Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Majaribu hasa yaani kuomba tu.
majaribu hayana budi kuja, na kila jaribu lina njia ya kutokea...
Ila daaa, ngumu kumeza kweli.

Wako wapi kinamama waombolezaji waombee familia na ndoa za sasa. Mitihani mingine mmmmmmmmm
 
mbona hakusema kaliwa twice mtoto wa miaka 17 sio mtoto hata u miss angeshiriki
 
Wewe na wewe usijiite mujuaji, Niwemugizi anauliza kwa nini umeamua kumtaja Flora Mbasha na si Christina Shuso maana wote ni waimbaji wa nyimbo za injili na wote wameolewa na zaidi wote wanakaa Tabata.Nasema hivo kwa sababu hakuna sehemu wandishi ameadentify kuwa mume na mke wote ni waimbaji maarufu.Kama angesema hivyo basi moja kwa moja ningeungana na wewe bila kukupinga.So fafanua kwa nini umemsema Flora Mbasha na si Christina Shusho?
 
ha ha ha...ni yule aliepiga picha za utupu? Sio kamchezo kake kweli....Mambo yatajulikana badae ngoja movie iendelee
Jamii forum Namba nyingine kabisa, we acha tu!

Lakini hivi vibinti vina tabia ya kutega watu. Labda ktk hili kila mmoja alikuwa na malengo yake, mmoja malengo yametimia mwingine kawa - "disappointed" na hivyo kuipeleka "issue" kwa wanaa.
 
Nilisoma Mahali kuwa Mwanaume Nduguye Makalio :sorry: , Taratibu nimeanza kuthibitisha hili , sitaki kuhukumu but kama kweli Mbaya sana mhh!
 
Mwimbaji aliona ujinga kila siku anaendesha DCM imechakaa gea haziingii halafu linazimazima wakati kuna HIACE haijaguswa. akaona ngoja leo nitoke na hiace ki wizi wizi. Mara kanogewa na hiace. Full AC. automatic gear. break inakamata. spring na bush zote ziko intact. matairi mapya. akaona isiwe tabu. Kumbe hiace haipendi dereva aliyezoea MI KWECHE DCM ZA MBAGALA.
 
!


Ubaya wa wanaume ni upi??

Likisimama tu hawachagui pa kukojolea ndio Ubaya wao !
 
jamani alipitiwa na shetani hata mkimlaumu hatasaidia kwani imeshatokea tayari pia kumbeni hakuna aliyekamilika hapa duniani
 
hata mimi ningekula...kama analika kimmya kimnya...ushahidi upo wapi?
 
Laana ya Mbasha kuandamana na kupigia kampeni mafisadi 2010 itamtafuna saana...
 
Sielewi... hii thread nimeianzisha mm kwenye hili jukwaa, naona kama nimeporwa vile.... hivi imekuwaje? wakuu naomba mnifahamishe!
 

Anaweza akawa ni huyo huyo na kama sio huyo basi kizazi chao ni cha kuwachafua wanaume ambao ni maarufu inabidi uchunguzi wa tabia za hao wanawake wanaodai kubakwa ufanyike kabla ya kuhukumu isivyohalali.
 
Rudia thread utaona inasema mwimbaji huyo maarufu anakaa Tabata Kimanga. Christina Shusho hakai tabata kimanga anakaa Tabata Chan'gombe,bali Flora Mbasha na mumewe ndio wanakaa Tabata Kimanga. Unganisha dots.
 
Rudia thread utaona inasema mwimbaji huyo maarufu anakaa Tabata Kimanga. Christina Shusho hakai tabata kimanga anakaa Tabata Chan'gombe,bali Flora Mbasha na mumewe ndio wanakaa Tabata Kimanga. Unganisha dots.

Hata Frola Mbasha anaishi Tabata Chang'mbe japo kwake ni bondeni kidogo na wala si Kimanga'
 

chezea ulalu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…