Sio ubinafusi tu na ujinga pia unachangia anahisi ndoa is all about sex ajawaza kuhusu malezi ya watoto watakuweje kwa huo mfumo waoKinachokusumbua dogo ni ubinafsi na uchoyo fulstop
Alafu baada ya hayo matendo mtakayokuwa mnafanya mkizaa watoto watakaa na nani?
Nikikuoa mtu kama mimi kitanda chetu kitakuwa upana futi tatu tuSipendi kulala na mtu (labda mama angu tena nikiwa naumwa tu), pia kushare bathroom nikiwa nyumbani sitaki! Nikiolewa natarajia kulala vyumba tofauti .
Sisi wengine tunaishi na wake zetu vyumba tofauti,joto likipanda tunapeana location. Aje huku au niende huko.Kama kichwa cha maada tajwa hapo juu je kwa mustakabali wa ndoa na familia je maisha hayo yanafaa au yana athari kwenye saikolojia na hisia?
Binafsi nimewaza Hilo Jambo nikavutiwa nalo natamani niwe na mke hata kama tunaishi naye tarafa moja ila kila mmoja akae kwake ila kila mkijiskia kukutana kwa ajili ya tendo. Mmoja anamfuata mwenzake na sababu ya mimi kutaka utengano huo wa ratiba za kimaisha, ni kwasababu najihisi nina tabia flani ya ubinafsi nikikaa na mtu nahisi nitamchoka tutakerana yaani means natamani niwe najipikia mwenyewe chakula changu naweza kufanya kazi zangu peke yangu niwe huru kiasi flani tu naishi kama kibachelor ndani mwangu ila upendo kwa mke wangu ubaki palepale
Kama Kuna shida kubwa ndo tunasaidiana ila hizihizi ndogo ndogo kila mtu anapambana kivyake.Mke ninayemuoa akitoka kazini anaenda chumbani kwake anakaa kwa kutulia na Mimi nikitoka mishe mishe naenda kwangu nafanya yangu najipikia zangu mabalance diet, nacheki movies, naperuzi JF sitaki bughudha chumbani kugombana gombana na mtu sitaki makelele.
Ina maana ukienda kumsalimia mwenzako unaenda kwa ajili ya mapenzi tu.Ndo maisha nayoyataka kuishi ila kumpata mtu wa hivyo najua Kuna ugumu Sana maana jamii itastaajabu hio style yenu ya maisha ila je kwa maoni yenu wadau mnaonaje huo mchongo si umekaa vizuri tu.
NB: Mtoa maada nina miaka 26, mfanyabiashara mdogo mdogo na mtumishi mtarajiwa na sijawahi kukaa na mwanamke nikaishi naye geto even for 2 weeks
KikulachoChako
Mshana Jr
The Boss
Sky Eclat
Kama vile unanifaaSipendi kulala na mtu (labda mama angu tena nikiwa naumwa tu), pia kushare bathroom nikiwa nyumbani sitaki! Nikiolewa natarajia kulala vyumba tofauti .
Fanya ku ni pm bibie naona we ndo tunafaanaSipendi kulala na mtu (labda mama angu tena nikiwa naumwa tu), pia kushare bathroom nikiwa nyumbani sitaki! Nikiolewa natarajia kulala vyumba tofauti .
SEEMS LEGITNdoa ni muunganiko wa watu wawili waliopendana hadi Kuamua kuishi pamoja kihalali kwa taratibu za imani za wahusika.........
Muunganiko huo unajengwa katika msingi mkuu wa UPENDO ambapo ndani ya upendo kuna mambo kama vile......1) Kuvumiliana
2) Kuheshimiana
3) kuthaminiana
4) Kusameheana
Katika muktadha huo wa muunganiko wa UPENDO ni vigumu nafsi kukubaliana kuishi mbali na umpendaye........kufanya mapenzi ni sehemu ndogo ya maisha ya wapendanao kunakohitimisha thamani ya penzi lao......
Kama kitu pekee kinachounganisha PENZI lenu ni ngono maana yake nyie sio wapendanao bali ni watu waliokubaliana kuwa Karibu kwa ajili ya kupunguziana matamanio ya kimwili........
Hivyo basi wanandoa waliounganishwa na maana halisi ya ndoa hawawezi kuishi maisha hayo......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usisahau kumnunulia mkeo dildo,huku nawe ukijichukulia sheria mkononi(Nyeto) mara kwa mara.
Maneno ya busara na hekima haya.Ndoa ni muunganiko wa watu wawili waliopendana hadi Kuamua kuishi pamoja kihalali kwa taratibu za imani za wahusika.........
Muunganiko huo unajengwa katika msingi mkuu wa UPENDO ambapo ndani ya upendo kuna mambo kama vile......1) Kuvumiliana
2) Kuheshimiana
3) kuthaminiana
4) Kusameheana
Katika muktadha huo wa muunganiko wa UPENDO ni vigumu nafsi kukubaliana kuishi mbali na umpendaye........kufanya mapenzi ni sehemu ndogo ya maisha ya wapendanao kunakohitimisha thamani ya penzi lao......
Kama kitu pekee kinachounganisha PENZI lenu ni ngono maana yake nyie sio wapendanao bali ni watu waliokubaliana kuwa Karibu kwa ajili ya kupunguziana matamanio ya kimwili........
Hivyo basi wanandoa waliounganishwa na maana halisi ya ndoa hawawezi kuishi maisha hayo......
Case closedUkiitaji uhuru usioe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe hauhitaji ndoa, unatakiwa utafute pesa ununue wale midoli wakike wameboreshwa siku hizi. Nafikiri watengenezaji walijua kuna watu kama wewe.
Sawa baba PadriNdoa ni muunganiko wa watu wawili waliopendana hadi Kuamua kuishi pamoja kihalali kwa taratibu za imani za wahusika.........
Muunganiko huo unajengwa katika msingi mkuu wa UPENDO ambapo ndani ya upendo kuna mambo kama vile......1) Kuvumiliana
2) Kuheshimiana
3) kuthaminiana
4) Kusameheana
Katika muktadha huo wa muunganiko wa UPENDO ni vigumu nafsi kukubaliana kuishi mbali na umpendaye........kufanya mapenzi ni sehemu ndogo ya maisha ya wapendanao kunakohitimisha thamani ya penzi lao......
Kama kitu pekee kinachounganisha PENZI lenu ni ngono maana yake nyie sio wapendanao bali ni watu waliokubaliana kuwa Karibu kwa ajili ya kupunguziana matamanio ya kimwili........
Hivyo basi wanandoa waliounganishwa na maana halisi ya ndoa hawawezi kuishi maisha hayo......
Waweza shangaa mwaweza fanya mapenzi zaidi na yenye raha pande zote 2 kuliko mkiwa pamoja...Usisahau kumnunulia mkeo dildo,huku nawe ukijichukulia sheria mkononi(Nyeto) mara kwa mara.