ama kweli hii movie itawapa kick waachen wajinga waendelee kufatilia ha ha jama kaachia had audio. ya msamaha hii ilishapangwa
Nabii anapambana kuvaa suruali wakti wa2 tumeshaona makalio yke,hii thread kuna ki2 kinaendelea kufichwa the bold wamemfunga nusu ya maovu yke tumeyajua
Mmmmmhhh!!!!!!
Sijui ukweli uko wapi, ila huyo bwana haki yake mpeni, hata kama ni Marioo!!
Si Flora alipenda?
mkuu hiyo kesi mimi simo!!kwani unafikiria nini mchana wa jua kali namna hii!hii sentensi ukitoa hiyo herufi nyekundu inachekesha sana!lol
gwajima mchepuko, lwakatare na mzee wa afata ni majangili ya madawa na mauaji. shame on them (as per The bold presentation)
Ile thread wameitoa wakti sisi tulikua tunanena kumtoa gwajima pepo l ngono kma yeye anavyowaombea waumini wake,hii imeshakua stori kwenye blogs na mtaani.ki2 iko black n white kua ni setup ili imma aonekane mwovu yeye n bibie wapone
hawa modes wamekumbuka kuziba bwawa wakati maji yalishafika bondeni na kusababisha mafuriko mtaani. It is too late
mko salama jamani!!!!!!!!!!!!
Kapuya n nguvu zke aliziba na wa2 wakajua ila hii wiki kila ki2 kitajulikana,mbasha awe jasiri kma mwanaume asimame n kutuambia kila ki2 hata kma wamehonga police,kuna taasisi nyingi z kumsaidia mbasha
naomba ufafanuzi zaid juu ya uhusiano uliopo kati ya flora na Gwanjima
Nisije nikasutwa sijasema uhusiano wa kimapenzi...
Uhusiano ni Gwajima kumhamishia Flora GEST, kumpa cheo kikubwa kanisani, kumpeleka chuoni Uingereza na kumtembelea mara kwa mara, kuzunguka naye kwenye mikutano nchi nzima. Yote hayo AMESAIDIA huku mumewe Flora amebaki nyumbani.
mambo mengine yanaaibisha si mtu tu binafsi bali hata familia. sasa nguvu yote hiyo wanayotumia kwenye public si heri hata wangekaa kifamilia na kumaliza mambo. mwisho wa siku hatachafuka mbasha tu ila hata kazi ya florah na gwajima imechafuka.
Mzee wa 'hummer na misukule' duuuh..!!! mpaka ndoa za watu unavunja??
mume wa ujana wangu Asprin kam this way, nina utamu wako wa muda tu, nimekuhifadhia!flora ni mke wangu, mke wa ujana wangu, ninampenda asilimia 100 na yeye analifahamu hilo, lakini sijui ni kitu gani kimemkuta? Sijui ni nini kimeingilia ndoa yetu?
kauli nzito sana hii.
mchungaji wa uzinzi, period! Shame on him!acha kuzungukuzunguka wewe, nani hajui? Kusoma huwezi hata picha huoni? Gwajima anamlala flora
JAMAA HATA CONDOM HAKUTUMIA???? LOOOL, HAWA WATU WANA LAANA KWA KWELI!Yule binti aliyetumwa alikuwa anataka shaahawa zimjae ili apate ushahidi vizuri kwa daktari........!
Mchezo umechzwa hapo........