huyo aliyetoa hii post akinijibu haya maswali nitamwelewa, huwa sipendi kurun into conclusion... napenda kuhakikisha.
-Frola na mumewe walihamia mwezi gani ufufuo na uzima?
-Mikutano ilianza lini?
-je huo muda kati ya mwezi aliohamia Frola na mmewe hadi kipindi mikutano inaanza ni kipindi cha muda gani? mana hapo kati ndo umesema Frola alipelekwa na Gwajima UK kusoma na Gwajima ambaye hawezi kupita miezi miwili bila kwenda UK, akawa anaenda huko MARA KWA MARA na kuonana na Frola..sasa kwani ni miezi mingapi hapo kati? kwamba ni mingi hadi Gwajima akawa anaenda mara kwa mara (interval uliyoweka 2 months)! even if unamaanisha kile kipindi baada ya mikutano iliyoisha 30/31st December, 2013... je Frola mwanzoni mwa mwaka huu alivyoenda UK alikaa muda gani.. mwezi uliisha??
-Alienda bila mumewe? kama ni kipindi hicho Gwajima alisafiri?
-hiyo course ilikuwa ya muda gani? ... bila shaka very very short course.. ilikuwa ya nini aisee? ...
-hivi shortcourse fupi zaidi ambayo ni rasmi kabisa kiasi kwamba unaweza kuisafiria ni ya muda gani?
-je mikutano ilifanyika nchi nzima???????
-na katika hiyo mikutano... Frola hakuwa na mmewe??? alikuwa mwenyewe???
naomba majibu
MTOA POST UNACHOPASWA NI KUJIBU MASWALI YA MUULUIZAJI ALIE TANGULIA NA UKIELEZEA KINAGA UBAGA ULI UNACHO KIANDIKA KWA MSOMAJI AFAHAMU KWA KINA HASA KULIKO KUELEZEA KUWA KWENYE NYUMBA KUNA MADUILISHA MILANGO NA MAPAZIA AMBAPO SI AJABU KUONA NYUMBA AMBAYO HAINA MADIRISHA.ELEZEA KILA TUKIO LILITOEA LINI WAKATI GANI TAREHEH GANI KWA MTU ANAYE FATILIA AJUE UNACHO KISEMA NI KWELI AU UMEPIKA TU,NA KAMAM UNA VIAMBATANISHO UVIWEKE MFANO UNAPIOSEMA ALISAFIRI KWENDA UK(UINGEREZA)KUNA NYARAKA ZA KUSAFIRIA WALAU TICKE YENYE TAREHE NA BODDING PASS (VISA PIA HATA WATU W UBALOZI WATATHIBITISHA WALITOA VISA YA MDA GANI),KUNA VIELELEZO VINGINE VINGI ILI UNACHOKIFANYA KIWE RELEVANT KULIKO KUKAA NDANI NA KUPIKA TU,UPISHI WAKO ILI UWE MZURI TOA MAELEZO YA KUTOHSA ISIJE UKAWA MUHANGA WA HOMA YA DENGUE NA UNAJARIBU KUTUMIA MGOGORO WA MR AND MRS MBASHA KUHARIBU IMAGE YA WATU WA MUNGU.