Mume wa Alicia Keys amuomba Diamond kuwatuliza mashabiki wake katika kumshambulia mkewe kwa kumpa sekunde 26 ndani ya wimbo wake

Mume wa Alicia Keys amuomba Diamond kuwatuliza mashabiki wake katika kumshambulia mkewe kwa kumpa sekunde 26 ndani ya wimbo wake

Hata mashabiki wa alikiba walilalamika kwa kukosekana kionjo cha 'yooooo' kwenye wimbo alioshirikishwa na R kelly na R kelly mwenyewe akamuomba kingi awatulize mashabiki wake. Najua wengi hamuijui hii story kwa sababu jamaa hapendi show off.
Maskini hana show off
 
Hamjawahi tu kufuatilia mashabiki wa sehemu zingine but trust me, kinachofanywa na mashabiki wa Tanzania wala hakina tofauti sana na mashabiki wa nchi zingine ambao wana passion kweli kweli na celebrities!!

Kwa haraka haraka tu fuatilieni ambacho kilimkuta mwanadada Rachel Roy baada ya Beyonce albamu ya Lemonade!! Kwavile ni tukio la zamani kidogo, hata uki-Google "Lemonade Beyonce Fans + Rachel Roy" I hope mtapata mawili matatu!

What happened?! Kupitia ngoma ya Sorry kuna mistari inayosema:-

He only wants me when I'm not there,
He better calls Becky with the good hair,
He better calls Becky with the good hair,

Hiyo mistari peke yake ikawafanya mashabiki wa Beyonce wasifikirie mara mbili mbili!!

Kama ilivyo kwa mashabiki wa Kibongo, mashabiki wa Beyonce nao wakaenda kumvamia Rachel Roy kwenye social media accounts zake wakiamini Jay Z ana-cheat na Rachel, na Beyonce ndo akatumia hiyo ngoma kuelezea mkasa wa kusalitiwa!!!!

By average, Rachel alikuwa anapata less than 50 comments kwenye posts zake lakini siku ya siku alivuna karibu comments 1000 kutoka kwa mashabiki wa Beyonce waliokuwa wanamshambulia kwa "umalaya" na "kutaka kuvunja the Queen's marriage"!!

Kituko ni pale baadae ilipokuja kugundulika kumbe mlengwa wa Sorry alikuwa Rachel Ray na sio Rachel Roy!!!!
Yes hata mashabiki wa Beyonce wallimshambulia Kelly Hilson na inasemekana ni mwanzo wa Kelly Hilson kupotea. Kuna jambo alisema likatafsiriwa vibaya na mashabiki wa Beyonce, lakini ni ujinga kumshambulia mtu kisa wimbo wak umeimba mistari michache.
Mashabiki wa wenzetu wanawashambuliwa watu kwasababu ya matukio wanayohisi celebrity wao kashambuliwa au kuna mistari kwenye wimbo wanahisi imemlenga star wao. Sasa wewe mtu ukamshambulie mtu kisa hajamshirikisha flani kwenye album yake, au kisa kaimba kidogo wakati wimbo siyo wa kwake.
Eti, fans waende kwenye page ya timu kuulizia mshahara wa mchezaji huo ni ulofa wa kiwango cha standard gauge.
 
reply ya domo haina mashiko yoyote...angejitahidi kuongeza nyama watu wamuelewe
 
Hata mashabiki wa alikiba walilalamika kwa kukosekana kionjo cha 'yooooo' kwenye wimbo alioshirikishwa na R kelly na R kelly mwenyewe akamuomba kingi awatulize mashabiki wake. Najua wengi hamuijui hii story kwa sababu jamaa hapendi show off.
Hahahahahahah asee
 
Back
Top Bottom