mbarika
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 6,290
- 8,600
Wakati unazaa nae hukujua ni mume wa mtu?Kesho kutwa anarudi kwa mkewe anakuacha na mtoto unakuwa single mother
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati unazaa nae hukujua ni mume wa mtu?Kesho kutwa anarudi kwa mkewe anakuacha na mtoto unakuwa single mother
Ndio hivyo na michepuko imetoboa kupitia hao Waume za watu ..Hao hawana akili.
Mume wa mtu maziwaSidhani kama Kuna mume wa mtu😂 ila mke wa mtu sumu
Mimi nachepuka, na nishacheluka na Wanawake mamiaa, ila sitokaa kuoa mchepuko .Ndio hivyo na michepuko imetoboa kupitia hao Waume za watu ..
Ila haya maisha haya 🙌
Na ishakua kitu Cha kawaida sn kwenye jamii
Aisee hao wanawake Wana moyo , wanajua kuwa we ni mume wa mtu au wanazaa tu? Na kwann unazaa nje ya ndoa ? Unakosa nn Kwa mkeo ? Mkeo hawezi kukuzalia ? Shida nn?Mimi nachepuka, na nishacheluka na Wanawake mamiaa, ila sitokaa kuoa mchepuko .
Nimezaa nje, na sahizi watatu wana mimba.
Wanazaa namm walikua .Aisee hao wanawake Wana moyo , wanajua kuwa we ni mume wa mtu au wanazaa tu? Na kwann unazaa nje ya ndoa ? Unakosa nn Kwa mkeo ? Mkeo hawezi kukuzalia ? Shida nn?
Km una bonge la mwanamke na anakuzalia watt ,ya nnkuzaa nje Tena jmn?Wanazaa namm walikua .
Kwan kikubwa ni kuwatunza au ?.
Achana na maswala ya nakosa nn Kwa Mke wangu
Nina booooonhe la Mwanamke.
Kwan Uzi unahisi nn??
PoleeKaa ukijua mume wa mtu hakuna mapenzi ya kweli, alitakalo likitimia hana muda na wewe.
Usilogwe kumpenda mume wa mtu, mwisho wa siku atakuacha peke yako. Bora kupambana na hawa papatu papatu.
Hahahahaha eti hakuna Mume wa Mtu, ndiyo kusema Mwanaume ni wa wote siyo?you are very right, hakuna mume wa mtu kuna mke wa mtu tu
hakika, na ndiyo mana hawatulii majumbani mwaoHahahahaha eti hakuna Mume wa Mtu, ndiyo kusema Mwanaume ni wa wote siyo?
Sisi tunajengea watu majumba na kuwanunulia magari, pole kama amekuumiza!Kaa ukijua mume wa mtu hakuna mapenzi ya kweli, alitakalo likitimia hana muda na wewe.
Usilogwe kumpenda mume wa mtu, mwisho wa siku atakuacha peke yako. Bora kupambana na hawa papatu papatu.