Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

JIGWAMA ujana ule mwenyewe uzee uulete kwenye ndoa ya watu

Gwajima sio mzee Masai, ni kijana tu! Lakini tusipende kuhukumu, kwani hizi ni habari za kwenye media tu, hata mimi na wewe tunaweza tunga!

Ni vema tukaacha yeye aliyemwita amhukumu mwenyewe kama kweli amefanya hayo.
 
Watu hawajui kuwa hii topic chanzo ni hapa Jf kwa sababu jana Thread ilifichwa kule Celebrity forum halafu usiku waliifunga Mods nadhani kwa usalama wa mkuu The bold.Jana alikuwa anatishiwa na mpaka sahizi hatujui nini kinaendelea.

The Bold katekwa tayari
 
Hii story nilipata kuambiwa na jamaa yangu nikadhani labda anataka kumkinga mume wa Florah kiana lakini baada ya kusoma bandiko lako mara mbili mbili nikiunganisha na yule Nabii aliyezaa na mke wa mtu halafu akamfanyia zengwe afukuzwe nchini naanza kupatwa na mashaka na hawa maaskofu,manabii na mitume wanaojitukuza wenyewe badala ya Mungu.

Nabii yupi huyo mkuu? Kwenye Biblia au kwenye media! JF raha sana
 
Kauli nzito sana na ya kusisimua.
Flora Mbasha anashauriwa sana alitazame sana suala hili kabla Mwenyezi Mungu hajaanza kupekua kurasa za issue nzima.
Kwa uzoefu wangu mdogo, Mungu anapoliliwa a mtu anyeonewa , hujibu , tena bila kificho au utatanishi.

Mungu ndio kajibu sasa, baada ya kilio cha muda mrefu, au majibu kwako ni yepi?
 
Hapa pana mambo makubwa yamejificha. Hata kama Mbasha kafanya, akimpata wakili mzuri anashinda kirahisi mno.

High vaginal discharge (HDV) si lazima iwe ni spermatozoa. Yaweza kuwa anamagonjwa mengine ya sehemu hizo. Kifupi ni dokeze hilo tu.

Ila huu ni mchezo wa mtu kijumilikisha mke wa mtu bila bugudha. Jamaa huenda alisema atamlipua huyo mzee wa hammer, naye kaamua kufanya kweli kabla ya kulipuliwa.

Kuna nini mpaka hii saga ihame toka kwa mr mbasha ihamie kwa mzee wa hammer, hapa kuna maswali mengi sana ya kujiuliza, na huyu alieanzisha hipropaganda ni nani na kwa maslahi ya nani!

Tupate vithibitisho kuwa huyo mzee wa hammer alikuwa anagegeda hiyo kitu hata msg tu ambazo mbasha anaweza kuwa ameshawahi kuona, vinginevyo huu ni upepo tu, kuruhusu skendo ya king'asti Kamata isahaulike.
 
Kuna nini mpaka hii saga ihame toka kwa mr mbasha ihamie kwa mzee wa hammer, hapa kuna maswali mengi sana ya kujiuliza, na huyu alieanzisha hipropaganda ni nani na kwa maslahi ya nani!

Tupate vithibitisho kuwa huyo mzee wa hammer alikuwa anagegeda hiyo kitu hata msg tu ambazo mbasha anaweza kuwa ameshawahi kuona, vinginevyo huu ni upepo tu, kuruhusu skendo ya king'asti Kamata isahaulike.

Uthibitisho uliopo ni mzee wa hammer kumpeleka frola kusoma uk pasipo ridhaa ya mbasha....kuzunguka na flora nchin kwenye mikutano ....kumpangia chumba hotelin frola . ......mkuu huon Pana kitu kinaleta utata hapa??????

Mwisho jiulize yule binti alivyobakwa Mara ya mwisho kwanin alikimbilia kutoa taarifa kwa walinzi wa MZEE wa hammer kwan hana ndugu wa karibu????
Mengine naogopa yasije kunipata kama ya the bold Jana usiku
 
[h=2]Chini ya kapeti juu ya kubaka kwa MBASHA[/h]
Story inaendelea kma ifuatavyoMoses Kulola ni mchungaji wa kwanza wa kilokole Tanzania
Iko hivi wakuu..
1. Kisa cha mbasha “kubaka" (Sitatoa kila detail ili kulinda identity
yangu)

Kabla sijaanza kueleza kisa hiki ni vizuri niwaeleze kidogo kuhusu
Intellijensia ya Gwajima jinsi ilivyo...

pale kanisani kwake wanavitengo mbali mbali amabvyo wenyewe
wanaviita ‘ministries' na katika ministry hizo zipo mbili ambazo ni
muhimu zaidi i) Media ministry ii)

Security ministry (hii huwa wanaiita ‘mashujaa' wa Daudi)...

Media - Ministry kazi yake ni kulitangaza kanisa mitaani na
kwenye vyombo vya habari, kueneza
‘propaganda' ya kanisa na mambo mengine yanayofanana na hayo.

Security Ministry - kazi yao ni kumlinda Gwajima.! Kama umewahi kufika pale kanisani utakuwa
umewahi kuwaona huwa wanavaa suti nyeusi na miwani nyeusi (kama secret service wa marekani).. wale jamaa usiwachukulie poa, majamaa wale ni wanajeshi na polisi wastaafu na wengine bado wapo kazini..

Sasa huduma hizi mbili zinaunda kitu kama “USALAMA WA TAIFA"
wa kanisa la Gwajima..

Turudi kwenye topic sasa....

Ni ukweli ambao ulikuja kubainika hivi karibuni kuwa Mr. Mbasha ana
mahusiano ya kimapenzi na shemeji
yake (kwa muda mrefu kidogo) na habari hii ikamfikia mpaka florah..
kipindi hiki florah bado anakaa hoteli! Suala hili florah aliwaeleza watu wachache sana wa karibu na likabakia kuwa siri.. lakini sisi wengine tikuwa tunalifahamu muda mrefu tu!

Kuna watu wakamshauri florah amuhoji mmewake na florah akauchukua huo ushauri akaenda
kumuhoji Mr.

Unaambiwa jamaa
aling'aka balaa na akakataa kata kata kuwa hana mahusiano na
shemejiye! Basi katika majibizano mara jamaa akaropoka kuwa mbona
hata yeye anafahamu kuwa florah ana mahusiano na Gwa**** lakini hasemi chochote!

Weeeeee ilikuwa balaa maana hicho kilikuwa kijikikao fulani hivi na ndugu kadhaa walikuwepo basi kila mtu akashikwa na bumbuwazi!!!

Unaambiwa flaorah
hakusema chochote akaanza kulia akainuka akaondoka!! Na baada ya hapo hata simu za mbasha akawa hapokei...


Inasemekana taarifa zikamfikia mchungaji wao Gwajima, basi Gwajima akamuita ofisini jamaa akakataa kwenda! Sasa katika hizo purukushani za kuwasuluhisha jamaa kuna siku akatishia kuwa atavujisha ushahidi wa mahusiano ya huyo mchungaji na mkewe florah!! Nahisi hapo ndipo alipojiroga..

KESI YA KUBAKA
baada ya mrafaruku kutokea jamaa akawa dizaini kama amesitisha mahusiano na shemejiye na hapa kati alikuwa hakai nyumbni kwa florah.. lakini inavyoonekana mchungaji alitishwa sana na mkwara wa jamaa kuwa atavujisha ushahidi wa mahusiano yake na mkewe... binafsi nahisi mipango ikaanza kusukwa na binti akasetiwa kwa ajili ya ‘operation tokomeza'!!

Juzi juzi hapa kabla ya tukio kutokea ndio huyu binti amerudi kwa florah akijua wazi kabisa dada take hayupo! Na kama ujuavyo muonja asali aonji Mara moja, jamaa kuona mzigo umerudi basi ikabidi wakumbushie enzi!

Sitaki kumaliza huondo wote lakini tujiulize maswali haya!!!

1. Hivi kubaka ndio inakuwa hivi?

Ni ijumaa mko nyumbani peke mnamaliza kula mchana mnakaa sebuleni mnapiga stori ‘mizuka inapanda mnaamua kuibanjua amri ya sita! Kesho yake jumamosi anakuja mgeni mnakuwa wapole tu, mnavunga mnaitana shemeji! Alafu kesho kesho yake jpili mnatengeneza mazingira ili muondoke peke yenu wawili!

Mnafika mahali fulani ubungo mnapaki gari mafichoni mnaanza kuibanjua amri ya sita! Mnatoka hapo mnaenda kanisani mnatabasamu kabisa ibada ikiisha mnatengeneza tena mazingira ili muondoke peke yenu! Mnafika kisehemu chenu mnapaki tena gari mnabanjuka! Halafu eti
amebakwa???????

Swali la pili la kilujiuliza!
Kwanini huyu binti baada ya tukio kutokea akawapigia simu bodyguards wa Gwajima ambao walienda kumchukua na kurudi nae nyumbani kwa gwajima??? Alafu eti hawa bodyguards ndio wanaanza kuwapa taarifa ndugu za florah!!

Kwanini apige simu kule??

Kwanini hakuwapigia simu ndugu zake kwanza?????,anapotezwa huyu!

Nimesend kama nilivyo receive

CC. Jephta2003

We ni nani mpaka u hide identy yako? Umetumwa na nani? Aisee kama hii issue sio kweli basi wewe fundi sana wa majungu, hutofautiani na kamati ya fitna ya JK 2005
 
mbash.jpg

Dar es Salaam. Emmanuel Mbasha, ambaye ni mume wa mwimbaji nguli wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha amejitokeza hadharani na kusema kwamba atakwenda polisi mwenyewe kujibu tuhuma dhidi yake za kumbaka shemeji yake mwenye umri wa miaka 17.

Faili la tuhuma dhidi ya Mbasha lilifunguliwa Jumatatu iliyopita katika Kituo cha Polisi Tabata (Tabata Shule) wakati shemejiye huyo (jina tunalihifadhi), alipotaarifu kuwa Mbasha alimbaka mara tatu kwa siku mbili tofauti. Kesi hiyo ilipewa namba TBT/RB/3191/2014 na TBT/IR/1865/2014.

Tangu siku hiyo, polisi imekuwa ikieleza kuwa inamsaka Mbasha bila ya mafanikio lakini mwishoni mwa wiki mtuhumiwa huyo aliongea na gazeti hili na kuelezea upande wake wa tukio hilo na kwamba yuko tayari kujisalimisha ili ukweli ubainike.

“Tuhuma dhidi yangu ni za kutengeneza,” alisema Mbasha na kufafanua kuwa yote hayo yanatokana na mgogoro wa kifamilia baina yake na Flora na familia yake ambao alisema umedumu kwa siku kadhaa.

“Mimi sijabaka na sijawahi kubaka; sijatenda dhambi yoyote; sijafanya kitu chochote na kibaya haya mambo yote ni ya kusingiziwa tu. Mungu wangu ni shahidi. Na kwa kuwa sijafanya hiyo dhambi kama wanavyodai, basi Mungu wangu atanitetea,” alisema Mbasha ambaye anaonekana zaidi kwenye video ya wimbo wa Maisha ya Ndoa alioshirikiana na mkewe Flora.

“Si wamesema wananitafuta, nitakwenda mwenyewe polisi. Nitawasikiliza na nitatoa maelezo yangu. Kama wakinipeleka mahakamani basi ukweli utajulikana... ipo siku kila kitu kitakuwa wazi.”

Kabla ya kufunguliwa kwa faili la tuhuma hizo, msichana huyo alipelekwa Hospitali ya Rufaa ya Wilaya ya Ilala (Amana) ambako alifunguliwa faili la matibabu namba 667. Matokeo ya vipimo ambavyo vilifanywa na daktari kung’amua kama binti huyo aliingiliwa vinaonyesha kuwa kulikuwa na mbegu utokaji wa mbegu usio wa kawaida (HVD).

Kadhalika binti huyo alifanyiwa vipimo kuona kama ameambukizwa virusi vya Ukimwi (VVU), pia kupata ujauzito, lakini matokeo ya awali yalionyesha kuwa yupo salama.

Akiwa nje ya kituo cha polisi Jumatatu usiku, binti huyo aliliambia gazeti hili kwamba mara ya kwanza alibakwa mchana Mei 23 na kwamba mtuhumiwa alirudia kitendo hicho Jumapili Mei 25 usiku ndani ya gari katika eneo la Tabata, ambako anadai alifanyiwa kitendo hicho mara mbili.

Hata hivyo, Mbasha alihoji: “Hivi kweli hata kama mimi ni mbakaji, kweli nimbake mtoto wa kumlea mwenyewe mara tatu, yaani Ijumaa halafu nirudie tena Jumapili? Hata kama ni kusingiziwa basi tuhuma hizi zimezidi.”

“Huyu binti nimekaa naye miaka mingi na sijawahi kumfanyia hivyo. Hapo nyumbani kwangu wamekaa mabinti wengi, wakiwamo shemeji zangu wadogo zake na Flora na sikuwahi hata kuwagusa, leo hii kwa nini wananifanyia hivi?”

Mgogoro wa familia

Source, Mwananchi
 
Wakamuulize ya nabii mwingira na mke wa mzee wa kanisa mimi KKKT daima mbele kurudi nyuma mwiko na siku hizi zinajaa sana wanarudi taratibu naona weshashtuka wanaibiwa nasikia jamaa wana wash brain waumini wao ukitaka ugombane nao mwambie muumini mmoja wa Gwajima mnaibiwa ataongea mpaka mishipa ya shingo itamsimama kweli wajinga ndio waliwao.

Hivi KKKT siku hizi hakuna sakaka? Zaka? Malimbuko? Changizo? Minada tena hii hatari sana, kama vyote hivyo hakuna basi na mm nakuja huko!! Au hivi vikifanyika kwenye makanisa ya kina Gwajima, Kakobe ndio uwizi peke yake, ila KKKT na RC ni sawa!

Nawaza tu
 
Kwa maneno aliyosema Frola inaonekana kabisa hii issue kama imepikwa

" Mimi nishamsamehe lakini hii kesi iko chini ya familia sio mimi alafu kesi imeshafika polisi na kijinai anajificha nini si aende polisi"

Huyu ndo mke mwema atokaye kwa bwana.

Jamani hata ningekuwa mimi Frola ningeongea hivo! Isitoshe hawana mawasiliano kama ilivoandikwa kwenye Mwananchi.

Mimi namuelewa Frola maana hajamsikia asalu wake wa moyo utetezi wake, anachokisikia ni kama haya tunayosikia wengine! Sasa mnafikiri kwanini asiseme hivyo?
 
Back
Top Bottom