missyrose
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 3,014
- 7,361
Sijajua kuhusu kuajiriwa..nimesoma tu wame sign na Netflix na Spotify. sifahamu detailsSi nasikia katafuta kazi kashaajiriwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua kuhusu kuajiriwa..nimesoma tu wame sign na Netflix na Spotify. sifahamu detailsSi nasikia katafuta kazi kashaajiriwa?
Let's see...ingawa Bi. Mkora anaweza akampiga pin asihudhuriePrince Harry atahudhuria mazishi? Is their a possibility to patch their differences with his Dad Prince Charles and Brother Prince William during this sad event in their family? Let’s wait and see.
Let's see...ingawa Bi. Mkora anaweza akampiga pin asihudhurie
Dada Munaishi kwa mihemko sana huko, Kueni na adabu kwenye nchi za watu.The public demends to know the racist Royal member who worried about the skin colour of Archie before he was born. The public says they can not be paying tax to keep the unknown racist. Things are still hot.
Niseme tu pale uwez kuwa kwenye jumba lile kama ww sio muumini wa illuminati
Devil worshiper wakubwa hao nyonya damu
😂 duh! Inaweza kuwa kweli maana kapo tu na nguvu zake .Nilisikia eti hawa ni reptilian families kuwa hawafi. Leo naona Duke kachapa mwendo
Iluminati siyo devil. Acha kulishwa matango poriNiseme tu pale uwez kuwa kwenye jumba lile kama ww sio muumini wa illuminati
Devil worshiper wakubwa hao nyonya damu
Ila kuna watu wanaishi
Mume wa Malkia Elizabeth II, Mwanamfalme Philip amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 99. Taarifa hiyo imetolewa na Kasri la Buckingham
Imeelezwa, Mwanamfalme Philip (Duke of Edinburgh) amefariki asubuhi ya leo Windsor Castle
=====
Prince Philip, Queen Elizabeth II's husband, has died aged 99, Buckingham Palace has announced.
The prince married Princess Elizabeth in 1947, five years before she became Queen, and was the longest-serving royal consort in British history.
The couple had four children, eight grandchildren and 10 great-grandchildren
Hahahhaha Mataga bado unamachungu na Jiwe tuuWatanzania wambeya sana naona mmeanza kuingilia mambo ya familia za watu.
Huyo ndie añiyetupa uhuru 1961Amefariki Dunia leo asubuhi katika makazi ya kifalme
(Windsor Castle) akiwa na umri wa miaka 99.
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Hivi ukitaka kuoa malkia posa unapeleka wapi? Kuna mtu ananiulizia hapa anataka kuoa huyo malkia aliyefiwa na mumewe
Huo umri unatosha,,tena amependelewa mno 99Wanaume tunakufiaga mapemabkuliko wamama
Wewe nenda kampose Mke wa kiongozi wenu wa Malaika.Hivi ukitaka kuoa malkia posa unapeleka wapi? Kuna mtu ananiulizia hapa anataka kuoa huyo malkia aliyefiwa na mumewe