Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Na hiyo ndio tabia halisi ya simba wenda pole...kuna mdada mumewe msabato ameshika dini kinoma na ukimwangalia anaangalia chini utasema mtakatifu...kilichotokea alimpa mimba beki tatu...majirani wakabaki wanashangaa!

Yani hawa so called washika dini hawachezi mbali; mashemeji, ma house girl ,...maana wakichepukia mbali si watapishana na wanaowafahamu kwenye ma guest afu iwe nong'wa??

michepuko yao uwa ndani kwa ndani tu ili kutunza siri zao....


Hilo libakaji ni libwege kabisa warembo wamejaa kila kona ni wa kushika mkono,lenyewe linaenda kubaka mtoto mdogo?manina zake.
 
Bint alipigwa mashine mpaka akachubuka, nadhani papuchi iliungua ndio maana akaamua kuripoti.

Kwa nn mara ya kwanza aliuchuna?

Vyovyote vile, nnaimani zengwe litaisha mda wowote.
 
Kumbe sometimes kubaka napo mtu anapata raha!!! Kama akikutwa na kosa na astahili hukumu yake.
 
Ukweli siku Noma utafahamika tu watu na dini(Christians) wanaamini ndoa ya mke mmoja it fine but I tell you having been into marriage for 7+ years wanaume hupatwa na majanga makubwa sana.
1 Mke Hamna stress za kutosha kwa kuna hukua jinsi na Nakuja ushindani.
2 Principally you need a competitiveness to step ngazi Noma na nyingine.
3 Hawa viumbe wanahitaji kumridhisha mwanaume na si kusema kua hakuna kua na mwana mke mwingine halihalisi ktk mda muafaka huwezi kutimiziwa baadhi.
4 Kama unamke wahalali mwingine you change the tag on that particular day.
5 Mafundisho ya kimapokeo yamewapa kiburi sana hawa wanawake wakati hawawezi kutimiza kwa %zote.
6 I suggest polygamy should be allowed so that matamanio ni hisia that's nature we will probably rescue some of these alleged offenders.
 
Akibaka mtu asiyejulikana, kapuku hohe hahe mbona anachukuliwa hatua bila kutafta chanzo cha kwanini kabaka, basi na huyo achukuliwe hatua.
Kibaka akiiba mbona wananchi wanamchoma moto bila kuuliza chanzo cha sababu yake ya kuiba lakini akiiba mtu mashuhuri hapo mtadai chanzo na story mingi mingi
 

Well well! I agree with you dude! Mind you hata wanawake wapo wengi sana ambao waume zao hawawaridhishi 100%!
Hii concept yako itafaa pia kwa upande wao! Ukipiga bao moja la sekunde tatu ukakoroma yeye aswitch kwa the other man like Mandingo atakayepiga mabao 5!
 

Heheheeeh...sawa sawa.this should apply both sides tna bra wanawake tunajitahidi.wanaume Wengi majukum hawayawez kabsaa ..polyandry should be legalised aisee manake michepuko Kwa wanawake imekuwa too much uku bongo
 
Kubaka ni kubaka tu ! tena mara mbili alikusudia na anachokifanya huyo , Sheria ichukue Mkondo wake hakuna nini wala nini :A S angry:
 
Kubaka ni kubaka tu ! tena mara mbili alikusudia na anachokifanya huyo , Sheria ichukue Mkondo wake hakuna nini wala nini :A S angry:

teh teh teh asikwambie mtu dada mapenzi ya kuibia uwaga matamu balaaa kuzidi hata mapenzi ya kwenye ndoa
 
Heheheeeh...sawa sawa.this should apply both sides tna bra wanawake tunajitahidi.wanaume Wengi majukum hawayawez kabsaa ..polyandry should be legalised aisee manake michepuko Kwa wanawake imekuwa too much uku bongo

Mpu.mb.v. hujibiwa sawa na u.pu.mbv wake!
 
Hii family imekaa kwa muda mrefu katika mfarakano.
You never knowa what really happen inside the house, ukweli wao watatu ndiyo wanaujua.
 

Watu wanaleta ujinga kwenye jambo serious kama hili! Ngoja abakiwe mwanae ndo tuone kama atamuuliza hili swali!!!!! Pumbafu sana! Mxiiiiiiii! Shenzi type!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…