Mume wa mtu ananitaka

Mpe tu ,kumbuka kitaoza tu siku moja
 
Nimecheka sana na hii comment
Lovie Lady uje ututafsirie
Mrs Lissu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Akiiiii nimecheka mpaka imenibidi nikae chini kwanza

Sasa mbona ww ndio Mtaalaam wangu nakuaminia hapa Jukwaani ukishindwa ww me natoka patupu🤣🤣🤣👋
 
Samahani mimi sijakuelewa ulicho andika
Labda kama kuna lugha nyingine unaijua kuliko kiswahili uandike tena....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…