanamke shemeji, kwa kuzuga ikawa hana namna ilibidi aitikie na kulazimisha uchangamfu, baada ya yule muimbaji kuondoka kidudumtu na Mwanamke wa UK hawakua na furaha baada ya muda wakaondoka, lakini Anko akabaki na alama nyekundu vipi yule muimbaji amuite yule Mwanamke Shemeji? Alijua ni Mwanamke wa nani wakati yeye mke wake anajulikana na yule hawara anamficha kama bangi sura yake haitambuliki isipokua kwa rafiki yake? na Rafiki yake hana Mke? Hakutaka kupuuzia hilo,

Weekend iliyofata akaenda peke yake akamuomba muimbaji wazungumze pembeni, alipomuuliza kama yule mwanamke anamjua muimbaji akashangaa sana akamjibu mbona yule ni mke wa rafiki yako? Ina maana pale kwenye meza nyie mlikaa bila kujuana au ina maana hujui kama rafiki yako ana mke na watoto na yule mwanamke!,
Anko alipoteza fahamu hapo hapo,

Anko aliwajengea Mume na Mke nyumba nzuri huku yeye akibakiwa na madeni na msongo wa mawazo alirudi kwa mke wake suruali imetepeta, zombie si zombie ilichukua miezi 6 kurecover, nyumba hakuipata na huo ndio ukawa mwanzo na mwisho wa urafiki wao

Kuna tetesi zilisema alikua anaenda kuitizama nyumba yake kwa mbaaali huku analia ndio familia ikaazimia imuhamishe Mkoa.
Jamani nyumba niijenge Mimi halafu niwaachie, labda nisiwe Mimi. Ni mwanaume gani mjinga anaweza kukubali kuishi kwenye nyumba ambayo haikuitolea jasho asee nitaenda niichome moto na wote waliomo.
 
Ndo baadhi ya wanaume walivyo hatuwezi kuamini ke percent 100 no way lazima utafute rafiki mwenzako wa kiume mshauriane kiume zaidi au umesahau sir God alituasa tuishi nanyi kwa akili hivyo simpingii mshkaaji yupo very right hivyo tulia tu ndani Mambo yasije yakawa mengi hapa 🤣🤣🤣🤣 utaisoma namba safari hii
Hawa watu huwa wanapenda watuchagulie marafiki wa kuwa na nao

Ukimuoa tu anahakikisha marafiki zako wote anawaondoa

Nakumbuka kuna rafiki yetu alipooa siku za wkend tulikuwa tukienda kwake mke ananuna au anafagia ili mradi awatimulie vumbi tu,mwisho wa siku ilibid tuache kwenda kwa jamaa
 
Huo urafiki, urafiki gani ? Dunia ya leo hii iliyojaa mapicha-picha. Kuna kinachompa jeuri huyo rafiki, simama imara huihitaji hata kwenda popote isipokuwa "Sala yashinda hofu" na Mungu atashughulika naye. Wala usipoteze muda wako kwa kumfaatilia mume wako au kumchunguza.
 
Kuna mada kama uwezo wa kuchangia huna bora utulie usome comments utajifunza kitu.

hivi hii ni hali ya kawaida au kuna kurogwa?
Siamini sana kwenye uchawi ila naamini kuna watu wamejaaliwa kipaji cha kulaghai watu, ana manipulate mind yako na hisia zaki unakua kama robot anakuendesha atakavyo, wapo watu wa hivyo wake kwa waume, wana maneno mazuri, yenye ushawishi wa hali ya juu na kama amekutarget huchomoki labda na wewe uwe na nguvu dhidi yake.
 
Hawezi kuwa sawa tena. Ila huyo rafiki nae ana moyo. Kisa nyumba akakubali kushare mkewe akijua live anakung'utwa.

Maisha yana mambo mengi mno.
Kha! Hujawahi sikia watu wanatoa wake zao wakaolewe na maboss baada ya muda huyo boss anafilisiwa au anauliwa, wazee wanachukua chao wanahamia kwa mwingine,

Maisha yana mambo si haba
 
Sema watu wengi wanao hamia dar wakapata marafiki uku dar wanabadlika sana sijui ulimbukeni nishawai pata kesi kama yako

Yaani mwanaume anatumia muda mwingi na rafiki kuliko mkewe ambaye akiumwa ndio atamuogesha

Be patient mpotezee acha kumfwatilia fanya mambo yako usionyeshe kukelekwa na tabia zake
 
Jamani nyumba niijenge Mimi halafu niwaachie, labda nisiwe Mimi.ni mwanaume gani mjinga anaweza kukubali kuishi kwenye nyumba amabyo haikuitolea jasho+a see nitaenda niichome moto na wote waliomo.
Inauma ila ukifikiria jela unapiga moyo konde kua hivyo vitu vinatafutwa,
Kosa lake ni kuweka majina ya mwanamke hivyo alikua hana chake na hata ukienda mahakamani inahesabika ulimpa zawadi ukizingatia hamkuoana.
 
Acha ujinga mume huwa hachunguzwi utajiumiza kichwa bure.

Mume huwa haulizwi umetoka wapi,utarudi saa ngapi? au ulikuwa wapi na ilikuwa na nani?

Mume hachaguliwi marafiki!

Mume anahitaji nafasi (space) muache afanye mambo yake as long as anakutimizia mahitaji yako na wanao ( chakula,mavazi,malazi na tendo la ndoa)

Mume hafatiliwi/kuulizwa/kuchunguzwa mipango yake ya utafutaji.!!

Weka hili akilini.

Unachotakiwa kumpatia mumeo ni Heshima, uskivu na utii ,Space (nafasi) na tendo la ndoa.
 
Back
Top Bottom