Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Lete hiyo video na si porojo.....Unaanzisha thread kumbe huna vielelezo kamili...

Mkuu tedo, sidhani kama video (kama ipo) inaweza kuwa kielelezo cha kufuta yalotokea. Wamegundua wameharibu, wanatafuta njia za kujisafisha.

cc The bold
 
Last edited by a moderator:
Maskiniiiii wanajitahidi kusafishaa baada ya kuona wameharibu...kumbe zile RB na majibu ya daktari kuwa shemeji kabakwa nazo ni uongo ha ha haaa
 
Mbona hat uo chenu pendwa cha TBC walionyesha jamaa kamdandia shemejie
 
..
Mie naripoti nilichokiona tu jamani kosa langu lipi?!? Mtu Kama hupendi taarifa si unatimka tu

Hapo nimekuelewa mkuu. Umeripoti ulichokiona but si hukijuacho. Pole sana, coz si yote huyaonayo ukadhani yapo vile ulivoyaona.

Una macho lakini huoni.
 
Bongo raha sanaaa...tumemaliza sakata la Vicky limekuja jpya la Mbasha...
Mbasha hajabaka ila alikuwa na uhusiano na shemej yake ila hyo kesi kabambikiziwa kwa sababu wanazojua wenyewe...
Mbasha atubu kwa kosa la kuzin sio kubaka
 
Kitaani wanadai ni mtego uliowekwa na Gwajim* , mwenye lolote atujuze wambea?
 
Wiki Hili mitandao, magazeti, na majukwaa ya watu wasio na KaZi wanaoishi Kwa kushiba majungu na umbea hasa inshu za Ndani ya nguo, wameshibishwa Bonge la Uongo unaohusiana na mambo ya kubaka hasa wakituhumu mume wa Mwimbaji huyu mashuhuri Flora Mbasha.

Wakiwa wenye Furaha Flora Mbasha na Mumewe wameonekana wakiimba Ndani ya Kanisa la Ufufuo na Uzima Kwa Firaha wakigongana Kwa staili ile Yao maarufu. Baadhi ya watu tulipigwa mshangao na shutuma kali kabisa juu Yao. Na bila kupoteza Muda Mara Baada ya Ibaada tuliwakimbilia Kujua kulikoni na kuwakuta wakicheka HATA huyo mbakwa mwenyewe yupo ana furaha zake. Tulipohoji kulikoni wakatuambia HATA Uvumi usio na ukweli juu ya mzee wa liliondo uliwafanya HATA viongozi wa Nchi kutimkia huko wakiamini kubugia kikombe Cha maji machafu yasoyochemshwa eti kutawaponya ukimwi, Nchi Hii maarufu ambayo Siasa na matukio ya uvumi Ndiyo yanayopewa kipaumbele na kuongoza jamii kubwa ya wajinga.

Hadi naondoka Kwenye viwanja hivi najiuliza maswali mengi bila majibu, Nani katengeneza Uvumi huu na Kwa nini?!?. Kama Ni Flora na Mumewe ili iweje au Ni Gia ya kuwapaisha Kwenye chati tena manake ukitaka Kuwa maarufu Kwenye Nchi ya wajinga jisingizie mambo ya chupini lazima utakamata Akili Za maelfu ya wajivuni. Kama ni Adui wa Flora WHY?!? ..

Nikajikuta najiapiza kutofuatilia ujinga na upuuzi Kama huu tena. Bora nifanye KaZi Kwa bidii kuifanya familia yangu iende Chooni sio kung'ang'ana na UZUSHI naonekana kuku tu..

RIP mama Zitto Kabwe..tuko pamoja na Wewe Kamanda Zitto..

kama wameweza kumaliza tofauti zao ni vizuri. mia
 
Magazeti ya leo yameandika mbasha kasema hajabaka ataenda police mwenyewe na kila kitu ataweka wazi ngoja tuone misukule ya nabiii itakavyoumbuka
 
Wiki Hili mitandao, magazeti, na majukwaa ya watu wasio na KaZi wanaoishi Kwa kushiba majungu na umbea hasa inshu za Ndani ya nguo, wameshibishwa Bonge la Uongo unaohusiana na mambo ya kubaka hasa wakituhumu mume wa Mwimbaji huyu mashuhuri Flora Mbasha.

Wakiwa wenye Furaha Flora Mbasha na Mumewe wameonekana wakiimba Ndani ya Kanisa la Ufufuo na Uzima Kwa Firaha wakigongana Kwa staili ile Yao maarufu. Baadhi ya watu tulipigwa mshangao na shutuma kali kabisa juu Yao. Na bila kupoteza Muda Mara Baada ya Ibaada tuliwakimbilia Kujua kulikoni na kuwakuta wakicheka HATA huyo mbakwa mwenyewe yupo ana furaha zake. Tulipohoji kulikoni wakatuambia HATA Uvumi usio na ukweli juu ya mzee wa liliondo uliwafanya HATA viongozi wa Nchi kutimkia huko wakiamini kubugia kikombe Cha maji machafu yasoyochemshwa eti kutawaponya ukimwi, Nchi Hii maarufu ambayo Siasa na matukio ya uvumi Ndiyo yanayopewa kipaumbele na kuongoza jamii kubwa ya wajinga.

Hadi naondoka Kwenye viwanja hivi najiuliza maswali mengi bila majibu, Nani katengeneza Uvumi huu na Kwa nini?!?. Kama Ni Flora na Mumewe ili iweje au Ni Gia ya kuwapaisha Kwenye chati tena manake ukitaka Kuwa maarufu Kwenye Nchi ya wajinga jisingizie mambo ya chupini lazima utakamata Akili Za maelfu ya wajivuni. Kama ni Adui wa Flora WHY?!? ..

Nikajikuta najiapiza kutofuatilia ujinga na upuuzi Kama huu tena. Bora nifanye KaZi Kwa bidii kuifanya familia yangu iende Chooni sio kung'ang'ana na UZUSHI naonekana kuku tu..

RIP mama Zitto Kabwe..tuko pamoja na Wewe Kamanda Zitto..

soma mwananchi la leo uone mbasha alivyofunguka
 
Hii kesi ya mbasha na mkanganyiko mkubwa sana,na tena ni ngumu,kila mtu anasema lake,ukweli bi upi??? Mbasha amekana mashtaka yanayomkabili,mimi naamini some one is playing around ili kumchafua,ngoja aende mahakamani mwenyewe tutaujua ukweli
 
Invisible kwa nini mmefunga post ya The bold


logo2.png
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom