Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Hii family imekaa kwa muda mrefu katika mfarakano.
You never knowa what really happen inside the house, ukweli wao watatu ndiyo wanaujua.

Alinyimwa unyumba na ilikuwa lazima achepuke.
attachment.php
 
Miaka 17 anabakwa, wakati injini ishakomaa kabisa na gari inaendeshwa kama kawa. Nadhani hapo kesi ni ugoni...
 
Wiki Hili mitandao, magazeti, na majukwaa ya watu wasio na KaZi wanaoishi Kwa kushiba majungu na umbea hasa inshu za Ndani ya nguo, wameshibishwa Bonge la Uongo unaohusiana na mambo ya kubaka hasa wakituhumu mume wa Mwimbaji huyu mashuhuri Flora Mbasha.

Wakiwa wenye Furaha Flora Mbasha na Mumewe wameonekana wakiimba Ndani ya Kanisa la Ufufuo na Uzima Kwa Firaha wakigongana Kwa staili ile Yao maarufu. Baadhi ya watu tulipigwa mshangao na shutuma kali kabisa juu Yao. Na bila kupoteza Muda Mara Baada ya Ibaada tuliwakimbilia Kujua kulikoni na kuwakuta wakicheka HATA huyo mbakwa mwenyewe yupo ana furaha zake. Tulipohoji kulikoni wakatuambia HATA Uvumi usio na ukweli juu ya mzee wa liliondo uliwafanya HATA viongozi wa Nchi kutimkia huko wakiamini kubugia kikombe Cha maji machafu yasoyochemshwa eti kutawaponya ukimwi, Nchi Hii maarufu ambayo Siasa na matukio ya uvumi Ndiyo yanayopewa kipaumbele na kuongoza jamii kubwa ya wajinga.

Hadi naondoka Kwenye viwanja hivi najiuliza maswali mengi bila majibu, Nani katengeneza Uvumi huu na Kwa nini?!?. Kama Ni Flora na Mumewe ili iweje au Ni Gia ya kuwapaisha Kwenye chati tena manake ukitaka Kuwa maarufu Kwenye Nchi ya wajinga jisingizie mambo ya chupini lazima utakamata Akili Za maelfu ya wajivuni. Kama ni Adui wa Flora WHY?!? ..

Nikajikuta najiapiza kutofuatilia ujinga na upuuzi Kama huu tena. Bora nifanye KaZi Kwa bidii kuifanya familia yangu iende Chooni sio kung'ang'ana na UZUSHI naonekana kuku tu..

RIP mama Zitto Kabwe..tuko pamoja na Wewe Kamanda Zitto..

Flora Mbasha na timu yake wakiimba kwa furaha Ufufuo na Uzima na kutuzwa maelfu ya fedha na washirika. kilikuwa kipande kikubwa cha furaha watu kumtuza zaidi ya box zima la spika limejaa fedha.
 

Attachments

  • 10364179_727763473950687_719105012255994121_n.jpg
    10364179_727763473950687_719105012255994121_n.jpg
    78.7 KB · Views: 647
  • money.jpg
    money.jpg
    136.8 KB · Views: 589
Makubwa madogo yanaheri.Tanzania ni zaidi ya uijuavyo.
 
wewe ni nani hadi tuamini huu UTUMBO WAKO,,

Naona furaha yako ulipenda sana iwe Kweli. Maelfu ya watu waliokuwepo wote hutaki tu kuamini una matatizo Sasa
 
Unasema?
Hakubaka?
Hapana siamini labda kama utaniambia alibaka lakini hakuwahi kukojoa.
 
Duhhh!! ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni.

kuna clip mi ninayo ambayo haijulikani source inasikika sauti ya Emmanuel Mbasha akiomba msamaha kwa shemeji yake.
 
Hiyo sabuni mnayotaka kujisafishia haitoshi ongezeni nyingine
 
Angekamatwa ndiyo ukweli ungejulikana haraka.Si hivi ilivyo sasa
Ungependa sana IWe Kweli eee..! Akamatwe, atupwe lupango..! Ha ha haaa!! Leo ntainjoi Misukule kibao humu..! Ngojea nitafute desktop niupload video Yao Leo Nikate utumbo na ubishi wa misukule inayoshadidia Ishu Za chupini..!
 
Duhhh!! ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni.

kuna clip mi ninayo ambayo haijulikani source inasikika sauti ya Emmanuel Mbasha akiomba msamaha kwa shemeji yake.
Sio Yake Wewe.. Yaani Kichwa yako inakuwa nzito kuamini kila sauti??!??. Acha uzembe bana
 
We TAMKO baada ya kuchwana kule kuwa Gwajima anahusika ndo unakuja kuanzisha uzi huku.....

Gwajima ndo injinia wa kuua ndoa ya Flora....Gwajima ndo alikuwa anamla Flora....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom