Hakutakiwa awe wa kwanza lakini kuendelea kukaa nyumbani hadi Asubuhi kisa mama kamuambia asitoke ni UzobaOndoeni hizo mentality, aliyepo jirani ndiye anaweza kutoa msaada wa haraka zaidi kuliko hata ndugu au mwenza. Nyumba inaungua Tegeta na wewe upo Mbagala, halafu eti mtu aje kulaumu kwamba mwenye nyumba alitakiwa awe wa kwanza kuwepo eneo la tukio! Aisee!
Una mume?Poleni wote mlioguswa na msiba huu...ila kumtumia lawama mumewe ni kumuonea, kwa jinsi comments zinavyokwenda mume pia amevumilia mengi,kumtwisha zigo la lawama ni kumuonea
Hakuna ubaya wowote kwenye maelezo yake. Ni mtazamo wako tuNimesikitishwa sana na Kifo cha Maunda Zoro, vibao vyake ni vya enzi zangu nilivipenda sana. Nakumbuka mchumba wangu wa enzi hizo akiniimbia Nataka niwe wako.
Ila nimesikitika zaidi kwa kuwa alikua akiishi na mtu wa hovyo sana. Ambaye mbali na kukaa nae miaka yote akimzalisha watoto watatu bila kufunga ndoa, pia hakuwahi kumjali.
Ukimsikiliza akihojiwa anasema alipigiwa simu mkewe kapata ajali, akaendelea kukaa Nyumbani huku akiwasiliana na watu. Anasema "MAMA akaniambia usitoke nikampigia RTO akasema ndio wanajaribu kumtoa, nampigia mdogo wangu aendee akafika baada ya kama dakika kumi akaniambia kafika ila bado wanahangaika kumtoa. Hatimaye wamemtoa kafariki."
Mwisho anasema kama angepatiwa huduma ya kwanza mapema angepona kwasababu kama kwa kuchelewa kupata Msaada. Wakati yeye alibaki Nyumbani akichat.
Ndoa ina siri kubwa nyie acheni! Kuna ndoa inafikia adi mtu anamuombea mwenzie kifo haijalishi mmezaa wala nnJianaume la hovyo mno kuwahi kutokea. Hata kama hamuelewani lakini lilisikia kabisa ameshakufa unawezaje kukaa ndani tena ambako mliishi wote? Yaani ni katili Sana. Yaani eti akasema alijiegesha Kulala. What??? Yaani nikifiwa na mtu wa karibu siwezi Kula wala Kulala. Nilifiwa na Kaka yangu yaani sikuweza kumeza chochote chakula siku NNE hata njaa sina. Nikafiwa na mama hapa ilikuwa funga kazi maana sikuweza Kula. Nilishindia uji na vitu laini. Nilikonda suruali nilinunua upya za mpito. Sasa uniambie afe mke wangu. Eeh Mungu nakuomba kikombe hiki kinipite mbali maana huwa hata akisafiri naona ugumu Sana nyumbani. Ninapenda na kumjali mno. Hata aliugua hospitali ni lazima nimpeleke au nimfuate huko. Na Sisi ni watu wazima na upendo wetu haujawahi kuyumba. Sisi siyo malaika hata tukihitilafiana vitu vidogo hatulali hatujayamaliza.
Ila pia mtu amekuzalia watoto watatu wa kwanza over 10 years. Halaula. Hakuna ndoa kweli?. Bora wangetemana tu mapema kuliko hizi aibu.
Poleni Sana familia ya Zoro.
Tayari alikuwa kajiandaa na interview keshapata jina adi sasa anajadiliwa jf😅😅😅
Khaaa jamani usimuombee mwenzio ivo, je ulimuoa ukijua kuwa ni malaya? Izo tabia alikuwa nazo ama zimejitokeza baada ya kukutana na visa kadhaa toka kwako?Ukizaa na malaya utamuelewa jamaa,homgereni wenye ma wife material huyu wangu ningefanya na sherehe
Kuna interview moja Banana aliwahi sema dada yake ana watoto watatu kila mmoja na baba yake.Una uhakika wote wa kwake? Jiulize kwa nini watoto wa marehemu wengine wana majina ya kikristu na wengune ya kiislam
Anaweza kuwa malaya sikujua nimejulia ndoani au hakuwa akajifunza ,tofauti iko wap??Khaaa jamani usimuombee mwenzio ivo, je ulimuoa ukijua kuwa ni malaya? Izo tabia alikuwa nazo ama zimejitokeza baada ya kukutana na visa kadhaa toka kwako?
Ndo waambie vijana daily nalala na adui yanguMzee zaidi ya kukuzalia watoto ulitaka nini tena, na alivyo mjanja wote wa kwako. Huyo ni wa kwako
Kama unaamini hauko obliged kwa matukio ya familia yako then let it be, unapigiwa simu mkeo/mwanao/mzazi wako yuko kwenye ajali nawe badala ya kuchukua jukumu la kwenda eti unapigia watu wengine waende nawe unalala nakupata usingizi probably na ndoto unaota kabisa.Ondoeni hizo mentality, aliyepo jirani ndiye anaweza kutoa msaada wa haraka zaidi kuliko hata ndugu au mwenza. Nyumba inaungua Tegeta na wewe upo Mbagala, halafu eti mtu aje kulaumu kwamba mwenye nyumba alitakiwa awe wa kwanza kuwepo eneo la tukio! Aisee!
Fact.Ni Binadamu wa ajabu kuwahi kumsikia, Nungependa kujua malezi ya huyu Jamaa yalikuwaje. Hawezi kuwa kalelewa na Baba
Hapo kwenye 'probably' ndio umbea wenyewe, maana unakuta mtu hana uhakika lakini anapublish... badala ya kuchukua jukumu la kwenda eti unapigia watu wengine waende nawe unalala nakupata usingizi probably na ndoto unaota kabisa.
Kama hauelewi maana ya 'probably' uliza, kama alilala na akasinzia akaamshwa asubuhi na shemeji yake(sick!) basi alivyokuwa amelala usingizi baada ya kupewa taarifa ya ajali kuna asilimia fuliani(probable chances) kuwa aliota ndoto kwani kuota ndoto ukiwa usingizini si kitu cha kushangaza bali kitu cha kushangaza ni uwezo wa kulala na kusinzia baada ya kupata taarifa(habari) za ajali ya mkewe.Hapo kwenye 'probably' ndio umbea wenyewe, maana unakuta mtu hana uhakika lakini anapublish
Huu msemo wa kamzalisha mwanamke ni wa ajabu! Mwanamke anaamua kuzaa mwenyewe siyo kama mnyama asiye na maamuzi. Kila tatizo la wanawake lawama kwa wanaume.Nimesikitishwa sana na Kifo cha Maunda Zoro, vibao vyake ni vya enzi zangu nilivipenda sana. Nakumbuka mchumba wangu wa enzi hizo akiniimbia Nataka niwe wako.
Ila nimesikitika zaidi kwa kuwa alikua akiishi na mtu wa hovyo sana. Ambaye mbali na kukaa nae miaka yote akimzalisha watoto watatu bila kufunga ndoa, pia hakuwahi kumjali.
Ukimsikiliza akihojiwa anasema alipigiwa simu mkewe kapata ajali, akaendelea kukaa Nyumbani huku akiwasiliana na watu. Anasema "MAMA akaniambia usitoke nikampigia RTO akasema ndio wanajaribu kumtoa, nampigia mdogo wangu aendee akafika baada ya kama dakika kumi akaniambia kafika ila bado wanahangaika kumtoa. Hatimaye wamemtoa kafariki."
Mwisho anasema kama angepatiwa huduma ya kwanza mapema angepona kwasababu kama kwa kuchelewa kupata Msaada. Wakati yeye alibaki Nyumbani akichat.
Hamna anayelaumu,na wala hakuna aliyesema kutokwenda kwake ndo kumesababisha Maunda afe.Hebu acheni lawama, maunda kafariki on the spot sababu ya kubanwa na vyuma, na si ajabu alijigonga kichwa. Mashuhida wa ajali wanasema wakati anafika mtu wa kwanza tayari maunda alikuwa keshakufa. Kwa vyovyote vile mumewe asingeweza kumfufua wala kumponesha, na kwa vile ni ajali ni police case lazima wajulishwe so mumewe alifanya wajibu wake vizuri but ni mpango wa mungu amunda afe kwa ajali so msilaumu
Sasa ngoja ufundishwe. Ukipigiwa simu kwamba nyumba yako inaungua, hapo hapo piga simu simu Fire & Rescue, usianze kwanza kuhangaikia usafiri wa kwenda kwenye tukioHamna anayelaumu,na wala hakuna aliyesema kutokwenda kwake ndo kumesababisha Maunda afe.
Kinachoongekewa hapa ni kitendo cha mtu kupewa news km hizo za mtu anayekuhusu na unaishi naye nyumba moja then usichukue initiative ya kwenda.Maana hata km mtu ameshafariki si kuna process zingine ikiwemo kuhakiki hilo unaloambiwa??Sasa km kwenda eneo la tukio haikuwa muhimu Banana alitoka nyumbani kwake usiku baada ya kupata taarifa ili iweje??
regardless mahusiano yao yalivyokuwa..Haijalishi!
ila yule ni mama wa watoto wake.
Again simjudge labda ana sababu ila sio kawaida
Kwahiyo alimpigia simu ili waandae Lori la Mchanga limmalizie siyo? Polisi inabidi wachunguze hili. Tunaweza kuwa tunadhani ni Ajali ya Kawaida kule Walishamchoka
Aise tunateseka sanMaunda alitoka msibani..
Lakini baadae akapitia sehemu, umeiona ile video ya alivyovaa huko alipopitia.? Kavaa kigauni kifupi kapiga make up huku kakumbatiana na mwanaume anaimba na anaonekana alilewa..
Ukiiona hiyo video utapata majibu mengi sana..
Maana yake alibadilisha nguo alibadilishia wapi.? Alipakia make up wapi.?
Unaniacha nyumbani na watoto unaaga unaenda msibani, unapitia sehemu kulewa ukiwa na mwanaume, unarudi saa 4 ..
Wanaume tunapitia mengi sana..