Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Mkuu umenena. Mwandishi au mtoa mada sina uhakika kama anachokinena kweli. Anashindwaje kuweka picha za watu wenye furaha ?

si ndo hapo sasa aweke

na ikumbukwe kesi imefunguliwa na kuna kifungu namba kazaa sasa pia huo ni uzushi??
 
mkuuu nikupe serengeti ya baridiiii au ngorongoro???

WEKA PICHA WAKIWA NA FURAHA

ETI UMETOKA KANISANI ALAFU UNADANGANYA

masai dada, leo unakufa na mtu. Mpaka kieleweke. Katumwa kubadilisha upepo huyo.
 
Last edited by a moderator:

hiyo saiko yote ni ngono inanuka hapo
 

Mkuu we ndo kiongozi wa Media Ministry nini?
 
Mleta uzi mwenyewe anaitwa
TA.K.O akili ni zile zile maana t.a.k.o na mbunye si majirani wale!!?
 
Mzee wa Hummer ameshaona kuwa heshima yake mtaani ipo mashakani imebidi aje kujisafisha.... ha ha ha.... najaribu kuufikiria mgegedo wa mzee wa hummer, sijui atakuwa na muhogo kama wangu au kibamia.... ha ha ha

Hicho ndo kitengo cha media ministry nadhani.
 
Mkuu Goodrich umetisha kaka,shigongo mwenyewe anasubiri
 
Last edited by a moderator:
Naona mdau anajaibu kumsafisha Mbasha. Kwa bahati mbaya anamsafisha kwa maji ya gereji.
Hasafishiki ng'oo!!

Hapana mkuu, hamsafishi mbasha hapo. Anamsafisha Mfufua misukule indirect then mbasha nae atakuwa safi kupitia kwa mwalimu mkuu wa misukule coz ndo alechafua hali ya hewa.
 
eheeeeeeeeeeeeeeeee,ushakuja mzee wa kupunguza herufi na kuleta maana zako nyingine
 

Wewe ni kitengo cha propaganda cha mchungaji x anaemla flora. Acha uzandiki wako wa kufukia mashimo .
 
Lete hiyo video na si porojo.....Unaanzisha thread kumbe huna vielelezo kamili...

Mkuu tedo, sidhani kama video (kama ipo) inaweza kuwa kielelezo cha kufuta yalotokea. Wamegundua wameharibu, wanatafuta njia za kujisafisha.

cc The bold
 
Last edited by a moderator:
Lete hiyo video na si porojo.....Unaanzisha thread kumbe huna vielelezo kamili...

Mkuu tedo, sidhani kama video (kama ipo) inaweza kuwa kielelezo cha kufuta yalotokea. Wamegundua wameharibu, wanatafuta njia za kujisafisha.

cc The bold
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…