G. Activist
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 482
- 125
Yule binti alitumwa...hivyo ili apate ushahidi ilimlazimu amrubuni jamaa amwingilie mfululizo ili shaahawa zimjae ndiyo apate ushahidi mzuri kwa daktari " Shahawaa utokaji wake usio wa kawaida" Duh....hatareee
Story inaendelea kma ifuatavyoMoses Kulola ni mchungaji wa kwanza wa kilokole Tanzania
Iko hivi wakuu..
1. Kisa cha mbasha kubaka" (Sitatoa kila detail ili kulinda identity
yangu)
Kabla sijaanza kueleza kisa hiki ni vizuri niwaeleze kidogo kuhusu
Intellijensia ya Gwajima jinsi ilivyo...
pale kanisani kwake wanavitengo mbali mbali amabvyo wenyewe
wanaviita ministries' na katika ministry hizo zipo mbili ambazo ni
muhimu zaidi i) Media ministry ii)
Security ministry (hii huwa wanaiita mashujaa' wa Daudi)...
Media - Ministry kazi yake ni kulitangaza kanisa mitaani na
kwenye vyombo vya habari, kueneza
propaganda' ya kanisa na mambo mengine yanayofanana na hayo.
Security Ministry - kazi yao ni kumlinda Gwajima.! Kama umewahi kufika pale kanisani utakuwa
umewahi kuwaona huwa wanavaa suti nyeusi na miwani nyeusi (kama secret service wa marekani).. wale jamaa usiwachukulie poa, majamaa wale ni wanajeshi na polisi wastaafu na wengine bado wapo kazini..
Sasa huduma hizi mbili zinaunda kitu kama USALAMA WA TAIFA"
wa kanisa la Gwajima..
Turudi kwenye topic sasa....
Ni ukweli ambao ulikuja kubainika hivi karibuni kuwa Mr. Mbasha ana
mahusiano ya kimapenzi na shemeji
yake (kwa muda mrefu kidogo) na habari hii ikamfikia mpaka florah..
kipindi hiki florah bado anakaa hoteli! Suala hili florah aliwaeleza watu wachache sana wa karibu na likabakia kuwa siri.. lakini sisi wengine tikuwa tunalifahamu muda mrefu tu!
Kuna watu wakamshauri florah amuhoji mmewake na florah akauchukua huo ushauri akaenda
kumuhoji Mr.
Unaambiwa jamaa
aling'aka balaa na akakataa kata kata kuwa hana mahusiano na
shemejiye! Basi katika majibizano mara jamaa akaropoka kuwa mbona
hata yeye anafahamu kuwa florah ana mahusiano na Gwa**** lakini hasemi chochote!
Weeeeee ilikuwa balaa maana hicho kilikuwa kijikikao fulani hivi na ndugu kadhaa walikuwepo basi kila mtu akashikwa na bumbuwazi!!!
Unaambiwa flaorah
hakusema chochote akaanza kulia akainuka akaondoka!! Na baada ya hapo hata simu za mbasha akawa hapokei...
Inasemekana taarifa zikamfikia mchungaji wao Gwajima, basi Gwajima akamuita ofisini jamaa akakataa kwenda! Sasa katika hizo purukushani za kuwasuluhisha jamaa kuna siku akatishia kuwa atavujisha ushahidi wa mahusiano ya huyo mchungaji na mkewe florah!! Nahisi hapo ndipo alipojiroga..
KESI YA KUBAKA
baada ya mrafaruku kutokea jamaa akawa dizaini kama amesitisha mahusiano na shemejiye na hapa kati alikuwa hakai nyumbni kwa florah.. lakini inavyoonekana mchungaji alitishwa sana na mkwara wa jamaa kuwa atavujisha ushahidi wa mahusiano yake na mkewe... binafsi nahisi mipango ikaanza kusukwa na binti akasetiwa kwa ajili ya operation tokomeza'!!
Juzi juzi hapa kabla ya tukio kutokea ndio huyu binti amerudi kwa florah akijua wazi kabisa dada take hayupo! Na kama ujuavyo muonja asali aonji Mara moja, jamaa kuona mzigo umerudi basi ikabidi wakumbushie enzi!
Sitaki kumaliza huondo wote lakini tujiulize maswali haya!!!
1. Hivi kubaka ndio inakuwa hivi?
Ni ijumaa mko nyumbani peke mnamaliza kula mchana mnakaa sebuleni mnapiga stori mizuka inapanda mnaamua kuibanjua amri ya sita! Kesho yake jumamosi anakuja mgeni mnakuwa wapole tu, mnavunga mnaitana shemeji! Alafu kesho kesho yake jpili mnatengeneza mazingira ili muondoke peke yenu wawili!
Mnafika mahali fulani ubungo mnapaki gari mafichoni mnaanza kuibanjua amri ya sita! Mnatoka hapo mnaenda kanisani mnatabasamu kabisa ibada ikiisha mnatengeneza tena mazingira ili muondoke peke yenu! Mnafika kisehemu chenu mnapaki tena gari mnabanjuka! Halafu eti
amebakwa???????
Swali la pili la kilujiuliza!
Kwanini huyu binti baada ya tukio kutokea akawapigia simu bodyguards wa Gwajima ambao walienda kumchukua na kurudi nae nyumbani kwa gwajima??? Alafu eti hawa bodyguards ndio wanaanza kuwapa taarifa ndugu za florah!!
Kwanini apige simu kule??
Kwanini hakuwapigia simu ndugu zake kwanza?????,anapotezwa huyu!
Nimesend kama nilivyo receive
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Jamaa hajambaka huyo Demu pengine walikuwa wapenzi kitambo,lakini huyo Binti baada ya kupewa Pesa na Gwajima na Frola akatengeneza Mchongo wa hatari pasipo kujua hatari yake, yawezekana Binti alipitia kwa Boy friend wake akafanya mapenzi bila kinga au alifanya na mbasha ikiwa ni Kama kawaida Yao au kuna Mtu alisetiwa maalum ili kutengeneza Ushahidi wa mbegu za kiume ! Hii kesi ukiichunguza kiundani kabsa inaonekana ni Kesi ya kutengeneza, ni kesi yenye nia ya kumpeleka Jela mbaya ili Gwajima atanue na kujiachia na mkewe Frola. Ugumu wa kesi utakuja pale Rushwa inapomeza Haki , kumbuka Mbasha ni Masikini na Gwajima ni Tajiri je? Kuna Haki hapo ? Tafakari !
Kama Gwajima angekuwa na nguvu na hiyo jeuri yote asinge mtumia mtu agegedwe, angetumia influence yake kumuweka ndani, pia hizo nguvu zinazosemwa kama kweli anazo basi huyo Mbasha angekuwa alishawekwa kizuizini mpaka sasa! Unafikiri hiyo TISS yake inayosemwa kama kweli ipo itashindwa kumpata?
Hapa ni kwamba hii issue inaonekana ina chanzo cha rohoni ili kumdhoofisha Gwajima! Tuwaulize Global Publishers kuna matoleo yao kibao wametoa kipindi cha nyuma wakimchafua huyu baba na huduma yake, lakini inaonesha Mungu anazidi kumtetea na kumtia Nguvu ya kusonga mbele, maana jamaa hatetereki, ndio kwanza kanisa linazidi kukua!
Hii inanifanya nizidi kumkubali sana huyu Bwana, ikivumaga skendo mi lazima jumapili yake nifike hapo kanisani,lakini jamaa huwa halumbani wala hatoi ufafanuzi zaidi ya kumtwanga shetani vilivyo!
Jumapili ijayo nawahi mapema na mwamvuli wangu! Chezea mzee wa Hummer wewe
Huyo Binti hakubakwa Bali kapewa Mkwanja ili atumike tu Kama daraja la kumpeleka Gerezani Mbasha kisha Gwajuma apate nafasi ya kula Tunda na Frola pasipo na Bugudha, kumbuka Mbasha alikuwa kikwazo kwa Gwajima baada ya kumpeleka Frola London Kisha alipoludi wakazunguka nae mikoani pasipo na ridhaa ya mbasha, unaelekea Gwajima amekolea sana kwa Frola kiasi kwamba ameshindwa kujizuia matokeo yake kaja na Vioja Kama hv !
Story inaendelea kma ifuatavyoMoses Kulola ni mchungaji wa kwanza wa kilokole Tanzania
Iko hivi wakuu..
1. Kisa cha mbasha kubaka" (Sitatoa kila detail ili kulinda identity
yangu)
Kabla sijaanza kueleza kisa hiki ni vizuri niwaeleze kidogo kuhusu
Intellijensia ya Gwajima jinsi ilivyo...
pale kanisani kwake wanavitengo mbali mbali amabvyo wenyewe
wanaviita ministries' na katika ministry hizo zipo mbili ambazo ni
muhimu zaidi i) Media ministry ii)
Security ministry (hii huwa wanaiita mashujaa' wa Daudi)...
Media - Ministry kazi yake ni kulitangaza kanisa mitaani na
kwenye vyombo vya habari, kueneza
propaganda' ya kanisa na mambo mengine yanayofanana na hayo.
Security Ministry - kazi yao ni kumlinda Gwajima.! Kama umewahi kufika pale kanisani utakuwa
umewahi kuwaona huwa wanavaa suti nyeusi na miwani nyeusi (kama secret service wa marekani).. wale jamaa usiwachukulie poa, majamaa wale ni wanajeshi na polisi wastaafu na wengine bado wapo kazini..
Sasa huduma hizi mbili zinaunda kitu kama USALAMA WA TAIFA"
wa kanisa la Gwajima..
Turudi kwenye topic sasa....
Ni ukweli ambao ulikuja kubainika hivi karibuni kuwa Mr. Mbasha ana
mahusiano ya kimapenzi na shemeji
yake (kwa muda mrefu kidogo) na habari hii ikamfikia mpaka florah..
kipindi hiki florah bado anakaa hoteli! Suala hili florah aliwaeleza watu wachache sana wa karibu na likabakia kuwa siri.. lakini sisi wengine tikuwa tunalifahamu muda mrefu tu!
Kuna watu wakamshauri florah amuhoji mmewake na florah akauchukua huo ushauri akaenda
kumuhoji Mr.
Unaambiwa jamaa
aling'aka balaa na akakataa kata kata kuwa hana mahusiano na
shemejiye! Basi katika majibizano mara jamaa akaropoka kuwa mbona
hata yeye anafahamu kuwa florah ana mahusiano na Gwa**** lakini hasemi chochote!
Weeeeee ilikuwa balaa maana hicho kilikuwa kijikikao fulani hivi na ndugu kadhaa walikuwepo basi kila mtu akashikwa na bumbuwazi!!!
Unaambiwa flaorah
hakusema chochote akaanza kulia akainuka akaondoka!! Na baada ya hapo hata simu za mbasha akawa hapokei...
Inasemekana taarifa zikamfikia mchungaji wao Gwajima, basi Gwajima akamuita ofisini jamaa akakataa kwenda! Sasa katika hizo purukushani za kuwasuluhisha jamaa kuna siku akatishia kuwa atavujisha ushahidi wa mahusiano ya huyo mchungaji na mkewe florah!! Nahisi hapo ndipo alipojiroga..
KESI YA KUBAKA
baada ya mrafaruku kutokea jamaa akawa dizaini kama amesitisha mahusiano na shemejiye na hapa kati alikuwa hakai nyumbni kwa florah.. lakini inavyoonekana mchungaji alitishwa sana na mkwara wa jamaa kuwa atavujisha ushahidi wa mahusiano yake na mkewe... binafsi nahisi mipango ikaanza kusukwa na binti akasetiwa kwa ajili ya operation tokomeza'!!
Juzi juzi hapa kabla ya tukio kutokea ndio huyu binti amerudi kwa florah akijua wazi kabisa dada take hayupo! Na kama ujuavyo muonja asali aonji Mara moja, jamaa kuona mzigo umerudi basi ikabidi wakumbushie enzi!
Sitaki kumaliza huondo wote lakini tujiulize maswali haya!!!
1. Hivi kubaka ndio inakuwa hivi?
Ni ijumaa mko nyumbani peke mnamaliza kula mchana mnakaa sebuleni mnapiga stori mizuka inapanda mnaamua kuibanjua amri ya sita! Kesho yake jumamosi anakuja mgeni mnakuwa wapole tu, mnavunga mnaitana shemeji! Alafu kesho kesho yake jpili mnatengeneza mazingira ili muondoke peke yenu wawili!
Mnafika mahali fulani ubungo mnapaki gari mafichoni mnaanza kuibanjua amri ya sita! Mnatoka hapo mnaenda kanisani mnatabasamu kabisa ibada ikiisha mnatengeneza tena mazingira ili muondoke peke yenu! Mnafika kisehemu chenu mnapaki tena gari mnabanjuka! Halafu eti
amebakwa???????
Swali la pili la kilujiuliza!
Kwanini huyu binti baada ya tukio kutokea akawapigia simu bodyguards wa Gwajima ambao walienda kumchukua na kurudi nae nyumbani kwa gwajima??? Alafu eti hawa bodyguards ndio wanaanza kuwapa taarifa ndugu za florah!!
Kwanini apige simu kule??
Kwanini hakuwapigia simu ndugu zake kwanza?????,anapotezwa huyu!
Nimesend kama nilivyo receive
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Haha nyie mnaangalia na kuhukumu kwa ukomo wa akili zenu hamjui wanaishije wala walikutanaje hadi kufikia hapo kwahiyo mambo ya ndoa yao wanayajua wao wenyewe acheni kukurupuka kwa kujifanya mnaifahamu sana ndoa yao, oeni na nyie ndio mtaijua ndoa ilivyo pale mtakapohukumiwa 😡
binafsi ss naanza kuaminim kwamba sote tu watenda dhambi na tumepungukiwa na utukufu wa Mungu
Ile thread wameitoa wakti sisi tulikua tunanena kumtoa gwajima pepo l ngono kma yeye anavyowaombea waumini wake,hii imeshakua stori kwenye blogs na mtaani.ki2 iko black n white kua ni setup ili imma aonekane mwovu yeye n bibie wapone
Mkuu kilio cha mumewe Flora bado hakijapata jibu, na ndo maana hata matamshi yake bado hayana hitimisho!Mungu ndio kajibu sasa, baada ya kilio cha muda mrefu, au majibu kwako ni yepi?
Nimeshahudhuria ibada kadhaa za Gwajima, na ninamahubiri yake ya kutosha ni mtu anayetumiwa na Mungu mightly, sikulazimishi ukubaliane nami! Sasa kama Mungu anamtumia kwa namna ya tofauti hivyo Je anapokuwa anagegeda hao ambao tumewasikia kama Frola, mke wa yule bwana iliesemekana kamtia makofi salon, mtoto iliesemekana kabwagiwa na king'ast chake na story nyingine nyingi! Hivi katika yote hayo bado atakuwa na Ulinzi wa Mungu? Na kama sivyo shetani kwanini asimuumbue basi kwa kufumaniwa zipigwe na picha au hata video! Mi naona hizi zote ni story zinapita tu!
Mtikila alipata kusema baada ta kuside na CCM kule Tarime ili aichafue Chadema, ulinzi wa Mungu ulitoka juu yake hivo akawa mtupu ndio maana akapigwa mawe, sasa kwa dhambi kubwa anayoambiwa amefanya Gwajima mbona hatuoni vithibitisho kwamba ni kweli mpaka mafutwa huyu anatabia hyo!
Tuache mambo hayo unless una evidence kuhusiana na tuhuma wanazozushiwa watumishi wa Mungu ndio uongee
Mkuu usimtetee Gwajima unless wewe ni Gwajima mwenyewe.Nimeshahudhuria ibada kadhaa za Gwajima, na ninamahubiri yake ya kutosha ni mtu anayetumiwa na Mungu mightly, sikulazimishi ukubaliane nami! Sasa kama Mungu anamtumia kwa namna ya tofauti hivyo Je anapokuwa anagegeda hao ambao tumewasikia kama Frola, mke wa yule bwana iliesemekana kamtia makofi salon, mtoto iliesemekana kabwagiwa na king'ast chake na story nyingine nyingi! Hivi katika yote hayo bado atakuwa na Ulinzi wa Mungu? Na kama sivyo shetani kwanini asimuumbue basi kwa kufumaniwa zipigwe na picha au hata video! Mi naona hizi zote ni story zinapita tu!
Mtikila alipata kusema baada ta kuside na CCM kule Tarime ili aichafue Chadema, ulinzi wa Mungu ulitoka juu yake hivo akawa mtupu ndio maana akapigwa mawe, sasa kwa dhambi kubwa anayoambiwa amefanya Gwajima mbona hatuoni vithibitisho kwamba ni kweli mpaka mafutwa huyu anatabia hyo!
Tuache mambo hayo unless una evidence kuhusiana na tuhuma wanazozushiwa watumishi wa Mungu ndio uongee