dawa yenu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 2,825
- 3,675
sitomlaani jamaa mpaka pale utakapo patikana ushahidi yakinifu usio na shaka yoyote kwamba ni kweli kamla shemeji yake. Nasema hivi kwakuwa familia ya upande wa mke inaonekana uadilifu wao ni wa kutilia shaka, juzi kati hapa ilisambazwa video ya mrisho ngassa akimgegeda mdogo wake Flora. Vyovyote inaweza kuwa huenda huyo bi dada alikuwa anamtaka shemeji yake na mara baada ya shemeji yake kukataa bi dada akaamua kumsingizia amembaka... nasubiri ushahidi yakinifu! bongo wasanii wengi sio akina wema peke yao.