Mume na mke wa ndoa kuishi makazi tofauti ila hukutana kwa ajili ya sex

Kinachokusumbua dogo ni ubinafsi na uchoyo fulstop

Alafu baada ya hayo matendo mtakayokuwa mnafanya mkizaa watoto watakaa na nani?
Sio ubinafusi tu na ujinga pia unachangia anahisi ndoa is all about sex ajawaza kuhusu malezi ya watoto watakuweje kwa huo mfumo wao
 
Sisi wengine tunaishi na wake zetu vyumba tofauti,joto likipanda tunapeana location. Aje huku au niende huko.

Wengine chumba kimoja vitanda tofauti.

Ila hakuna kitu kibaya kama kuishi na mkeo mbali hata mtaa mmoja ni hatari sana.
 
Unaweza ukaoa halafu mkaishi nyumba moja na Mkeo lakini kila mmoja wenu akawa na chumba chake cha kulala. Siku ukiwa na hamu ya "tunda" basi unamfuata chumbani kwake na baada ya hapo unarudi chumbani kwako kulala.

Utaratibu huo umekuwa ukitumiwa na watu wa jamii mbalimbali duniani, kwa sababu za "kiimani" au mila na desturi. Kwa jamii hizo huwa ni mwiko kwa Mke kulala kwenye kitanda cha Mume. Hata baadhi ya Wafalme hutumia sana utaratibu huo wakiamini kuwa Mke kulala kwenye kitanda cha Mume huleta "nuksi" na "mikosi".
 
Ndiyo maana ndoa za siku hizi hazidumu na wengi haeataki kuoa

Wajiaje wewe utakuwa mzima siku zote bila kuigua ,utawezaje kuwa na akili salama

Mke kukumbatiana tayari mnachangamana jasho ambalo Lina vitu vingi vya tofauti , kulea watoto mkiwa pamoja ni slogan njema

Fikiria tena

Hapo hakuna ndoa
 
SEEMS LEGIT
 
Hayo mawazo ni kwa ma bachelor ambao wapo katika wakati wao sahihi. Umri ukiongezeka na busara zikaanza kukujia utaona umuhimu wa kuoa na kufurahia ndoa na mkeo.
 
Maneno ya busara na hekima haya.
 
Wewe hauhitaji ndoa, unatakiwa utafute pesa ununue wale midoli wakike wameboreshwa siku hizi. Nafikiri watengenezaji walijua kuna watu kama wewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sawa baba Padri
 
Usisahau kumnunulia mkeo dildo,huku nawe ukijichukulia sheria mkononi(Nyeto) mara kwa mara.
Waweza shangaa mwaweza fanya mapenzi zaidi na yenye raha pande zote 2 kuliko mkiwa pamoja...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…