Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
ndege JOHN Karucee anasema leo umemondeka nyagi au uftio kvant yani k kama k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahah hapana Leo sijanywa mkuu Jana ndo nilikuwa Niko vitu Sana leo nimepumzikandege JOHN Karucee anasema leo umemondeka nyagi au uftio kvant yani k kama k
ElizabethKwani Malkia ndiyo nani ??
JF never kuchoshaling daaaaaWee leo umepandisha nyuz ngapi nimeona moja unalalamika umekutana na papuchi chafu
Hivi Camila alikukosea nini Swahiba?When William will be a King, Kate will be Queen Consort
Yamebadilika tu baada ya mama kumuona mtoto wake amependa lakini mwanzo ilkua hivyo.Hivi Camila alikukosea nini Swahiba?
Camilla ndio Queen consort, tunasubiri tangazo la kifo cha Queen Elizabeth tu.
RIP Queen Elizabeth.Yamebadilika tu baada ya mama kumuona mtoto wake amependa lakini mwanzo ilkua hivyo.
Mume wa Malkia Elizabeth II, Mwanamfalme Philip amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 99. Taarifa hiyo imetolewa na Kasri la Buckingham
Imeelezwa, Mwanamfalme Philip (Duke of Edinburgh) amefariki asubuhi ya leo Windsor Castle
=====
Prince Philip, Queen Elizabeth II's husband, has died aged 99, Buckingham Palace has announced.
The prince married Princess Elizabeth in 1947, five years before she became Queen, and was the longest-serving royal consort in British history.
The couple had four children, eight grandchildren and 10 great-grandchildren