Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Unavyompamba utadhani hajazini nje ya ndoa na hajabaka!

Tumia akili. Ya kuambiwa changanya na yako.Hivi mtu anaweza akubake ijumaa na jumapili ukubali kutoka naye halafu akubake tena! Hiyo kama ni kubaka basi mchango wako kwenye ubakaji ni mkubwa kuliko mbakaji mwenyewe.
 

you are also wrong!!

unaweza kubaka hata mwenye miaka 50 mkuu, kama hajatoa nanilii kwa ridhaa yake, at times unaweza kubaka hata mkeo!! na ikawa kesi

swala ni kuwa hii ni make up story, hilo tu
 
Naonga mkono hoja- its time to move on. Duniani kuna dhiki nyingi sana, alisema Bwana Yesu!
 
Ni post pekee ninayokubaliana nayo juu ya sakata hili ,zinginezo ni ngonjera tu!
 
Unavyompamba utadhani hajazini nje ya ndoa na hajabaka!

Una uhakika kabaka au unajisemeza tu hapa...!!!! Unajua FLORA Mbasha alipokuwa chuoni Uingereza miaka miwili HUYO binti alikuwa anazini na MBASHA!!! Aliporudi Frola akamaindi akaita kikao cha familia kulalamika... akijua siri zake hazijulikani Tanzania....alichojibiwa alinyanyuka na kuondoka .."MBONA WEWE UNATEMBEA NA MCHUNGAJI MIAKA YOTE HII SIJALALAMIKA POPOTE".... mchungaji akawaita kusululisha akichojibiwa mchungaji ....mara kesi hiyooooo......
 
Yaani hii Stori Majibu A na B yote sawa tu maana hata hujui nani Mkweli wote Mr and Mrs wamavimacho vya Kisanii sana
 
you are also wrong!!

unaweza kubaka hata mwenye miaka 50 mkuu, kama hajatoa nanilii kwa ridhaa yake, at times unaweza kubaka hata mkeo!! na ikawa kesi

swala ni kuwa hii ni make up story, hilo tu
My question is: Kwanini tunadhani Emmanuel Mbasha hawezi kubaka!? Kwa sababu, ikiwa wote sisi sio Mbasha na wala sio huyo msichana inayesemekana amebaka, basi pale tunaposema kwa kujiamini kabisa kwamba hajabaka is the same as saying the guy hawezi kubaka!!! Sasa hapa ndipo ninapojikita mimi... Why do we think kwamba hawezi kubaka? Hivi tu zile kauli kwamba Flora anatembea na Gwajima na maelezo tosha kuona kwamba amekuwa framed?
 
Maudhui ninayoyapata hapa hasa kutoka kwa wamama (dada) ni kuwa Flora alitakiwa kuyamaliza haya mambo kimyakimya kifamilia huko nyumbani kwake suala ambalo linaeleweka ikiwa matatizo ni ya kutofautiana kwa kawaida. Vipi ikiwa kweli jamaa alibaka huyo binti a.k.a limama lizima (hapa sisemi kuwa ni mbakaji mpaka itakapothibitishwa na mahakama) je msimamo wa kuyamaliza kimyakimya kifamilia unabaki palepale?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…