Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

BREAKING NEWS:"WANAFUNZI CHUO KIKUU CHA SOKOINE-MOROGORO WAGOMA TENA"
 
 
Mtoto wa Miaka ''17'' Abakwe si uongo huu !

Hao wamepeana tu
 
Huyo mdogo wake muongo.mi mwenyewe nimepiga sana leo anasema kabakwa?kapenda huyo
 
Munkar punguza wivu, hapaswi kuzidisha wivu ktk mapenzi
 

kama jina lipo na mnalo kwa nini mulihifadhi? Vinginevyo mnachochea uhalifu kwa kuogopa kutaja majina. ssipendi hii tabia na huwa siendeleikusoma taarifa kama hizi za kuhifadhiana.
 
kula mama mkwe,kula hauzgel,kula shemeji,jirani,rafiki wa mke wake,sister,vijanafunzi vya primary,sekretari wake khaaa!! Ntajaza seva!!

sasa unafikiri wiki nzima mkeo yupo anapiga tu shoo mikoani wewe upo hamu inakaba na kuna mtoto mbichi yupo tu anamaliza makochi na msosi wako kwann usikatafune
 
Hivi kwa nini watu wanapenda sana kumdhihaki mungu...kila siku majukwaani kuimba nyimbo za wokovu kumbe mioyoni mwao wamejaa uovu na tamaa:A S cry:
 
Vyovyote vile......sawa pengine dogo muongo alitaka mwenyewe......lakini upo uwezekano mkubwa wa tendo kufanyika.......kama tendo limefanyika kuna implication mbili kubwa za kibinadamu.......moja yule ni mdogo wa mke wake.......sisi wanaume tuna tamaa lakini ukifika hapo huna tofauti na mbwa.........pili ni under 18 ..........itazua kesi kubwa zaidi........si vizuri kuhukumu kabla ukweli halisi kufahamika lakini ni somo kwetu akina baba........tamaa zipo lakini lazima ubaki na behaviour za kibinadamu ili uwe tofauti na mbwa anayeweza kumpanda hata mtoto wake..........Pole sana Bi Mbasha....
 
kama jina lipo na mnalo kwa nini mulihifadhi? Vinginevyo mnachochea uhalifu kwa kuogopa kutaja majina. ssipendi hii tabia na huwa siendeleikusoma taarifa kama hizi za kuhifadhiana.


Hawa ni washenzi sana, ndo walewale wa kuku kanya bata kaharisha, wanabagua nani wa kumtaja (wasio na uwezo kifedha wanatajwa, nadhani kutokana na kuwa hawana fedha za kulishtaki gazeti wala kutoa rushwa) na nani wakumhifadhi (wenye uwezo kifedha wanahifadhiwa kwakuwa wanaweza kulifikisha gazeti mbele ya vyombo vya sheria na au wanatoa rushwa ili wasitajwe) hili gazeti limeanza kuchuja siku hizi
 
Naanza kukosa imani na waendeshaji wa hii tovuti. Hili ni jukwaa la siasa, sasa hii habari inahusika hapa kweli na kwanini iachwe badala yakupelekwa sehemu husika.
 
Huu ndio ubaya wa umaarufu. Flora angekua mtu baki mambo yasingefika huku. Vicky angekua kajamba nani asingepata presha na kulazwa. Umaarufu siutaki najilia vyangu tartiiib
 
kula mama mkwe,kula hauzgel,kula shemeji,jirani,rafiki wa mke wake,sister,vijanafunzi vya primary,sekretari wake khaaa!! Ntajaza seva!!

Ya huyu huyu haya au umeyaandika tu??
 
Duh wanaume wabaya khaaa!!!!

Dada, ubaya hauna dini, ubaya hauna kabila, tena ubaya hauna jinsia; hukumbuki sakata la 'mtoto wa boksi' linaloendelea sasa? Aliyefanya hilo ni jinsia gani?
 
Hivi kwa nini watu wanapenda sana kumdhihaki mungu...kila siku majukwaani kuimba nyimbo za wokovu kumbe mioyoni mwao wamejaa uovu na tamaa:A S cry:
Siku zote nimekuwa siwaamini wanaojidai kuokoka au kujitakasa mbele ya jamii kwamba wao wanamjua Mungu kuliko mwingine, unafki mtupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…