Wanawake wakilijua hili watapunguza wivu kwa kiasi kikubwa....you are very right, hakuna mume wa mtu kuna mke wa mtu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wakilijua hili watapunguza wivu kwa kiasi kikubwa....you are very right, hakuna mume wa mtu kuna mke wa mtu tu
Hata huyo unayemfikiria atakuwa mme wako, tayari anao wengine......mabaharia tunajuana vilivyo, kwa hiyo kifupi hakuna mme wa mtu bali kuna mke wa mtu.N
dio
😂😂😂HARAKATI ZAPIMBIFIGO76
juu ya mstariSawa sawa ?
Kaa ukijua mume wa mtu hakuna mapenzi ya kweli alitakalo likitimia hana muda na wewe usilogwe kumpenda mume wa mtu mwisho wa siku atakuacha peke yako bora kupambana na hawa papatu papatu
Walimaanisha nini ?Sawa nimeelewa
Hosea kafanyaje kwani ? Huyo jamàa nimesoma nae Chuo alikua kitombi balaaHosea 1:
Hosea 2.
Biblia takatifu
Ushajuwa kuwa ni mume wa mtu unajiingiza kwenye mapenzi naye ili iweje? Matatizo mengine nyie wanawake mnajitakia wenyewe kupenda kusiopendeka mwisho wa siku mnakuwa kama Kajala na mwanaye mnashea mboo na wanenu.Kaa ukijua mume wa mtu hakuna mapenzi ya kweli alitakalo likitimia hana muda na wewe usilogwe kumpenda mume wa mtu mwisho wa siku atakuacha peke yako bora kupambana na hawa papatu papatu
Kuna jambo muhimu nikwambie, hapa macho mengi. Hawajui hizi mambo. BTW, unatumia vigezo gani kujua mwanaume aliyekutokea ni mume wa mtu? Au ndio mpaka mshamalizana kila kitu ndio unajua.. Maana sio wote wanapenda kutanguliza status za ndoa mbele kabla ya utamu.Tulia hapa hapa
Pesa sio ugonjwa wa zinaa, akisepa anasepa nazoNi jambo jema lakini, maana unakuwa umefanikiwa kuzaa na mtu mwenye pesa [emoji1787]
Na sio kweli eti waume za watu wote wana pesa wengine ni walewale papatu tuNi jambo jema lakini, maana unakuwa umefanikiwa kuzaa na mtu mwenye pesa [emoji1787]
Mume wa mtu ni kama kuwinda mnyama asieliwaHivi ni kwanini mwanamke akisikia au ukijua wewe ni mume wa mtu anakata tamaa ani
Pole yamekukuta niniKaa ukijua mume wa mtu hakuna mapenzi ya kweli alitakalo likitimia hana muda na wewe usilogwe kumpenda mume wa mtu mwisho wa siku atakuacha peke yako bora kupambana na hawa papatu papatu