siku zote wanavyosema wanawake tuna roho mbaya huwa natetea sana lakini kwa hili la flora mbasha limeniuma hiv kweli ???????najiuliza huyu frola siku anaolewa alipewa kitchen party?sendofff??jamani kule huwa wasisitiza kuwa na kufichiana siri,uvumilivu,kwa mume wako na hata ukishidwa kuna wasimamizi,wachungaji,wazazi nenda peleka tatizo utasaidiwa na hata hivyo unatakiwa uwe na kifua ,akili ya kupambana na tatizo!!!!!NDIO MAANA WANAUME SASA HIVI KUOA IMEKUWA NGUMU SANA TUTAISHIA TU KUZEWA,HAWANA HAKIKANA MWANAMKE,ww Frola umetupozea soko la kuolewa wenzio,
sina mengi ila EMMEUELI MBASHA KAMA KOSA HUKUTENDA MUNGU ATASIMAMA NA KUTETEA HAKI YAKO,ENDELEA KUMWAMIN MUNGU,MIMI BINAFSI NAKUOMBEA MAOMBI YANGU NDIO SILAHA KUU MUNGU ASIMAME NA WW
Story ya hawa watu inaniumiza sana na inaniumiza zaidi pale ninapoona viongozi wa dini hasa wale wanaowatumia kwenye ibada zao wakishindwa kabisa kusuhulisha. Kweli ninaumia sana sana.....MUNGU awasaidie warudiane na wajenge familia Yao.
Alikujaga rock city kwenye tamasha moja hivi
mweh nilimtolea macho hadi yakawa mekundu
mwache atuchukie tu wala hatutoki vidonda.kwanza hii habar inayovumishwa hakuna mwenye uhakika kama ni kweli. ukweli wanaujua wao wawili sisi tutajudge na kutenda dhambi bure tu.Ukiwachukia inakusaidia nini?
Endelea kuwachukia sana utaongezeka urefu
Ngoja nimuambie paw tuhamie hotelini, huku kwa mtogole vibaka kila siku. Mara waibe ndala, mara madumu ya maji! Woooi!
mwache atuchukie tu wala hatutoki vidonda.kwanza hii habar inayovumishwa hakuna mwenye uhakika kama ni kweli. ukweli wanaujua wao wawili sisi tutajudge na kutenda dhambi bure tu.
Habari za asubuhi mama DEMBA?Kuna mambo mengi yamefichika lakini ukiunganisha dots,lawama zinamwendea #Frola !
Mama ukigombana na bamkubwa Kaizer,unakimbilia kuishi hotelini?Ina maana wazazi wa pande zote hawapo?Wasimamizi wenu wa ndoa hawapo?Hapo kuna maswali!!
Kwa nini sakata lilipoibuka,kitu cha kwanza ilikuwa ni waandishi wa habari,ndio watu waongozane polisi na waandishi wa habari?Hapa inaonekana kuna kitu kilikuwa kinatafutwa!Wewe umebakwa,unakumbuka kutafuta namba ya simu ya Mwananchi media uwapigie?!!
Maelezo ya kwanza polisi ni kwamba alimbaka shemeji yake mara tatu,,baadaye mashtaka yamegeuka na kuwa alimbaka pia na mfanyakazi wao wa ndani?Hivi hapa hatuwezi kuona kama kuna kitu cha ziada kinatafutwa?Mtu afanywe Babu Seya na maisha yaende??
Binafsi ninamwamini Mungu,kama kweli #Frola yuko nyuma ya mpango huu ili apate nafasi ya kwenda zake Uk na kuendelea kula raha na mwenye hela zake(mchungaji),,atapata thawabu yake!
Na huyo mchungaji kama ni kweli,anajifanya mfalme Daudi,unampanga jamaa mstari wa mbele wa vita ili apoteze maisha upate nafasi ya kutanua na mkewe,utapata thawabu yako!
Habari za asubuhi mama DEMBA?Kuna mambo mengi yamefichika lakini ukiunganisha dots,lawama zinamwendea #Frola !
Mama ukigombana na bamkubwa Kaizer,unakimbilia kuishi hotelini?Ina maana wazazi wa pande zote hawapo?Wasimamizi wenu wa ndoa hawapo?Hapo kuna maswali!!
Kwa nini sakata lilipoibuka,kitu cha kwanza ilikuwa ni waandishi wa habari,ndio watu waongozane polisi na waandishi wa habari?Hapa inaonekana kuna kitu kilikuwa kinatafutwa!Wewe umebakwa,unakumbuka kutafuta namba ya simu ya Mwananchi media uwapigie?!!
Maelezo ya kwanza polisi ni kwamba alimbaka shemeji yake mara tatu,,baadaye mashtaka yamegeuka na kuwa alimbaka pia na mfanyakazi wao wa ndani?Hivi hapa hatuwezi kuona kama kuna kitu cha ziada kinatafutwa?Mtu afanywe Babu Seya na maisha yaende??
Binafsi ninamwamini Mungu,kama kweli #Frola yuko nyuma ya mpango huu ili apate nafasi ya kwenda zake Uk na kuendelea kula raha na mwenye hela zake(mchungaji),,atapata thawabu yake!
Na huyo mchungaji kama ni kweli,anajifanya mfalme Daudi,unampanga jamaa mstari wa mbele wa vita ili apoteze maisha upate nafasi ya kutanua na mkewe,utapata thawabu yako!
Na hakika anajuankilichompata Daudi baada ya kumtoa kafara yule askari wake?
Haya makanisa mengine sheeda tupu hakuna utaratibu au huo ndio utaratibu....
huku kibada wameiba choo na sijahama.
Alikujaga rock city kwenye tamasha moja hivi
mweh nilimtolea macho hadi yakawa mekundu
mwanangu unabusara sana. kama ni kweli bas mungu amsimamie imaHabari za asubuhi mama DEMBA?Kuna mambo mengi yamefichika lakini ukiunganisha dots,lawama zinamwendea #Frola !
Mama ukigombana na bamkubwa Kaizer,unakimbilia kuishi hotelini?Ina maana wazazi wa pande zote hawapo?Wasimamizi wenu wa ndoa hawapo?Hapo kuna maswali!!
Kwa nini sakata lilipoibuka,kitu cha kwanza ilikuwa ni waandishi wa habari,ndio watu waongozane polisi na waandishi wa habari?Hapa inaonekana kuna kitu kilikuwa kinatafutwa!Wewe umebakwa,unakumbuka kutafuta namba ya simu ya Mwananchi media uwapigie?!!
Maelezo ya kwanza polisi ni kwamba alimbaka shemeji yake mara tatu,,baadaye mashtaka yamegeuka na kuwa alimbaka pia na mfanyakazi wao wa ndani?Hivi hapa hatuwezi kuona kama kuna kitu cha ziada kinatafutwa?Mtu afanywe Babu Seya na maisha yaende??
Binafsi ninamwamini Mungu,kama kweli #Frola yuko nyuma ya mpango huu ili apate nafasi ya kwenda zake Uk na kuendelea kula raha na mwenye hela zake(mchungaji),,atapata thawabu yake!
Na huyo mchungaji kama ni kweli,anajifanya mfalme Daudi,unampanga jamaa mstari wa mbele wa vita ili apoteze maisha upate nafasi ya kutanua na mkewe,utapata thawabu yako!