Mume wa kunistiri uko wapi jamani?

Mume wa kunistiri uko wapi jamani?

Wazima humu
Natafuta mtu wa kunisitiri maana naona hali yangu c hali tena na swala la kuzini silihitaji kabisaaa masikioni mwangu
Najikuta napoteza watu wengi ambao wananihitaji kimapenz Ila wengi hawamuogop Mungu wameendekeza zinaa hvy nikiweka msimamo bac mtu anapotea lakini cjali naamini yupo mwenye hofu na Mungu na akanisitir

Hvy bac ww ambaye unahc unauhitaji wa mke ikiwezekan hata ndani ya mwaka huu huu bac hii ndo fursa yako na hakika hutajutia kunijua wala kunioa
Akiwa muislam itapendeza zaid

Akiwa msomi Sawa pia hata kama hana kazi haina shida mali zinatafutwa ila awe amesoma maana mm elim yangu mm ni ya kawaida tu

Andunje hapana jamn mnisamehe maana me pia anduje sasa tukitaka kufuta vumbi kwenye feni itakuaje hapo

Awe tayar kubadilika na kuishi kwa kumtegemea Mwenyez Mungu kwa kila kitu na sio binaadam mwenzake (shirki is not allowed)

Akiwa mpole kwangu nitashkr sana ila ajue tu yeye ndo baba hvy inafikia kipind atatakiwa upole ubakie kwangu ila kwa watoto natamani awe mkali zaid maana mm hadi najionea huruma siwez kuongea kwa ukali

Asiwe black saanaaa wala mweupeeee saaana angalau maji ya kunde

Awe tayar kuishi na mm bila kuninyanyasa maana sina kibarua Ila napenda ujasiriamali so akiniwezesha atafutarah maan biashara kwangu ni bora kuliko kuajiriwa
Ila nikibak nyumbani napenda zaid maana nitakuwa na uhakika wa kumtimizia mume wangu nahitaji yake kwa muda unaotakiwa angalau hata 95%

Karibuni PM mwenye nia tu
Ukienda kanisani utapata mume siku ya kwanza
 
Wazima humu
Natafuta mtu wa kunisitiri maana naona hali yangu c hali tena na swala la kuzini silihitaji kabisaaa masikioni mwangu
Najikuta napoteza watu wengi ambao wananihitaji kimapenz Ila wengi hawamuogop Mungu wameendekeza zinaa hvy nikiweka msimamo bac mtu anapotea lakini cjali naamini yupo mwenye hofu na Mungu na akanisitir

Hvy bac ww ambaye unahc unauhitaji wa mke ikiwezekan hata ndani ya mwaka huu huu bac hii ndo fursa yako na hakika hutajutia kunijua wala kunioa
Akiwa muislam itapendeza zaid

Akiwa msomi Sawa pia hata kama hana kazi haina shida mali zinatafutwa ila awe amesoma maana mm elim yangu mm ni ya kawaida tu

Andunje hapana jamn mnisamehe maana me pia anduje sasa tukitaka kufuta vumbi kwenye feni itakuaje hapo

Awe tayar kubadilika na kuishi kwa kumtegemea Mwenyez Mungu kwa kila kitu na sio binaadam mwenzake (shirki is not allowed)

Akiwa mpole kwangu nitashkr sana ila ajue tu yeye ndo baba hvy inafikia kipind atatakiwa upole ubakie kwangu ila kwa watoto natamani awe mkali zaid maana mm hadi najionea huruma siwez kuongea kwa ukali

Asiwe black saanaaa wala mweupeeee saaana angalau maji ya kunde

Awe tayar kuishi na mm bila kuninyanyasa maana sina kibarua Ila napenda ujasiriamali so akiniwezesha atafutarah maan biashara kwangu ni bora kuliko kuajiriwa
Ila nikibak nyumbani napenda zaid maana nitakuwa na uhakika wa kumtimizia mume wangu nahitaji yake kwa muda unaotakiwa angalau hata 95%

Karibuni PM mwenye nia tu
Tathimini upia vigezo vyako unamkufuru Mungu kwani havikubaliki unataka mchamungu huku unakufuru Mungu kaumba warefu na wafupi wanene na wembamba weusi weupe na katika kuoa au kuolewa vigezo kwa wachamungu ni Mchamungu, Mali ,Uzuri na familia ya anakotoka mchumba
 
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Nitakuambia kule ukipata wasaa uje
[emoji3] [emoji3] si unajuwaga me sichelew[emoji124] [emoji124]
 
Wakiisha wote njoo, na mimi nikupe masharti yangu, hakikisha usiwe kilaza.
 
Ngoja nijaribu bahati yangu, Baby Anka naomba picha zako pm tafadhali, nataka nione muonekano wa nje, niangalie vigezo vya nje kabla hatujaonana
 
He he pole sanaa aiseee naendelea kukutafutia anayekufaa
ewaaaa unavonipenda kaka ako najua hutakosea kunitafutia nke roho yangu inapenda.

ntakuja pm nikupe vivumishi vya wifiyo.
 
Tathimini upia vigezo vyako unamkufuru Mungu kwani havikubaliki unataka mchamungu huku unakufuru Mungu kaumba warefu na wafupi wanene na wembamba weusi weupe na katika kuoa au kuolewa vigezo kwa wachamungu ni Mchamungu, Mali ,Uzuri na familia ya anakotoka mchumba
Hapo kwenye uzuri si pamoja na umbo, kimo, rangi? Kama huvutiwi na mfupi sioni kama kuna sehemu utakufuru.
Oeni/ oleweni na wale mnaowapenda.
 
Mwanamke akishasema hana kazi anasubiria kuwezeshwa, nalala nae mbere kwa mbere.u naleta masharti meeengi kumbe tegemezi
 
Back
Top Bottom