Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Na mi namuangalia tuu hapa anavyo rukaruka kama mtetea anayetaka kutaga...

Hamjui tu.. Hamjui..! I feel happy kuona group la mijitu iliyokuwa imejipanga kuumeza UZUSHI ule. Real today nimejiona mjinga kiasi Cha kuamini UZUSHI. Nataka kuwahi desktop niupload video Yao nizidi kuipa mioyo Hii uchungu zaidi tukome kufuatilia mambo ya chupini. Mdume mzima unafuatilia mambo ya mwanaume mwenZako Ni kujidhalilisha.. I feel bad sio Wewe tu HATA mie. Watu Hawa Leo wamenipa somo kubwa sana.
 
Sasa mbona unajifanya msuluhishi kwenye ndoa za watu? Wewe hii ndoa inakuhusu vipi, au wewe ndio Gwajima?

Kama wewe ni Gwajima kwa nini umemuhamishia mke wa mtu GUEST? Kwa nini ulimpeleka masomini nje bila la ridhaa ya mumewe? Kwa nini ulizunguka naye nchi nzima "kutangaza injili" huku mumewe kabaki home?

Hizi tabia zenu za kutumia hela za Sembe kuwabambikia vijana kesi kwa tamaa zenu za kimwili ili muoe wake zao hata shetani hapendi.
 
TAMKO kama unaleta uongo hapa nitaandamana peke yangu hadi ule ban ya nguvu......hapa si mahali pa kupost utumbo......JF ni chanzo makini cha habari.....
 
Last edited by a moderator:
Naona mdau anajaibu kumsafisha Mbasha. Kwa bahati mbaya anamsafisha kwa maji ya gereji.
Hasafishiki ng'oo!!
 
Wiki Hili mitandao, magazeti, na majukwaa ya watu wasio na KaZi wanaoishi Kwa kushiba majungu na umbea hasa inshu za Ndani ya nguo, wameshibishwa Bonge la Uongo unaohusiana na mambo ya kubaka hasa wakituhumu mume wa Mwimbaji huyu mashuhuri Flora Mbasha.

Wakiwa wenye Furaha Flora Mbasha na Mumewe wameonekana wakiimba Ndani ya Kanisa la Ufufuo na Uzima Kwa Firaha wakigongana Kwa staili ile Yao maarufu. Baadhi ya watu tulipigwa mshangao na shutuma kali kabisa juu Yao. Na bila kupoteza Muda Mara Baada ya Ibaada tuliwakimbilia Kujua kulikoni na kuwakuta wakicheka HATA huyo mbakwa mwenyewe yupo ana furaha zake. Tulipohoji kulikoni wakatuambia HATA Uvumi usio na ukweli juu ya mzee wa liliondo uliwafanya HATA viongozi wa Nchi kutimkia huko wakiamini kubugia kikombe Cha maji machafu yasoyochemshwa eti kutawaponya ukimwi, Nchi Hii maarufu ambayo Siasa na matukio ya uvumi Ndiyo yanayopewa kipaumbele na kuongoza jamii kubwa ya wajinga.

Hadi naondoka Kwenye viwanja hivi najiuliza maswali mengi bila majibu, Nani katengeneza Uvumi huu na Kwa nini?!?. Kama Ni Flora na Mumewe ili iweje au Ni Gia ya kuwapaisha Kwenye chati tena manake ukitaka Kuwa maarufu Kwenye Nchi ya wajinga jisingizie mambo ya chupini lazima utakamata Akili Za maelfu ya wajivuni. Kama ni Adui wa Flora WHY?!? ..

Nikajikuta najiapiza kutofuatilia ujinga na upuuzi Kama huu tena. Bora nifanye KaZi Kwa bidii kuifanya familia yangu iende Chooni sio kung'ang'ana na UZUSHI naonekana kuku tu..

RIP mama Zitto Kabwe..tuko pamoja na Wewe Kamanda Zitto..

nengeshangaa sana kama taarifa kama hii isingetoka kipindi hiki
 
TAMKO kama unaleta uongo hapa nitaandamana peke yangu hadi ule ban ya nguvu......hapa si mahali pa kupost utumbo......JF ni chanzo makini cha habari.....
Nani ana shida ya kukudanganya Wewe?! Who are you Hadi mie sisi wote tuliokuwepo tuje hapa kukudanganya ili iweje..!? Watu bana..! Njoo HATA Jumapili ijayo utawakuta bana
 
Last edited by a moderator:
We TAMKO baada ya kuchwana kule kuwa Gwajima anahusika ndo unakuja kuanzisha uzi huku.....

Gwajima ndo injinia wa kuua ndoa ya Flora....Gwajima ndo alikuwa anamla Flora....

Wanataka kupiga U TURN wapuuzi kabisa hawa. Inaonekana muvi yao haikuwa calculated sasa wanajaribu kuizima wakati wameianzisha wenyewe. Wauza Sembe mna kiburi sana na hizo hela zenu..
 
Last edited by a moderator:
Hamjui tu.. Hamjui..! I feel happy kuona group la mijitu iliyokuwa imejipanga kuumeza UZUSHI ule. Real today nimejiona mjinga kiasi Cha kuamini UZUSHI. Nataka kuwahi desktop niupload video Yao nizidi kuipa mioyo Hii uchungu zaidi tukome kufuatilia mambo ya chupini. Mdume mzima unafuatilia mambo ya mwanaume mwenZako Ni kujidhalilisha.. I feel bad sio Wewe tu HATA mie. Watu Hawa Leo wamenipa somo kubwa sana.

Lete hiyo video na si porojo.....Unaanzisha thread kumbe huna vielelezo kamili...
 
Back
Top Bottom