Mume wa kunistiri uko wapi jamani?

Kila la kheri Baby Anka
Hongera kwa kuisimamia imani yako.Usikate tamaa, utafanikiwa tuu.
 
Baby Anka huu ushauri usiufuate. Inawezekana sana tu kuoana bila kuonjana. Simamia msimamo wako wa kutokubali kugawa hadi goti lipigwe.
 
Baby Anka huu ushauri usiufuate. Inawezekana sana tu kuoana bila kuonjana. Simamia msimamo wako wa kutokubali kugawa hadi goti lipigwe.


Mungu katupa akili ili tuitumie ipasavyo, then binadamu tumejiwekea dini na kuharibu kila kitu kusingizia Mungu anavyotaka, uwongo mtupu. Mungu has nothing to do with nyege, ikikushika ina maana kwamba tafuta mwenza wa kushiriki naye ili ikutoke, tusipende kusingizia Mungu for vitu visivyo make any sense.
 
haaaaaaa haya wadau Post hiyo.
 
Umenishawishi kwa lugha nzuri uliyotumia na masharti machache.

Mkiristo vipi nije Pm?
 
Wanaume waliooacha kukuoa hawajakosea. Uko too selective wakati wewe ndo mhitaji, utasubiri saaana dada ndo utajua wanaume hawapangiwi!!!,
 
Umechoka kuishi kisela?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…