Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Kati ya mwanamke na mwanaume nani anaongoza kwa wivuWanawake wakilijua hili watapunguza wivu kwa kiasi kikubwa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kati ya mwanamke na mwanaume nani anaongoza kwa wivuWanawake wakilijua hili watapunguza wivu kwa kiasi kikubwa....
Huyo Hana future na wewe why kumhurumia kumbuka anakutia nuksi na laaza za mkewe ujueSio sawa cariha, Kuna watoto kule ujue cariha, kama ukitongozwa tu basi kataa
Sijui wenzangu ila binafsi sio kubeba tu mimba hata kulala na mme wa mtu siwezi labda nisijueSasa ni nini kinawasukuma kuwabebea hadi mimba[emoji3] kama ni makapuku
Tena ukiona unaanza kucatch tu kimbia kabla hujakimbizwaMume wa mtu wa kumchuna Hadi damu na hamna huruma usiwekeze hisia kwake
Siku zote mume wa mtu Hana future na mchepuko basi usiumize na wasiokuwemo, ñdio maana laana hujaHuyo Hana future na wewe why kumhurumia kumbuka anakutia nuksi na laaza za mkewe ujue
Laana itampata asiye heshimu ndoa yake na pia kupotezea wengine mdaSiku zote mume wa mtu Hana future na mchepuko basi usiumize na wasiokuwemo, ñdio maana laana huja
[emoji28][emoji28] sio ku catch unaangalia masilahi yako kwanza, kutoka naye in the name of love ni matumizi mabaya ya dhambiTena ukiona unaanza kucatch tu kimbia kabla hujakimbizwa
😂 😂 😂Mume wa mtu ana mapenzi vizuri tu na ndo maana wengi wanawajengea na kuwalelea vitoto vyenu vya siri. 🤣
Huwezi kumpata.. atakufanya main cha ajabu anaye main mwingine ndo utachoka, wewe songa na aliyepo hata kama ni mme wa mtu kama Injili.Nikitembea na mume wa mtu nitakufa kwa wivu.
I want my own man.
Hata akichepuka ila mim ndo niwe main.
Njo Kwangu papatu papatu .Kaa ukijua mume wa mtu hakuna mapenzi ya kweli alitakalo likitimia hana muda na wewe usilogwe kumpenda mume wa mtu mwisho wa siku atakuacha peke yako bora kupambana na hawa papatu papatu
Kati ya mwanamke na mwanaume nani anaongoza kwa wivu
kwani mapenzi ya kweli ni nini ?tuanzie hapo.Kaa ukijua mume wa mtu hakuna mapenzi ya kweli alitakalo likitimia hana muda na wewe usilogwe kumpenda mume wa mtu mwisho wa siku atakuacha peke yako bora kupambana na hawa papatu papatu
Wanawake mnakuwaga wabinafsi sana, hata kwa waislamu ambapo inaruhusiwa kuoa wake hadi wanne huwaga ni shughuli pevu aliyetangulia kukubali mwanaume aongeze mke.Nikitembea na mume wa mtu nitakufa kwa wivu.
I want my own man.
Hata akichepuka ila mim ndo niwe main.
Si nimesema.ruksa kuchepuka.ila nisijue nitamuua mchepuko wake😂😂Wanawake mnakuwaga wabinafsi sana, hata kwa waislamu ambapo inaruhusiwa kuoa wake hadi wanne huwaga ni shughuli pevu aliyetangulia kukubali mwanaume aongeze mke.
Yaan tuoe na tuna wake zetu alafu sisi ni wakristo, labda kama unazungumzia Wanaume waislamSema 'mimi' sio 'sisi'
Wengi tu wanazaa nao na wanawaoa, Nina mufano kibao
Yaani Hawa Hawa wakristo mpka tunawashangaa sijui wamerogwaYaan tuoe na tuna wake zetu alafu sisi ni wakristo, labda kama unazungumzia Wanaume waislam
Hao hawana akili.Yaani Hawa Hawa wakristo mpka tunawashangaa sijui wamerogwa