tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
dunian hakuna siri leo wengine tumeyajua uchafu wako.......
wanatumia dini kuficha maovu yao shabash zao
Hapa nafikiri kuna mchezo unachezwa kumsafisha Gwajima..
Hapa nafikiri kuna mchezo unachezwa kumsafisha Gwajima..
Mkuu Mods wameondoa ule uzi.....Nadhani walihofia usalama wa The bold
The bold uko salama??
Na mimi am curious kujua kama yupo salama maana ukigusa issue za sembe huwa zinagusa hadi viongozi wa juu wa serikali
Na mimi am curious kujua kama yupo salama maana ukigusa issue za sembe huwa zinagusa hadi viongozi wa juu wa serikali
Something must be wrong, cjaamini nlipoamka na kukuta post ya The bold imefungwa mods tafadhali kuna nini knaendea, kama issue ni habari hii baci hata hii post ifungwe
Kitaani wanadai ni mtego uliowekwa na Gwajim* , mwenye lolote atujuze wambea?
Huu ni uzushi mtupu .
Mnadanganyana tu.
Ile clip ni ya uongo. sio sauti ya mbasha. watu wabaya jamani!!!
nimekumic Heaven on Earth my dear hop uko poa jaman.mko salama jamani!!!!!!!!!!!!