Mume wa mtu sumu kweli?

Mume wa mtu sumu kweli?

cold water

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2021
Posts
238
Reaction score
954
Niwape story,niliwahi date na mume wa mtu ,tukaachana kwasababu tu ya kushift mkoa lakini tukawa tunaendelea na mawasiliano japo kwa mwezi tunaweza kuwasiliana Mara chache,uyu kipindi tunadate aliwahi omba picha za uchi,lakini sikuwahi mtumia!!!! Sasa si mnajua kuna kumisiana Leo kaomba tena picha za uchi jamani nimepanga ni google nimtumie.
 
Mtu anajua kabisa Mke/Mume wa Mtu ni sumu Halafu Mtu akipotea mnaanza mara sijui ametekwa hao watu ni hatari kwa usalama wako binafsi
 
Niwape story,niliwahi date na mume wa mtu ,tukaacha kwasababu tu ya kushift mkoa lakini tukawa tunaendelea na mawasiliano japo kwa mwezi tunaweza kuwasiliana Mara chache,uyu kipindi tunadate aliwahi omba picha za uchi,lakini sikuwahi mtumia!!!! Sasa si mnajua kuna kumisiana Leo kaomba tena picha za uchi jamani nimepanga ni google nim
Niwape story,niliwahi date na mume wa mtu ,tukaacha kwasababu tu ya kushift mkoa lakini tukawa tunaendelea na mawasiliano japo kwa mwezi tunaweza kuwasiliana Mara chache,uyu kipindi tunadate aliwahi omba picha za uchi,lakini sikuwahi mtumia!!!! Sasa si mnajua kuna kumisiana Leo kaomba tena picha za uchi jamani nimepanga ni google nimtumie.
Zikivujishwa usije kutafuta sumu au kamba ya kujinyonga,. Maana umeshakiri mume wa mtu ni sumu akini bado
 
Niwape story,niliwahi date na mume wa mtu ,tukaacha kwasababu tu ya kushift mkoa lakini tukawa tunaendelea na mawasiliano japo kwa mwezi tunaweza kuwasiliana Mara chache,uyu kipindi tunadate aliwahi omba picha za uchi,lakini sikuwahi mtumia!!!! Sasa si mnajua kuna kumisiana Leo kaomba tena picha za uchi jamani nimepanga ni google nimtumie.
Njoo pm nina ujumbe wako muhimu hku
 
Niwape story,niliwahi date na mume wa mtu ,tukaacha kwasababu tu ya kushift mkoa lakini tukawa tunaendelea na mawasiliano japo kwa mwezi tunaweza kuwasiliana Mara chache,uyu kipindi tunadate aliwahi omba picha za uchi,lakini sikuwahi mtumia!!!! Sasa si mnajua kuna kumisiana Leo kaomba tena picha za uchi jamani nimepanga ni google nimtumie.

Umempenda yeye kwa dhati ya moyo bila masharti au kwaajili ya kutaka kumwibia Hela zake?
Dhamira yako inakutuma kitu gani?
 
Asa si kinenaa atakijua ashakipalazaaga🤣🤣.Mim Ma X wote nakumbuka vinenaa vyao hawanidanganyi! Nashindwa kuprint tu.
 
Back
Top Bottom