Mume kumgeuza rafiki ndio kila kitu kwake

Kwa kizazi cha Sasa usikute wanatatuana marinda na hizo txt za wanawake usikute ni huyo jamaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hajui huyooo, wee muacheee atakuja stukaaa marafiki wanaishi woteee, na wanapeana zamu.
 
Yaan mim mwanaume wangu awe na rafiki nisiempenda mbona wataachana tu tengeneza zengwe,fitina ,chuki,uongo amchukie kabisa anakushindaje?
Wapo marafiki wa hivyo wa kugandana angalia ukute wanafirana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareee sanaaa.
 
Yaan mim mwanaume wangu awe na rafiki nisiempenda mbona wataachana tu tengeneza zengwe,fitina ,chuki,uongo amchukie kabisa anakushindaje?
Wapo marafiki wa hivyo wa kugandana angalia ukute wanafirana
Dah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Pole sana, huyo ni mke mwenzio. Au ndio anakula mumeo kinyeo... watu wengi walioishia kuuchunguza urafik wa namna hyo kiundani hawakutoka na majibu mazuri zaidi ndoa ziliishia kufa. Pole sana muombe Mungu akuondolee huyo pepo kwenye ndoa yako
Kabisaaaa ni wapenziii hawa.
 
Pole dada uyo mume wako atakua SHOGA, yes yaani baba junior ni punga either anakazwa au anamkaza uyo rafiki ake wa mbagala.

Machoko wengi sana mjini hapa
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wengi hawajionesh sasa, wana act urafiki. Lol
 
Sipendezwagi na comments zako sijui why ...🚮
 
Rubbish.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimewaza hivyoooo.
Mtu yeyote aliyekuwa kwenye ndoa ya muda mrefu kwa maisha hayo haiwezekani kabisa, labda ushirikina uingilie kati.
 
Haya mambo watu wanayafanya sana
 
Yaan mim mwanaume wangu awe na rafiki nisiempenda mbona wataachana tu tengeneza zengwe,fitina ,chuki,uongo amchukie kabisa anakushindaje?
Wapo marafiki wa hivyo wa kugandana angalia ukute wanafirana
Well said,,,coz binadamu hawaaminiki now dayz
 
marafiki zake wa zamani mmoja wapo alikuja dar kututembelea mi nilikuwa nimesafiri nilivo rudi akaniambia shemu uyu Rafiki wa mumeo wa sasa hivi sio mtu mzuri mi sikutilia akilini sana kwanini ananiambia hivyo Wala sikujua kaona Nini

Mtafute huyo Rafiki atakupa Jibu la Maswali yako... Kisha Chukua hatua...
 
Njia rahisi ya kumfanya mwanaume astuke ni kubadilisha mwenendo wako.....we jifanye kama umebadilika na upo busy na mambo yako na hujali kuhusu mumeo Wala rafiki yake.....kiufupi punguza mapenz Kwa mumeo af uone atakavyochanganyikiwa
 
Chunguza usikute n mke mwenzio
 
Rafiki wa mume anapochukua nafasi ya mke

Wacha tuingie kwenye maombi tuu
 
Yaani huyo rafiki anachukia wanawake halafu anashinda na mume wako mpaka usiku wa manane ...mh kuna harufu ya unanilii
 
Ushikaji Sasa umezidi...
Watu wa Dar punguzeni Ulambwasa...
Mna hizo tabia sana hasa watoto wa vijiweni nyie mnaita Leo chawa .
Yani Ile Brother Brother
Kaka Mkubwa , Kaka mkubwa.... Sijui Ndugu yangu .

Sitaki Mazoea mazoea ya Kisangwenya
Kazi yangu na Navojiweka huwezi nizoea kindezi ndezi vile.
Kaa mbali na ikiwezekana chukua time Sitaki uswahili.
Nina shida Fulani ntafuata taratibu au michongo ikiisha imeisha. Sizoereki kifala fala .
Sometimes reduce the degree of unnecessary interactions with peers.
 

Wanamuhamisha anko!? Hiyo case inaishaje bila ya kisasi…… the return of the superman, tena hao wapenda misic sijui na pombe ku deal nao ni rahisi bila kuacha traces…..akaushe 2-3 years
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…