akili akili
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 1,737
- 1,102
Hee, kumbe....ngoja niendelee kusoma.Inatia huruma Sana, jamaa anaporwa mke hivihivi na amekubali yaishe na sasa wanataka kumpoteza mvua 30 Segerea. Huyu Gwajima laana ya Mungu lazima imuangukie tu kwa kuiharibu hii ndoa baada ya kumuhamishia Flora gesti...
Hizo Ndio ndoa....na hio ni robo tu, ndoa zinahitaji uvumilivu mkubwa sana sana Yaani mkikatiza miaka mitano ni kumshukuru MUNGU
Nisije nikasutwa sijasema uhusiano wa kimapenzi...
Uhusiano ni Gwajima kumhamishia Flora GEST, kumpa cheo kikubwa kanisani, kumpeleka chuoni Uingereza na kumtembelea mara kwa mara, kuzunguka naye kwenye mikutano nchi nzima. Yote hayo AMESAIDIA huku mumewe Flora amebaki nyumbani.
Watu na uzoefu wao...Loljana nilishatoa clarification kwamba kugegedana katika gari ni ngumu lazima muamie siti ya nuima
ina maana esta aliamia siti ya nyuma kubakwa????
au aliingia siti ya nyuma akakinga bakuli???
Sent from my iPhone using JamiiForums app
We we ma.ta.ko.Pengo hauhisiani na makanisa ya pentekoste!
Achana nae huyo wanatapata misukule kumsafisha mganga wao.Mungu hamfichi mnafiki.
Acheni kuandika na kuropoka maneno yasiyo na vivid ilimradi tu muonekane na nyie mmechangia...Hebu fikirini Kabla ya kuropoka watuwazima!...Kama huna cha kuongea ni bora ukafunga domo!!.....then hizo kashfa mnazozitoa na kutaja majina ya watu moja kwa moja....mtazitolea hesabu!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hivi kwanini Flora ulienda kuishi guest/ lodge??? Alikosa kabisa mahali pengine ambapo ni salama??
Very good details nime like ulivyoanalyse, jf wote tungekuwa hivi tungekuwa na uhalali wa kujiita great thinkersNaomba nifunguke kidogo nielezee
kile ninachokifahamu kuhusu ili
sakata!!
Mgogoro katika ndoa ya Mbasha na
Florah ulianza kushika kasi mwaka
jana mara baada ya Florah na
Mumewe kuhamia kuanza kusali
kanisani kwa GWAJIMA (ufufuo na
Uzima - kawe) wakitokea kanisa la
MITO YA BARAKA (kariakoo)!
Inasemekana kuwa mara baada ya
kuhamia kanisani hapo kwa mualiko
wa Gwajima (aliwaombe waje kusali
kwake), mchungaji Gwajima
alimfanya florah kama kiongozi wa
Ibada ya SIFA na KUABUDU katika
mikutani yake!! Kama ni mfuatiliaji
wa haya mambo utakumbuka kuwa
mwaka jana Florah alizunguka
Tanzania nzima akiwa na Gwajima
wakifanya mikutano ya Injili!!
Baada ya Muda kidogo Mchungaji
Gwajima alimpeleka Florah London
kwaajili ya masomo kitendo ambacho
inasemekana kilipingwa sana na
mumewe Mbasha! Ikumbukwe kuwa
GWAJIMA haiwezi kupita miezi
miwili pasipo kwenda UK coz
amefungua kanisa kule (GLORY OF
CHRIST - UK)!! So katika kipindi
ambacho florah alikuwa London
walikuwa wanaonana mara nyingi
sana na GWAJIMA...
Baada ya Florah kurudi Tanzania
ndipo akaanza hii ziara ya
kuzunguka mikoani na GWAJIMA..
inasemekana kuwa katika kipindi
hiki ndipo mahusiano ya kindoa kati
ya forah na mumewe yalizorota
zaidi... baada ya ziara kuisha Florah
arirudi nyumbani lakini she wasn't
the same (nisiseme zaidi)! Baada ya
mikwaruzano ya hapa na pale ndipo
Florah akaenda kukaa hotelini na
inasemekana hoteli ilikuwa inalipiwa
na mchungaji GWAJIMA, ikumbukwe
kuwa ni swala la kawaida kwa
Gwajima kuwalipia bills mbalimbali
viongozi wake wa huduma hapo
kanisani kwa mfano anamchngaji
anaitwa MAXMILLIAN MACHUM
amempangishia nyumba ya ghorofa
pale ubungo na wachungaji wake
wote wapatao thelethini
amewanunulia magari!! Lakini hata
hivyo hii hatua yake ya kumpangia
hoteli mke wa mtu ilizua maswali
mengi sana...
naomba nifunguke kidogo nielezee
kile ninachokifahamu kuhusu ili
sakata!!
Mgogoro katika ndoa ya mbasha na
florah ulianza kushika kasi mwaka
jana mara baada ya florah na
mumewe kuhamia kuanza kusali
kanisani kwa gwajima (ufufuo na
uzima - kawe) wakitokea kanisa la
mito ya baraka (kariakoo)!
Inasemekana kuwa mara baada ya
kuhamia kanisani hapo kwa mualiko
wa gwajima (aliwaombe waje kusali
kwake), mchungaji gwajima
alimfanya florah kama kiongozi wa
ibada ya sifa na kuabudu katika
mikutani yake!! Kama ni mfuatiliaji
wa haya mambo utakumbuka kuwa
mwaka jana florah alizunguka
tanzania nzima akiwa na gwajima
wakifanya mikutano ya injili!!
Baada ya muda kidogo mchungaji
gwajima alimpeleka florah london
kwaajili ya masomo kitendo ambacho
inasemekana kilipingwa sana na
mumewe mbasha! Ikumbukwe kuwa
gwajima haiwezi kupita miezi
miwili pasipo kwenda uk coz
amefungua kanisa kule (glory of
christ - uk)!! So katika kipindi
ambacho florah alikuwa london
walikuwa wanaonana mara nyingi
sana na gwajima...
Baada ya florah kurudi tanzania
ndipo akaanza hii ziara ya
kuzunguka mikoani na gwajima..
Inasemekana kuwa katika kipindi
hiki ndipo mahusiano ya kindoa kati
ya forah na mumewe yalizorota
zaidi... Baada ya ziara kuisha florah
arirudi nyumbani lakini she wasn't
the same (nisiseme zaidi)! Baada ya
mikwaruzano ya hapa na pale ndipo
florah akaenda kukaa hotelini na
inasemekana hoteli ilikuwa inalipiwa
na mchungaji gwajima, ikumbukwe
kuwa ni swala la kawaida kwa
gwajima kuwalipia bills mbalimbali
viongozi wake wa huduma hapo
kanisani kwa mfano anamchngaji
anaitwa maxmillian machum
amempangishia nyumba ya ghorofa
pale ubungo na wachungaji wake
wote wapatao thelethini
amewanunulia magari!! Lakini hata
hivyo hii hatua yake ya kumpangia
hoteli mke wa mtu ilizua maswali
mengi sana...
Mkuu hii post umeicopy kule kwa Mc Tilly Chizenga,
The bold umemuona
Nilitaka kushangaa sasa naelewa kitu ogopa kusali haya makanisa ya manabii ni hatari sana,mzee kulola babu wa flora mbasha alionya sana juu ya manabii,hamkusikia mmengoja afe mtoroke kanisa hakika hamtapona na ninahis kuna picha ya kinyumekinyume inachezwa,yani mtu anasingiziwa na kuandikwa sana aonekane ni yeye mkosaji kumbe aliyekosa katulia asitajwe,utamficha mwanadamu sio mungu anayerekodi ni mawazo yangu tu.
Hata Kulola, ni walewale hakuwa na ukweli. kisa chake cha kufa sikutatu na kupelekwa kuzimu, kilinifanya nilihame kanisa lake mwaka 1987, tulikuwa tukisalia shule ya msingi Isenga Pasiansi Mwanza.